Ta Muganyizi, tatizo la aina hiyo haliko Bukoba Vijijini tu hata Muleba Kaskazini ni hivyo hivyo. Mimi natokea Kamachumu.Kule tangu Mzee Christopher Ngaiza afariki, pamekosekana kiongozi dhabiti wa CDM. No meetings held at all at least to addess the pressing issues of the day and get the wananchi there usher their opinions as how to resolve them. Haonekani mtu kule anaweza kuongea lugha ya wananchi na kuwapatia ufumbuzi. Kuna tatizo la over satisfaction ambalo Jenerali Ulimwengu aliwahi kulielezea kuwa Waafrika moja ya sifa tulokuwa nayo ni kulidhika kuliko pitiliza tena kwa mafanikio ya siku moja. Nina wasiwasi CDM wengi wasije wakalewa sifa za jumla za mikutanoni na kwenye maandamano na labda pengine wakafikiri kuwa kwa kuwa Dr.Slaa anafanya kazi mchana na usiku kukieneza chama basi nao watatbebwa na sifa hizo. Si hivyo, wale ambao are aspiring for leadership come 2015 wanatakiwa kufanya penetration to the masses. Walipo viongozi wa CDM amabao watapata kuona uzi huu kule Muleba Kaskazini tunaomba mbadala wa Balozi Ngaiza who did an excellent job worthy emulation. Mbali na kukijenga chama bali alenda mbali kwa kuetengeza ajira nyingi kupitia hotel-Kamachumu Inn, Kiwanda cha kutengeneza maji ya kunywa na bakery facility. Watu wengi waewekeza nje ya Kagera lakini aliona charity ianzie nyumbani. Namna ya kumwenzi ni kutupatia mtu mbadala
Ninachokiona kwako Bigaraone, ni kwamba Okalobela (hujaenda nyumbani muda mrefu, au huendi mara akwa mara). Hujui kinachoendelea kwa sasa hasa kwenye grassroot. Pia wachangiaji wengi wa mjadala huu wa Ta Muganyizi, ni cynics watupu. Wanaishi mtandaoni, hawajui kinachoendelea.
Wengine hawajui kwamba Opereshi Sangara ilikwenda Bukoba Januari- February 2011. Eti hakuna kiongozi mkuu aliyewaji kwemnda Bukoba! Hawajui kazi inayofanywa na Mbunge Conchesta Rwamlaza kujenga chama Bk Vijijini. Majuzi tu kafanya mikutano zaidi ya 10.
Hawajui kazi ya mwaka mzima iliyofanyika Muleba Kaskazini kuamsha chama. Eti hakuna hata mikutano. Kumbe hata mikutano ya John Heche hawajaiona! Hata Muleba Kusini, kwa mwezi mzima uliopita kuna kazi imefanywa, kwa udhamini wa Kashasira, anayelenga kugombea huko 2015.
Ni kweli vibrance ni ndogo, lakini kazi imeanza.
Pili, ni kweli Ngaiza alifanya kazi, lakini yeye alijenga jina lake zaidi kuliko Chadema. ndo maana alipokufa chama "kikafa", kama unavyodai. Nitakuletea picha baadaye uone jinsi ulivyosahau nyumbani.