Wilaya nzima (Bukoba Vijijini) Hakuna CHADEMA!

Juhudi za wananchi katika ngazi za vijiji, kata, wilaya na mkoa ndiyo zitakazo weka misingi imara ya chama. Viongozi waelewa katika ngazi hizi ni muhimu sana katika kuwafanya wananchi kujiona ni wamiliki wa mchakato mzima wa kuleta mabadiliko yenye tija. Wakishaweka misingi imara na chama kumilikiwa na wenyeji, viongozi wa taifa watasaidia pale nguvu ya jamii itakapokuwa imepungua. Kusubiri viongozi wa kitaifa kuanzisha chama katika eneo fulani haitasaidia sana kama hakuna misingi iliyowekwa na wananchi wenyewe katika meneo yao mbali mbali. Hata hivyo mletata uzi ametoa changamoto tuiangalie kwa mtazamo chanya kwa faida ya wote.
 
Mi natoka pale bugabo kata ya kaagya, jaman kule kuna vijana wamehamasika sana. Ni uongo kusema hamna CHADEMA, Si kule tu nimetembea sehemu nyingi hata wazee wanaipenda cdm. Cha kufanya ni kuanzisha initiative, nnachofanya sasa namobilize vijana waliomaliza vyuo vikuu waje kuagombea udiwan. Na nawaunganisha vijana waliomaliza o-level wajiandae na uchaguzi wa wenyeviti wa vijiji.
Naomba tuache kulala mika. Tuanze kuchukua hatua.
 
Kama Wliya nzima hakuna hata CDM mmoja hivi Wlifred Rwakatare anatokea wilaya gani naomba kukumbushwa.

Hivi ulitegemea CCM wawaalike CDM kweli Ta Muganyizi hivi ni nshomile kweli huwezi kuona huo ukweli dhahiri.

CUF imefunga ndoa na CCM huko ZNZ. JK Rais wa JMT amemteua Mbatia mwenyekiti wa NCCR kuwa mbunge wa kuteuliwa.

Kwa CCM vyama vya Upinzani ACTIVE vinavyonekana ni CUF, NCCR, UDP etc. CDM kwa CCM ni chama cha msimu kisichokuwa na nguvu. Tia akili kichwani nshomile.
wilfred rwakatare aka "entare ya bukoba" anatokea Bukoba Mjini. huyu bwana anacho ongea kina ukweli hata isingekuwa hilo la mkutano mwakilishi wa CDM kutoonekana. ili chama kikue vizuri, inabidi mambo yote mawili yapelekwe sambamba. kijenge uwezo wa "to organize and mobilize" CDM kwa sasa kinauwezo mkubwa wa kumobilize huku swala la kuorganizi likiachwa nyuma. inabidi kufanyike juhudi za makusudi. kama hilo swala la kukosa mwakilishi ni ulegevu wa ki-organization.
 
Ta Muganyizi upo sahihi sana. Wanaoweza kukifanya chama kiwepo mahala fulani ni wenyeji wa mahala husika sio wageni. Nashauri uwe chachu ya kuifanya chadema iwepo kwa kasi huko Bukoba rural. HEBU NENDA KAJIFUNZE NGARA UONE WALICHOFANYA KWANI NAKO CHDM HAIKUWEPO PIA HATA BAADA YA UCHAGUZI MKUU 2010 LAKINI SASA UTAPENDA. Jitihada zote zimefanywa na wanaNgara wenyewe.
 
Kamanda, Ujumbe wako ni mzuri, lakini ukweli wa mambo CDM inaendesha na kugharamia ofisi zote za Mikoa, wilaya na majimbo nchi nzima. Ukifika mahali ukaona viongozi wametokomea tafuta ufumbuzi. Unajua sehemu kubwa ya shughuli za vyama ni za kujitolea. Hata ccm ofisi active ni za kitaifa, mikoa, wilaya na majimbo. Mfano CCM jimbo la Bagamoyo wana ofisi 7 kati ya hizo moja ni active. Nyingine hutumika kipindi cha uchaguzi. Jimbo la chalinze wanazo 3 na hapo moja ni active. HIVYO BASI CDM, misingi, na matawi huanzishwa popote!. Fanya kazi ni wajibu wako kama mwanachama. Acha kulalamika. Soma Kadi yako uone majukumu ya mwanachama.
 
Acheni kulalamika, kazi ya uenezi si ya viongozi wa kitaifa. Someni kadi zenu mwishoni na kuelewa wajibu wenu kama wanachama. Matawi na ofisi hazifunguliwi kwenye JF!.. Acheni uvivu.
 
najiandaa na nimeanza na mikakati ya kuikomboa kata ya Bujugo- Bukoba rural kwetu kupitia chama chetu CDM ...karibuni!
 
Kuna watu wanakuja hapa kumbeza Dr. Slaa na kazi yake. Ukweli ni kuwa huyu mtu anafanya kazi na ndiyo maana serikali ya CCM inamwogopa kuliko ukoma. Ingalikuwa siyo hivyo polisi wasingalitumika kuwasonga wapinzani kiasi hicho. Hata hivyo CDM pambaneni tu bila kukata tamaa. Mabadiliko yameshaanza kuonekana. Songeni mbele pigeni vijijini bila kupunguza mwendo. DHAIFU na mafisadi wenzie anazidi kuchanganyikiwa na itakapofika 2015 atamsimamisha baba wa mafisadi kupigania uraisi kwa jinsi alivyofikiri watanzania wengi ni vipofu na wajinga. Ndipo hapo atakapoonja nguvu ya kweli itokanayo na kazi ya Dr. Slaa na CDM kwa ujumla.
 
Niliwahi kugusia suala ili jamvini kuwa watu wa mkoa wa Kagera ni wazuri sana kushabikia mageuzi wakiwa mikoa ya wenzao lakini wakirudi kwao wanaufyata,
 
Ili jamii ipate gear ni vyema atokee wa kuwa boost watu wengine huwa hawapendi kuambiwa ukweli. Ukweli nimeusema hali ni mbaya kifanyike kitu cha ziada.
 
Kwa mamlaka yapi wewe. Nchi hii kwa sasa ina utawala. Nataka tuliowapa dhamana walitekeleze hili. Ndo maana nikashauri kama tatizo ni budget tushirikishane......

Wewe ni muoga, kila mwanachama wa Chadema anayo haki ya kueneza itikadi ya chadema mahali popote, kama wew siyo kiongozi siyo sababu, basi watafute viongozi shirikiana nao, kulalamika humu kwenye JF haiwezi kuleta mabadiliko bukoba vijijini!
 
Acheni kulalamika, kazi ya uenezi si ya viongozi wa kitaifa. Someni kadi zenu mwishoni na kuelewa wajibu wenu kama wanachama. Matawi na ofisi hazifunguliwi kwenye JF!.. Acheni uvivu.


Viongozi wa kitaifa wakifuata ushauri wako wakaacha ushauri wa Ta Muganyizi 2015 ndo itakua hukumu. Watu wanakuja na mipango ya kuimarisha chama unawaita wavivu.
 
We unauliza Lwakatare aliyechoka badala ya kuulizia Josephine Nusumbuzi amabaye anazidi kunoneana na anatokea Bukoba vijijni sehemu moja inaitwa Ibwera Kishonga. Huyo kwa kutumia utupu wake angeweza kujaribu kunusuru chama kule, Tatizo ali;o nalo ni kma la anayeitwa mmewe, kaiba mme wa mtu (siongei sana kesi ipo mahakamani), lakini kwa wahaya yule hana sifa ya kuolewa hata kama hasingeiba mtu wa mtu na kuanza kudo naye kwani wahaya wnaamini yule ni kimada tu na amepoteza sifa na ndiyo maana hata CDM inazidi kupoteza uhalali maeneo hayo. NA si British Kingdom rural and urban tu na Muleba North even south kwa Professor wa kweli no cdm. Nahisi hata Karagwe in general, Chato na Ngara is the same. Kuna mtu alikuwa Biharamulo wiki jana anasema cdm kwisha. Masses za kupita kwenye mikutano ya adhara na adhari bila base ni ujinga and wastage of resources. Off course we know that there pp who benefit of the so calles operation/movement and move this alot while some vilaza shouting nothing here lakini cdm zero Kagera na nahisi ni sehemu nyingi sana tena sana za nchi. Kuna wanaobeza ushindi wa udiwani asimia 94, kweli huu ni uzezeta, lazima iwe aibu vyama vingine zaidi ya 20 kuachiwa asilmia 6


Wewe kama ni Mhaya ni wa kujipachika maana Wahaya original hawako short sighted namna hiyo bali ni wajenga hoja na sio watumwa wa utamaduni. Ziko tamaduni nyingi zimeachwa mfano msichana alipokuwa akibeba mimba adhabu yake ilikuwa ni kuchimba shimo na kumfukia nusu na baadae inachukuliwa mamabo na kutobolewa. This was later donounced as it is more barbaric. Sasa hilo swala unalotaka kulazimisha kuwa mama Mushumbusi anaoekana vile ulivyoeleza hawa sio wahaya wa leo. Ni wa zamani kabla hata babu yako wa kumi hajazaliwa na haya yako kwenye masimulizi. Hivyo kama una chuki zako na Mama Josephine basi kama wasemavyo wahaya oteho akashweko. Lakini chuki zako na hiyo prejudice uliokuwa nayo haitamkatisha mama yetu tamaa. We know her potential in the development of the party. She plays her role with reservation and caution labda that's the source of your negative attitude towards her maana she doesn't assume status not meant for her kama kuwa na msafar unaoongozwa na polisi na kusomewa reprts na wakuu wa wilaya na mikoa
 
Mimi binafsi ni mzalaiwa wa huko Bukoba vijijini (zamani); ila ninachokijua ni kwamba wakazi wa uko wana ile tabia ya "kakitandugao" Wapo wanaoyaona madudu yanayofanywa na viongozi wa CCM lakini wanaogopa kuthubutu kukemea madudu hayo kupitia upinzani kwa kuogopa uongozi uliopo.
Tabia hiyo ya kinafiki isipowatoka watu wa mkoa wa Kagera - hakika upinzani na hasa CDM kukamata kasi mkoani humo itakuwa ngumu sana.

Pale Bukoba mjini mambo ni hayo hayo; ukitaka kujua unafiki wa wahaya jaribu kuishi Bukoba mjini ndo utawajua vizuri; na ndo maana wengi wanaoogopa unafiki huo wanakimbia na kufanya mambo yao mikoa mingine.
 
Nimekusoma. Ila Mimi mwenyekiti wangu wa Kijiji, Irogelo, Kata ya Kamachumu, wilaya ya Muleba ni wa Chadema

Sasa unaongelea kijiji tupe coverage ya CDM kwenye kata yako ya Kchumu, na kata za jirani za Ibuga, Rwanga na Makongora na linganisha na CCM halafu speak with precision certainty kama we are on the right track. Kwanza hapo Kamachumu kuna ubaguzi wa hali ya juu of which kuna watu wengine walikuwa wanamkataa Mzee Ngaiza kuwa ataleta yale ya umwinyi au uchief. Akapigwa vita na huku sifa yake ikiharibiwa zaidi na laiyekuwa mgombea kupitia TLP kwa sababu hizohizo zisizokuwa na miguu wala mikono. Mleta uzi amekuja na hoja and we have to view it wide demension short of which is complacency kama wewe uliyechangia hapo
 
Usichanganye mambo. Mie naongelea Bukoba Rural as District. Wengi wenu huwa mnachanganya Bukoba kama Mkoa Mkoa ni Kagera.....na Kuna Wilaya Nane ikiwemo Bukoba Municipa na Bukoba(Rura) District.

Ki mamntiki ni kuwa kwenye vikao vya madiwani kama walau Chama kina kata moja basi Kiongozi wa Chama husika hualikwa.........wewe tulia tujenge chama chetu. Mbona kwenye vikao vya Manispaa CDM hualikwa. Toa mchango wako tufanyeje walau tupate kata moja.

RWAKATARE ni wa pale Kibeta Bukoba Municipal. Nikukumbushe tena nimesema Bukoba Rural

Unalaumu au unataka ku - take initiatives?

Kama una positive thinking, go ahead. Nenda Ofisi ya CDM mkoa na wewe uwe kinara, la kama unaponda sidhani kama nitakuja tena kwenu kukutetea Iddi Amini akija kuwawowa, sauwa mutani?
 
Kamanda, Ujumbe wako ni mzuri, lakini ukweli wa mambo CDM inaendesha na kugharamia ofisi zote za Mikoa, wilaya na majimbo nchi nzima. Ukifika mahali ukaona viongozi wametokomea tafuta ufumbuzi. Unajua sehemu kubwa ya shughuli za vyama ni za kujitolea. Hata ccm ofisi active ni za kitaifa, mikoa, wilaya na majimbo. Mfano CCM jimbo la Bagamoyo wana ofisi 7 kati ya hizo moja ni active. Nyingine hutumika kipindi cha uchaguzi. Jimbo la chalinze wanazo 3 na hapo moja ni active. HIVYO BASI CDM, misingi, na matawi huanzishwa popote!. Fanya kazi ni wajibu wako kama mwanachama. Acha kulalamika. Soma Kadi yako uone majukumu ya mwanachama.


Bado napata tabu kwa wale wanaomlaumu na kumbeza mleta uzi. We need to read his thread throughly, digest the context and criticise and critique it on the wide scope. Maana sasa naona wengine mnadhani kufungua ofisi rowed endelevu kana kwamba ni mchezo wa kuigiza. Hapana sio hivyo ili ufungue tawi na liwe endelevu ni vema ukaanza na stratetegy ambayo inatoka juu and then it's narrowed down up to the grassroots there. Viongozi wetu ni watu hawa sio malaika. Somewhere, somehow ili wamelisahau kuwa si pote Tanzania CDM ishajijenga. Tunatoka vijijini na ile activeness hatuioni and that iota that exists to some areas is bound to be eroded by CCM and its allies because its roots have not gone deep in the soil. Halafu kumwambia mtu yeye ndiye akitangaze chama wilayani, you are joking. Bukoba Rural sio akam wiliaya ya Ilala unayoweza tembelea ndani ya siku moja ukaimaliza. Wherea does one individual begin. Uongozi wa Kitaifa ambao una ownership ya strategy na plans waende kunakolalamikiwa wai initiate, create the platform or pedestal from where watu kama Ta Muganyizi na wengine will begin. Hata ukiomba msaada wa kipesa na ukatumia za kwako unakuwa na uwezo kufanya C&P na kuona kama kuna value for money. Pedestal itaanza na kupewa vitu kama cards, bendera, katiba na miongozo. Sasa kama wilaya haina ofisi utaanzia wapi na pengine Ta Muganyizi kama ilivyokuwa mimi tunaishi nje ya wilaya zetu na mara moja tukipata likizo ndio tunaenda kule. Bila ofisi wilyani na kwenye kata au tarafa tutabaki kualalmika kutwisha lawama na kuwa branded kuwa tunapiga kelele au tuna uvivu wa kufikiri maneno ambay haya reflect ukamanda. Tunaweza kuazima maneno ya wengine lakini haya siyo yetu-CDM
 
Unalaumu au unataka ku - take initiatives?

Kama una positive thinking, go ahead. Nenda Ofisi ya CDM mkoa na wewe uwe kinara, la kama unaponda sidhani kama nitakuja tena kwenu kukutetea Iddi Amini akija kuwawowa, sauwa mutani?

Ndoto hizo; alishazikwa long time; na sasa Mu-7 ni rafiki mkubwa wa wahaya! uko hapo dogo!
 
Sitochoka kuwaambia kuwa CDM hawajajipanga.

Urais 2015 bado ndo ndoto. EL akiwa na afya njema ndie rais 2015.

Tungojee Zitto aje agombee 2020.
 
Back
Top Bottom