Ninasikitika na tena naogopa
Jamani!!
Form Six, Diploma ya IT, Cert ya Sheria, Kumbuka hii Form Six alijiendeleza alipokuwa CID Magomeni
hana CV yuko pale kwa uislamu wake
kwani hiyo nafasi ina umuhim wa kua na elim na uelewa zaidi wakuu?
Mbona X- I G P ndio hao hao...
Labda wa sasa.
hana CV yuko pale kwa uislamu wake
kwani hiyo nafasi ina umuhim wa kua na elim na uelewa zaidi wakuu?
Mbona X- I G P ndio hao hao...
Labda wa sasa.
IT ndio nini? au ndio intelijesia
hivi cv hii na cv za Mbowe, Arfu, mgombea mwenza wa slaa,Myika,Lema inatofauti gani?.
Ana degree ya intelijensia
Mwenye CV ya aliekuwa mgombea mwenza wa Slaa jamani atuletee ilu tulinganishe na ya mwema...
My take:
Kuwa na hekima sio kuwa na elimu kama hivyo basi mababu zetu wasingekuwa na hekima. Na Mwema ni msikivu hapo awali alisifiwa sana hapa JF ila kwa yaliyotekea Arusha nasisitiza hakuna wa kuyafurahia ila yana ushawishi wa kisiasa zaidi. Katiba ndio suluhisho ya yote haya IGP hawezi kwenda kinyume na matakwa ya aliemteua! Au hii pia mnataka kuwa na degree kuijua?