MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
Shhhhhh!
Who is IGP Mwema? CV Please!
Umeshaambiwa wahi darasa kama hata kubrowse internet huwezi.
Wewe ndio wale wanaomba kazi na cv mfu mwaka uliozaliwa, mwaka na jina la shule uliyosoma na anwani. Usipopata kazi ndio unaleta zile za pale bila hongo hupati kazi au azima umjue mtu. Zumbukuku mzungu wa reli kalaga bao, wenzio wanaitwa kwenye interview na kupata kazi ndani na nje ya nchi kwa kutumia cv zinazouzika sio cv mfu.