Jituoriginal
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 350
- 31
Ni kikwazo kikubwa kwa vijana na wasomi askari kujiendeleza ndani ya Jeshi . Ameleta sera ya kuajiri vijana waliomaliza std 7 pamoja na form 4 waliofeli,kwani kwa mtazamo wake wasomi wanakimbia Jeshi,anatakiwa Mwema afanye utafiti wa Kina sababu ni zipi? zinafanya vijana wasomi..waache kazi .je ni maslahi madogo? hawathaminiwi ?.