Thanks Ruhazwe, let me take the risk! PROMISE:feeback utapata mkuu
Hivi mtu akikupa shikamoo huwezi kumtongoza??!!!!!!!!!!!!!! Hii mentality inatoka wapi???
you are right mkuu, this just happen when you need something so badly and you think you can't afford losing it. Ngoja nichukue hatue kuuelekea ushindi. Thanks a lot!Mjasiria hapo umetisha!
hata mi sielewi hii nidhamu inatoka wapi!? yaani kuambiwa shkamoo, na kaka ndo ushindwe kumwaga verse, Haaa we mwanaume wa gani?
mimi mke wangu ananiamkia kila asubuhi, au tunapowasiliana kwa mara ya kwanza nikiwa mbali, kisha ananiita dady, sa si ndo ningeogopa hata kumpiga mambo?!!!
akikuamkia we itikia, na mwambie hisia zako. Tatizo lako siyo salamu wala kuitwa kaka, bali unakosa kujiamini (self confidence) au unaogopa kupigwa kibuti. mi nakushauri tu useme, maana jibu la hapana ni afadhali sana kuliko msongo mawazo au jakamoyo ulilonalo sasa
uzinzi uko wapi hapo mkuu
Sikiliza Gud guy,sikumoja piga simu na fanya mazungumzo ifatavyo-
- Gud guy halooo!
- SHEMEJI haloo kaka shikamoo
- Gud guy marahaba dada mambo?- SHEMEJI mazuri
- Gud guy sasa dada leo kidogo utanisamehe! Maana tumekua ndugu mda sasa lakini leo ningependa ukaka na udada uishe na tuanze kuwa wapenzi,offcourse nakupenda sana nisinge penda kuwa ma-kaka na dada,samahan kama ntakukwaza.....maongezi yataendelea
vunja ukimya,ukimbelambele atatokea mwewe huko na kumpitia alafu utabaki domo wazi.Nipe feedbac
nakupa tahadhari siku ukipingwa chini na huyo sister ujue ndio hiyo heshima iliyopo ndio umeikosa milele kikubwa uwe makini maana unaweza ona unatatua kumbe una tibua
She is 20+ and I'm 25yrs old, the love i feel for her is real, lakini kwa bahati mbaya nashindwa kumwambia. Tunawasilana sana kwa cmu, ila kinachonifanya nashindwa kumwambia what i feel for her ni kwa sababu ananiharibia pozi lote kwa kunipa shikamoo na kuniita kaka. To be honest ni kwamba cjawahi kumpenda mwanamke yeyote kama huyu na nisingependa kumkosa. But I don't know where to start, if she only c me as brother how will she take it..
Acha uzinzi wewe fany kazi.
Kijana sidhani kama ukiamua kumtongoza itakuwa ni right move... Kifupi siku hizi watu hawatongozani hiyo kitu ni kama imepitwa na wakati tena kitambo sana.....
Cha kufanya since mnachat kila mara ni kuwa tayari mshajengeana urafiki mzuri so wewe set nae appointment sehemu ambayo walau ina privacy fulani(Ambayo haina watu wengi wanaopita eg. Tafuta Bar/restaurant ambayo haina taa yenye mwanaga mwingi kakae nae kwenye meza ya kwenye kona maana hizi nyingi zinakuwa na mwanga hafifu)... ukifika anza kupiga nae story za hapa na pale...
Chagua story ambayo haita mfanya haboreke (hapa waweza kuleta story za music, movie etc kutokana na interest na huyo gal wako)
Jitahidi katika meza utakayoenda kukaa umtangulize yeye kwanza akachague seat ili uweze kukaa seat ya karibu na yeye maana ukisema wewe uchague kwanza seat ya kukaa anaweza kuwa mjanja na kukaa seat ya mbali na wewe.
Faida ya kukaa seat ya karibu na yeye ni kuwa itakuwa rahisi kwako kuflirt nae kwa kumgusa mara kadhaa mwili wake kwa kutumia kiganja chako na kufahamu reaction yake kama anapendezwa na unachofanya au laa...
Pia kwenye flirting ya kumgusa(mikononi mwake tu kwa kuanzia) uwe makini kidogo maana mara nyingi unaanza kumgusa walau for 3seconds then unamwacha unaendelea na story ukiona karelax hajakupa -ve sign then after 2minutes waweza rudia tena hicho kitendo ila this tym waweza chelewa kuutoa mkono wako walau kwa 10seconds then unamwacha na kupumzika for 2minutes again then unarudia for like 30sec then as time goes by ukiona anakuchukulia poa na wewe unaanza kutumia akili ya kazi