hali ya hewa ni nzuri hasa kwenye jukwa la mmu, kuna upepo unavuma kwa kasi kubwa jukwaa la siasa, jihadhari na propaganda za magamba, udini hauna nafasi kabisa ukiondoa wachochezi wachache, soma na kuelewa sheria na kanuni za jamvi letu, HUMU HAOGOPWI MTU!!!!!!!!!!! karibu mwaego
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.