- Thread starter
- #21
Mleta habari mzushi account sio ya Wema...alishaachana na tandale hata before birthday
hahahaa hahahaha mbavu zangu mie
Mleta habari mzushi account sio ya Wema...alishaachana na tandale hata before birthday
Mleta habari mzushi account sio ya Wema...alishaachana na tandale hata before birthday
Mi naonaga wakirudiana makelele yanakuwa mengi mno!
Na bora wasirudiane mana dai kabebeleza mpaka na machozi nashangaa team dai wana mwambia Wema ana machungu
Nauliza... wema na diamond wamechana....? Ile harusi ya uwanja wa taifa ndo imeishia hewan....?
Domo mbona kaweka wazi kuwa ya BMW na trip za China yamemshinda sasa unasemaje yeye ndo analilia kurudi? Kimsingi yeye ndo kajichomoa ila inaandikwa otherwise.Huyu sio Wema ni mshabiki tu ameamua kuandika yake . mbona Wema alishacomment kusifia picha ya zari? Kwa habari fupi ni kwamba this time diamond ndio anabembelezea na kujilizaliza. Wema yuko happy huko aliko. Msimlishe mtoto wa watu maneno. So hata ile account ya diamod replies ni diamond mwenyewe sio? Usiwe mzushi leta habari za kweli
Domo mbona kaweka wazi kuwa ya BMW na trip za China yamemshinda sasa unasemaje yeye ndo analilia kurudi? Kimsingi yeye ndo kajichomoa ila inaandikwa otherwise.
Wemaz come to me babe am the owner of ze Tanzanite2, just pm. Will u buy BM X6
yule hawezi bwaga manyanga kwa madam atachizika mmpeni mwezi tu
Unaona erehh nasikia kitu mnatoooo domo analia balaa alafu mapishi ndo usiseme