Wema Sepetu awajibu wakware wa mitandaoni

hyo kadi mbona ya tarehe 21 mwezi wa 8 akati birthday ilikua mwezi wa 9 au alinunuliwa muda mrefu na mopao kazi ikawa kulitoa ili dangote asijue.
cc Dinazarde

Halafu maelezo ya gari hayapo je kama ni ya boxer.
 
Last edited by a moderator:
Jamani angalieni hizo tuhuma zenu....
Kuna maneno hapo yanaanza..."Mr. BMW nasema.........." this means hayo maneno si matamshi ya Wema atiiii!
 
hyo kadi mbona ya tarehe 21 mwezi wa 8 akati birthday ilikua mwezi wa 9 au alinunuliwa muda mrefu na mopao kazi ikawa kulitoa ili dangote asijue.
cc Dinazarde

Hhhhaaaaaa aisee narudii kuna kitu nafanyaa
 
Last edited by a moderator:
Nashangaaga sijui kwa nn hao wanao muhonga magar wasimtafutie kazi ya maana akafanya walau na yeye akawa anajitegemea kivyake

Wema tatizo kazoea maisha ya kupewa , ata chupi ananunuliwa yule, kwanza tokea apate gar la umiss mwaka 2006 mpaka kesho wema hajawah kununua gar kwa pesa yake, matokeo yake kila siku anadhalilishwa, anasahau kuwa cha mtu mavi, alivyodhalilishwa na clement kupokonywa had vifaa vya kampun bado hajajifunza, wanaume ni wale wale tu zinatofautiana size za ududu tu ila tabia ni zile zile

Anafanya batter trade..mbunye anabadilishana na items ikiwemo simu,chupi,magari na hata nail cutter...thamani ya item huwa ina dectate idadi ya magoli au kitobo ya kuingiza..mara nyingi item ikiwa imezidi thamani ya 10,000/ hapo unaweza kutawanya kisamvu
 
Waweke upande mzima wa kadi ili tuone aina gani ya gari, sio kuweka upande mmoja hata bajaj au boda boda inawezekana kuwekwa kwa upande mmoja!

"You can fool all people but not all the time!!!!!!!!!!"
 
Back
Top Bottom