kongosho, kumbe sipo peke yangu! mi urafiki wangu ni wa mahali maalumu tu kama ni kazini, chuoni basi, lakini home kwangu no. wala sipendi kabisa eti kumwintroduce hubby kwa marafiki maana mh...
mara nyingi urafiki wa wadada huishia kuibiana wanaume tu(according to my experirnce).
Anatia huruma lakini ujue.
Huyu dada ana degree kubwa sana ya kuwa honest, no frankness ndio sahii(maana nadhani si honest). Haya anayosema ni wachache sana wangeyakiri adharani. Yangebaki kichwani mwake akaendelea kuyafanyia kazi kimya kimya...si tungeambulia suprise tu pale atakapotangaza ndoa na bilionea wa kipopo.
Hakuna mtu wa kumwoa hapa ila wa kumtiatia watakuwepo coz hakuna mwanaume atakayeamua kuoa BP ya nini bwana, na hata wa kumtiatia naona mwisho watakosekana kwa kuogopa maradhi, coz kisha gawa kwa watu kibao wa size tofauti
Wema mdogo wangu haufanani na jina lako.. matendo yako yalipaswa yaendane na jina lako... waume mbona bongo wapo kibao tu.. tulizana mama.. mtu akiamua kukuharibia hata uolewe na mjapani atakupata tu.. tulia tulia tulia.. jaribu angalau mwaka upite tusikusikie magazetini ..wapo machakaramu wengi tu mjini hapa unasikia wameolewa lakini kwasababu waliamua kutulia.. hata wewe nakusisitizia.. achana na u super star unakuponza.. tulia utaolewa.
Mi marafiki zangu urafiki unaishia ofisini...hata stori tunazopiga sana sana za magazeti ya shigongo...hakuna cha kutunziana siri.
Wema mdogo wangu haufanani na jina lako.. matendo yako yalipaswa yaendane na jina lako... waume mbona bongo wapo kibao tu.. tulizana mama.. mtu akiamua kukuharibia hata uolewe na mjapani atakupata tu.. tulia tulia tulia.. jaribu angalau mwaka upite tusikusikie magazetini ..wapo machakaramu wengi tu mjini hapa unasikia wameolewa lakini kwasababu waliamua kutulia.. hata wewe nakusisitizia.. achana na u super star unakuponza.. tulia utaolewa.