hahahahaha,you ril a great thinker!!Ninachompendea Wema ana akili sana huyu mtoto, anajijua hakuna Mtanzania anayeweza kweli kumuoa, wanafanya ni kummega na kumuacha maana hana hadhi ya kuolewa kwa uchafu alionao. Wa nje hawajui hilo ndio maana nae anawataka wa nje wasiomjua
Jamani kalibia kila mtu humu ndani ni malaya!
Ndio nadiriki kusema hivyo sababu wengi wame na wana tembea na mtu zaidi ya 1!sasa mnapo mshambulia wema mbona nyie wenyewe sio wasafi???
Kweli nyani haoni kundulke!
nakuunga mkono kabisa, mi siamini kabisa kwenye urafiki
aaaahh,huyu hana cha kubomoa maana hajajenga!ndio anatafuta japo 'mkenya' aanze kujenga rafiki
thibitisha vinginevyo ondoa upumbafu wako hapa,We kama ni malaya usidhani ni woteJamani kalibia kila mtu humu ndani ni malaya!............ wengi wame na wana tembea na mtu zaidi ya 1!.....nyie wenyewe sio wasafi???
Mi kwenye huu uzi nimeona point kubwa moja ya urafiki.
Huyu sijuhi snura alijipendekeza kwa Wema...ili aone labda nae ataonekana...kaona haijasaidia. Ameamua kumchafua mwenzie. Wema anasemwa vibaya na wa Tz wengi lakini yeye snura kama friend alitakiwa awe the last person kutoa comment kama hiyo.
Ila ndo ya asiyesikia la mkuu..Mama yake Wema si alishaga mwambia mwanae hapendi urafiki wake na Snura??? Ukubwa dawa.
Wasichana mi nawajua...ukiwazidi kidogo majority wanageuka wanafiki...na watafanya wawezalo kuhakikisha unaharbikiwa. Kama akili zako za kuazima ndio itakuwa ngumu kuujua huu unafiki wa marafiki wa kike.
nyumba kubwa, umeongea point, marafiki bwana, mie ninao lakini kwangu marfuku. Tunajuana huko huko barabarani lakini sio home.
Kuna mmoja amefanya kitu cha ajabu sana, nikagundua wadada sio wakati mwingine.
thibitisha vinginevyo ondoa upumbafu wako hapa,We kama ni malaya usidhani ni wote
nyumba kubwa, umeongea point, marafiki bwana, mie ninao lakini kwangu marfuku. Tunajuana huko huko barabarani lakini sio home.
Kuna mmoja amefanya kitu cha ajabu sana, nikagundua wadada sio wakati mwingine.
Mi marafiki zangu urafiki unaishia ofisini...hata stori tunazopiga sana sana za magazeti ya shigongo...hakuna cha kutunziana siri.
Jua limezama ndiyo anafunguka? Kachelewa.
hapana ndugu,kuna wadau wengi humu huwa wanatafuta wachumba,huyu nae anatafuta pia!!