Week end Special

Who told you that I have a perfect marriage. Ndoa yangu ni ya kawaida. Ni kama za watu wengine. Nina miaka minane kwenye ndoa and am 35 years old. Mume wangu ni mpole na msikivu sana ila alishawahi kuni cheat while was pregnant na kipindi hicho ndoa ilikuwa na miaka sita. Ila ambacho naweza kujisifia ni kuwa najiheshimu sana na kazi yangu inanifanya wakati mwingine nilazimike kujiheshimu zaidi. Ila si kazi tu nakumbuka hata wakati niko college vijana walikuwa wananiogopa sana wanasema niko very serious. Aah. Afu nilikuwa nashika namba class. Si unajua wanaume hawapendi wanawake wanaojiamini na walio kind of powerful. Hiyo imenisaidia kuwa wachafuzi walikuwa wanacheza mbali na mimi na walionitokea walikuwa real serious including my hubby.

Kwa hiyo kumbe uko hivyo hata kabla hujaolewa! Basi Boss keshapata jibu lake hapo, natumaini.
 
in that case umejibu swali langu
mark my words you aint seen nothin yet.....

at 35 still kuna mengi mno huko mbele......

siku moja utajishangaa wewe mwenyewe.....like did i do that....?

wanasemaga life starts after 40, mimi bana ndoa za leo siziamini mpaka nione mmoja kazikwa, kuna vizee vya 50 majuzi nimeshuhudia vinatimuana, kizee kizungu cha kike kilikuwa kina mahusiano na kijana wa 20's black.
 
wanasemaga life starts after 40, mimi bana ndoa za leo siziamini mpaka nione mmoja kazikwa, kuna vizee vya 50 majuzi nimeshuhudia vinatimuana, kizee kizungu cha kike kilikuwa kina mahusiano na kijana wa 20's black.

Nakumbuka mwaka jana ile au sijui mwaka juzi kuna mke wa waziri mkuu wa Ireland (kama sijakosea) alimegwa na janki na likawa bonge la kashfa.
 
Nakumbuka mwaka jana ile au sijui mwaka juzi kuna mke wa waziri mkuu wa Ireland (kama sijakosea) alimegwa na janki na likawa bonge la kashfa.
yep spot on! ilitokeaga Belfast junkie alikuwa anajimegea na hela za matumizi anapatiwa na marupurupu kibao, lilikuwa bonge la kashfa lakini si unajua wazungu ni mabwege tu
 
Acheni kunitisha. Eeh. Inawezekana ndoa yangu isidumu milele lakini turning into shuga mummy sijuhi nini ni unthinkable. I have a lot of things to do than hunting for men at this age.

Nakumbuka mwaka jana ile au sijui mwaka juzi kuna mke wa waziri mkuu wa Ireland (kama sijakosea) alimegwa na janki na likawa bonge la kashfa.
 
Just because you know someone doesnt mean you love them,
And just because you don't know people doesn't mean you cant love them,
You can still fall in love with a complete stranger in a heartbeat,
kama Mungu amepanga itokee kwako

So marafiki fungua moyo wako huwezi jua Mungu amepanga nini kwako
cause he may throw that pass to you, lakini pia kuwa Mwangalifu ....

jiulize rafiki, je moyo wako hujawahi kwenda mbio kwa mtu usiyemfahamu
Unaweza tu msikia sauti, unaweza mwona kwa picha, unaweza ona tu michango
yake hata humuhumu jf.....mhhhh yote haya ni juu ya nini??? ni juu ya mapenzi

Kwa kumalizia kumbuka kuvutiwa , kupenda , kutamani huwa hakuangalii kama
una mchumba, mke, mme au rafiki tu wa kawaida, huwa inatokea tu kwa mtu
yeyote

sasa nawauliza marafiki, ikikutokea huwa unachukuliaje????
week end njema
huwa yananitokea mnoooooooo, ila huwa nachukulia hali ya kawaida,
huwa najichukulia kama natamani mali za watu na huwa najitahidi sana kujizuia maana huwa wa kwangu kutamaniwa inaniuma sana.
sipendi kumfanyia mtu kitu ambacho mi sipendi kufanyiwa
 
kloro thanxs kwa kutukumbusha usemi huo

LIFE START AT FORTY....

Filosofi ipo kwamba unapofika 40 unaanza kujiskia unamiss ujana na unataka either kufanya what u didnt do au at least to replay what u enjoyed the most ulipokuwa kijana. Na balaa huanzia hapo
 
huwa yananitokea mnoooooooo, ila huwa nachukulia hali ya kawaida,
huwa najichukulia kama natamani mali za watu na huwa najitahidi sana kujizuia maana huwa wa kwangu kutamaniwa inaniuma sana.
sipendi kumfanyia mtu kitu ambacho mi sipendi kufanyiwa


Hio statement in blue umequote... kwanini kila anaegusia anagusia kwa mtu ambae yupo committed... Haya FB niambie what if you are free??
 
Filosofi ipo kwamba unapofika 40 unaanza kujiskia unamiss ujana na unataka either kufanya what u didnt do au at least to replay what u enjoyed the most ulipokuwa kijana. Na balaa huanzia hapo


Midlife crisis... uko forty with a family of five unaenda kununua gari aina ya sports car... na you are just a middle class citizen...
 
Si mpaka uwe na hizo CD za ku replay. Hapo ndio watu usema tabia ujirudia.
Filosofi ipo kwamba unapofika 40 unaanza kujiskia unamiss ujana na unataka either kufanya what u didnt do au at least to replay what u enjoyed the most ulipokuwa kijana. Na balaa huanzia hapo
 
You just turn yourself into a workaholic
mbona hiyo cha mtoto..
wamama inawatokea anafika sehemu anaona kumbe maisha yoote ame sacrifice
kwa jitu lisilo na shukrani.kama amepoteza ujana kwa the wrong person...
unaweza imagin what next....
 
Midlife crisis... uko forty with a family of five unaenda kununua gari aina ya sports car... na you are just a middle class citizen...

Unakuta kabibi kana 50 kanavaa kimini halaf kanakulembulia macho, halaf ukikiamkia "shkamoo" kanaitikia "poa tu", tumataftiana ubaya tu
 
mbona hiyo cha mtoto..
wamama inawatokea anafika sehemu anaona kumbe maisha yoote ame sacrifice
kwa jitu lisilo na shukrani.kama amepoteza ujana kwa the wrong person...
unaweza imagin what next....


Gosh! I love married life... BUT i love my life more... Nikiona kwamba mwanaume hana muelekeo hata nijitahidi vipi... kwa ufundi, utundu ama yoote yanayostahili mie mke nifanye na bado akani treat kama tu kijakazi. or continuously mistreat me.. I let go... For there is no turning back and my life is my life... Sitaki kabisa nifike forty niseme i could have lived... Nataka nifike Forty nisema I have lived....
 
Unakuta kabibi kana 50 kanavaa kimini halaf kanakulembulia macho, halaf ukikiamkia "shkamoo" kanaitikia "poa tu", tumataftiana ubaya tu


Mie ndo maana nakula maisha sasa... Married or not... a mom/wife or not! Nataka nafika late thirties nakua preserved and live my age let alone at 50 ambapo nahisi nitakua na mjukuu (Mungu akijalia) for fortunately niliwahi kuzaa...
 
Back
Top Bottom