Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,601
Who told you that I have a perfect marriage. Ndoa yangu ni ya kawaida. Ni kama za watu wengine. Nina miaka minane kwenye ndoa and am 35 years old. Mume wangu ni mpole na msikivu sana ila alishawahi kuni cheat while was pregnant na kipindi hicho ndoa ilikuwa na miaka sita. Ila ambacho naweza kujisifia ni kuwa najiheshimu sana na kazi yangu inanifanya wakati mwingine nilazimike kujiheshimu zaidi. Ila si kazi tu nakumbuka hata wakati niko college vijana walikuwa wananiogopa sana wanasema niko very serious. Aah. Afu nilikuwa nashika namba class. Si unajua wanaume hawapendi wanawake wanaojiamini na walio kind of powerful. Hiyo imenisaidia kuwa wachafuzi walikuwa wanacheza mbali na mimi na walionitokea walikuwa real serious including my hubby.
Kwa hiyo kumbe uko hivyo hata kabla hujaolewa! Basi Boss keshapata jibu lake hapo, natumaini.