Week end Special

To me cheating si kipimo kuwa hubby hanipendi. Ila najua kuwa ni hatari kwa sababu ya magonjwa. Nazungumzie wanaume wasio na upendo kwa wake zao ambao wanaweza kuwa cheaters on top of ukorofi mwingine.
Mie NK nikigundua mume wangu katoka nje... i won't even bother kumuuliza kama najua sitaachia ngazi - for hakuna kitu kinajenga kiburi kwa mume kama ajue unajua upuuuzi alofanya na umemezea... Issue itakuja tu pale ambapo kapata mwanamke ambae kamchanganya huko nje mpaka ina affect ndoa yangu... au kama anafanya upuuzi wake kwa ku flaunt... yaani ulimwengu mzima watambua - That to me is another case...

Hata hivo NK from experience maisha ya Usingle sometimes yana cost zake... Your friends hawawi comfortable ukiwa unaongea na their men (usiombe uwe mcheshi)... hata upweke pia... sometimes it is worth it kua na mtu wa kuabadilishana mawazo au kukufanya roho idunde with anticipation....
 
What do u see! funguka mama! sredi nimeachiwa mimi niisimamie
<br />
<br />
Ndo maana naona karibu linaacha njia...
nifunguke kwa maana kwamba nitoe road blocks niruhusu strangers ila tu niwe mwangalaifu si ndio....?
Kloro mi hamna nafasi tena bana, nimeigawa/imechukuliwa.
Nimependa udadavuzi wa NN kwenye uk #1.

Btw: painkiller ame'like' post yangu mojawapo. Nasubiria ya Cookie.....

The Boss kwa hiyo unataka kusema kuna hatari ya kuja kuwa Tina Turner kama tutakosa kufanya mambo fulani kwenye umri fulani eeh?
 
To me cheating si kipimo kuwa hubby hanipendi. Ila najua kuwa ni hatari kwa sababu ya magonjwa. Nazungumzie wanaume wasio na upendo kwa wake zao ambao wanaweza kuwa cheaters on top of ukorofi mwingine.
what a 5 star point! wanawake wote wangeelewa hiyo red , neno divorce lingefutwa kwenye dikshineri
 
<br />
<br />
Ndo maana naona karibu linaacha njia...
nifunguke kwa maana kwamba nitoe road blocks niruhusu strangers ila tu niwe mwangalaifu si ndio....?
Kloro mi hamna nafasi tena bana, nimeigawa/imechukuliwa.
Nimependa udadavuzi wa NN kwenye uk #1.

Btw: painkiller ame'like' post yangu mojawapo. Nasubiria ya Cookie.....

The Boss kwa hiyo unataka kusema kuna hatari ya kuja kuwa Tina Turner kama tutakosa kufanya mambo fulani kwenye umri fulani eeh?

Khaaa! yaani laivu??? haukujali hata kama huyo stranger akisoma hii post anaweza akajinyonga???
 
Khaaa! yaani laivu??? haukujali hata kama huyo stranger akisoma hii post anaweza akajinyonga???
<br />
<br />
Una tetesi kuna stranger alikua ananimendea?
Mwambie imekula na kulala kwake huyoo!
Akijinyonga uniambie najua kutakua na mnuso
 
To me cheating si kipimo kuwa hubby hanipendi. Ila najua kuwa ni hatari kwa sababu ya magonjwa. Nazungumzie wanaume wasio na upendo kwa wake zao ambao wanaweza kuwa cheaters on top of ukorofi mwingine.


Exactly... nakumbuka tuliizungumzia hii last week... kua mtu (hasa a guy kulala na mwingine) haimaanishi kua hampendi alonae.... Sasa why bother kumuuliza?? lol
 
kwako NK, hivi kama nampenda wangu kwa dhati, ntafanya jambo ambalo dhahiri najua akiligundua litamuumiza?
 
<br />
<br />
Una tetesi kuna stranger alikua ananimendea?
Mwambie imekula na kulala kwake huyoo!
Akijinyonga uniambie najua kutakua na mnuso

Dah! acha nilog out nikampatie salam zake!
sasa bht sredi nakukabizi wewe, kutukana kwa kiingereza inaruhusiwa lakini atakaetukana kwa kiswahili mripoti kwa mod Ashadii
 
Exactly... nakumbuka tuliizungumzia hii last week... kua mtu (hasa a guy kulala na mwingine) haimaanishi kua hampendi alonae.... Sasa why bother kumuuliza?? lol
<br />
<br />

Asha Dii.... Sijui nisemeje! Are you kinda consenting this? Kama ndo hivo basi acha tu wananume wetu wachiti so long as si kwamba hawatupendi ni hamu tu wanapunguza au wameanguka majaribuni and its just owkey!
 
Dah! acha nilog out nikampatie salam zake!<br />
sasa bht sredi nakukabizi wewe, kutukana kwa kiingereza inaruhusiwa lakini atakaetukana kwa kiswahili mripoti kwa mod Ashadii
<br />
<br />

Akuu mwachie Asha aisee...mi staki! Kama mambo yenyewe ndo kuwahalalishia nyie kututenda, mi naondoka sitaki presha za kushuka.
 
You got me wrong Asha. Mimi nina wivu wa kuua mtu. Kuuliza na kupeleleza kuko pale pale kwani sipendi kuchangia japo najua bado napendwa.
Exactly... nakumbuka tuliizungumzia hii last week... kua mtu (hasa a guy kulala na mwingine) haimaanishi kua hampendi alonae.... Sasa why bother kumuuliza?? lol
 
First and foremost, you can conquer those thoughts through sheer willpower. In my opinion, this is an inborn trait, not an acquired one. Therefore, you either have it or you don't.

By working with what is already there (willpower), you can now engage the power of reason by being considerate to your other half. You put yourself in his or her shoes and think how you would feel if the tables were turned. If you end up not liking if it were you on the other end of the stick then you apply the golden rule. So trying to live by the Golden Rule is another way to overcome temptation(s).

Another thing is to set very high moral standards for yourself. I am not a religious person but I do agree with most of the so-called god's ten commandments. I think most of them are very good moral instructions that if you try your best to adhere to them then I have no doubt that you will live a life of unimpeachable integr

Last but not least, be true to to yourself. Don't try to be whom you are not. Just be you and 'do' you!










For sure you will join me in my kingdom of educated blackmen (EBM s).
Kweli umeeleza vyema.
 
Inawezekana shantel kumpenda mtu hujawahi muona ila nafikiri tunapaswa kucontrol hisia zetu hasa kama umependa wakati tayari upo katika mahusiano mengine.
Kama umependa mtu kwa sababu umemsikia tu au unamsoma hapa jeief nakushauri kuwa makini, sio wote wanayoyaongea ndio wanayoyatenda....... Anaweza kuonekana msafi kumbe ni mchafu. Watu wa mtandaoni hupenda kuonekana namna wangependa wawe (wengi huonekana sivyo walivyo). Wapo wanaopenda kuonekana ni wastaarabu/wakorofi kumbe sivyo. Wengine hupenda kuonekana ni watu wa dini, wengine kuonekana ni watoto/wakubwa, kuonekana wameoa/hawajaoa.
Kila mtu ana maisha yake ya kimtandao na yanaweza kuwa tofauti na maisha yake ya nje.
Control hisia zenu angalau mtakapoonana na kuendelea kufahamiana zaidi ndio mnaweza kupiga hatua nyingine mbele.


Message sent is delivered
 
You got me wrong Asha. Mimi nina wivu wa kuua mtu. Kuuliza na kupeleleza kuko pale pale kwani sipendi kuchangia japo najua bado napendwa.


ha ha ha.... Kuadmit hilo NK simaanishi kua nachekea.... Wala siwezi dhubutu nikasema na akasikia... Mie daima niko possessive pia... For when i Love.... I Love intensively... But kuna mambo ambayo hufanyika katika ndoa ambayo huhitaji busara ya hali ya juu kuweza maintain the marriage.... Na Nyumba Kubwa I am PROUD na Msimamo wako na PRIDE yako katika Ndoa yako... Mungu akubariki saana wewe, Mumeo, familia na NDOA in general...
 
Thanks Asha. Ubarikiwe pia.

ha ha ha.... Kuadmit hilo NK simaanishi kua nachekea.... Wala siwezi dhubutu nikasema na akasikia... Mie daima niko possessive pia... For when i Love.... I Love intensively... But kuna mambo ambayo hufanyika katika ndoa ambayo huhitaji busara ya hali ya juu kuweza maintain the marriage.... Na Nyumba Kubwa I am PROUD na Msimamo wako na PRIDE yako katika Ndoa yako... Mungu akubariki saana wewe, Mumeo, familia na NDOA in general...
 
From her posts... hii ndio nimepata toka kwa NK...

  • She is strong willed and knows exactly what she wants...
  • She is married and proud of her husband BIG TIME...
  • She is educated and furthering her education...
  • She is one of the most logical headed married woman i have come accross...
  • She has educated parents who nurtured her from childhood kama a person who should know what she wants no matter she is a woman..
  • Comments zake thou drawn from real life experiences... napenda her logic - i am always in agreement with her... Nimewahi pishana nae only in one area and that was to tell your partner you love them every time...





Nafikiri kinachomsaidia ni hii personality yake :She is choleric:these people are always influecial
 
Ashadii naomba nikukabidhi thread yangu nikirudi naomba nipate majibu niyatakayo .
asende....


Shantel nafikiri mpaka hapa tumefika... Jibu utapata in between posts na hivo kukamilisha ombi lako.... Be good dear... Sasa napumzika....
 
Back
Top Bottom