nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
To me cheating si kipimo kuwa hubby hanipendi. Ila najua kuwa ni hatari kwa sababu ya magonjwa. Nazungumzie wanaume wasio na upendo kwa wake zao ambao wanaweza kuwa cheaters on top of ukorofi mwingine.
Mie NK nikigundua mume wangu katoka nje... i won't even bother kumuuliza kama najua sitaachia ngazi - for hakuna kitu kinajenga kiburi kwa mume kama ajue unajua upuuuzi alofanya na umemezea... Issue itakuja tu pale ambapo kapata mwanamke ambae kamchanganya huko nje mpaka ina affect ndoa yangu... au kama anafanya upuuzi wake kwa ku flaunt... yaani ulimwengu mzima watambua - That to me is another case...
Hata hivo NK from experience maisha ya Usingle sometimes yana cost zake... Your friends hawawi comfortable ukiwa unaongea na their men (usiombe uwe mcheshi)... hata upweke pia... sometimes it is worth it kua na mtu wa kuabadilishana mawazo au kukufanya roho idunde with anticipation....