Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako afuta posho za kusahisha mitihani ya Mock na NECTA

Ukienda kwenye hii kazi maalum una haki ya kulipiwa nauli na kulipwa hela ya kujikimu. Hili nafikiri halina mjadala na sidhani kama hii ndio posho anayo ongea Ndalichako vinginevyo sitamuelewa. Utata unakuja kwenye ile kazi maalum ya kusahihisha-je inastahili mtu alipwe posho au la? Kwa hili nafikiri serikali iwe na msimamo mmoja juu ya aina za kazi zinazo stahili posho. Na pia kuna vyuo vingine (siyo mitihani ya kitaifa walimu/lecturers hulipwa mzigo ukipita uzito fulani). Mitihani ya kitaifa ni jukumu la NECTA na sidhani kama ni jukumu ambalo kila mwalimu anategemewa kulibeba kama mitihani ya kawaida-kama ni mzigo wa ziada wanastahili posho hili linaongoleka. Mshahara wa mwalimu haukupangwa na hili (kusahihisha mitihani ya taifa) likiwa limezingatiwa. On the other hand wabunge (akiwemo waziri) wanalipwa kwa kufanya kazi yao na sio kazi maalum.
Asante mkuu kwa mawazo kuntu. Shida ya serikali hii elimu bure inawapa kiungulia. Wanaacha kutafuta vyanzo mbadala vya hela wanabaki kuondoa pesa za mambo ya msingi.
They'll have to count me out.
 
Kwa nini kila kauli ni ya kutukatisha tamaa watumishi?nadhani mngetuachisha job wote mkaweka malaika wenu
 
Mwaka huu tutasikia mengi...nchi inaendeshwa kwa MATAMKO na VITISHO pasipo kufuata sheria. Posho hz zipo kisheria...kabla ya kuzifuta alipaswa kulitafakari hilo. Lakini kwa kuwa walimu kila siku huwasaidia CCM kuiba kura, ngoja wasomeshwe namba kwa sababu malipo ni hapa hapa duniani. Roho za watu wanaotaabika au kutokana na matatizo waliyosababisha walimu, zinawalilia.
 
Mwaka huu tutasikia mengi...nchi inaendeshwa kwa MATAMKO na VITISHO pasipo kufuata sheria. Posho hz zipo kisheria...kabla ya kuzifuta alipaswa kijitafakari hilo. Lakini kwa kuwa walimu kila siku huwasaidia CCM kuiba kura, ngoja wasomeshwe namba kwa sababu malipo ni hapa hapa duniani. Roho za watu wanaotaabika au kufavkutokana nabutawalabhuu
kila kitu
 
Magazeti yote au?
Wizara ya elimu sayansi na teknolojia imefuta posho ambazo walikuwa wanalipwa walimu pindi wako kwenye kazi ya kusairisha mitihani kama pesa yao ya kujikimu badala yake serikali imedai kuwa zoezi hilo ni sehemu ya kazi yao wakati huo posho hizo zilikuwa zinawasaidia walimu kujikimu pindi walipokuwa kwenye zoezi hilo.

Pia Prof. Joyce Ndalichako amesema yupo mbioni kuisuka wizara ya Elimu Upya.

Chanzo: Magazeti ya leo
 
Kwani ni lazima kwenda!? Ikifikia kipindi cha kusahihisha kama nimeteuliwa kusahihisha si nitakuwa naumwa!?
 
Nauli ya kwenda na kurudi utapatiwa mwalimu. Pia naomba ufahamu kuwa serikali imeamua kubana matumizi na kupeleka pesa itakayopatikana kwenye miradi yaa maendeleo. Naomba tuwe wavumilivu na tuunge mkono nia njema ya serikali yetu. Naomba ifahamike kuwa nia na malengo ya serikali mema kabisa. Inachofanya serikali si yo ukatili kama baadhi yenu mnavyofikiria. Serikali inataka kila mtanzania afaidike na matunda ya serikali yake. Wakati utaongea. Mtayaona hayo matunda kwa macho yenu. Asanteni.
We ndo msemaji wa Waziri?
 
Kwahiyo na wewe uliamini unaweza kupewa wizara ya elimu na ukaiendesha...$!#?!!..kwa elimu gani uliyonayo au uzoefu gani..???...ni exaggeration tu...teteteteeeeh
hiki nachokiendesha kinatosha sana,nashukuru nakifanya kwa elimu yangu na uzoefu wangu bila msukumo wala usimamizi wa mtu,
kujua elimu yangu hakutakusaidia,maana hata niwe nayo nisiwe nayo haina imact kwako,kuwa na uzoefu au kutokuwa nao hainisaidii,maana hata rais wa sasa hakuchaguliwa kuwa raisi kwa kuwa na uzoef na uraisi maana hajawah kuwa raisi katika maisha yake.Kama utakua unajydge elimu za watu hapa utachanganyikiwa mdau,fanya yako tu
 
hiki nachokiendesha kinatosha sana,nashukuru nakifanya kwa elimu yangu na uzoefu wangu bila msukumo wala usimamizi wa mtu,
kujua elimu yangu hakutakusaidia,maana hata niwe nayo nisiwe nayo haina imact kwako,kuwa na uzoefu au kutokuwa nao hainisaidii,maana hata rais wa sasa hakuchaguliwa kuwa raisi kwa kuwa na uzoef na uraisi maana hajawah kuwa raisi katika maisha yake.Kama utakua unajydge elimu za watu hapa utachanganyikiwa mdau,fanya yako tu
Teteteteeh...Malizia huwa hupendi ujinga....
 
Mtu anaeunga mkono kufutwa hiyo posho kwa mwalimu sijui anajisikiaje.
 
Kama hakuna posho basi tungeomba mitihani inayotungwa isiwe migumu ili tuwe tunawahi kumaliza kusahihisha
 
Wizara ya elimu sayansi na teknolojia imefuta posho ambazo walikuwa wanalipwa walimu pindi wako kwenye kazi ya kusairisha mitihani kama pesa yao ya kujikimu badala yake serikali imedai kuwa zoezi hilo ni sehemu ya kazi yao wakati huo posho hizo zilikuwa zinawasaidia walimu kujikimu pindi walipokuwa kwenye zoezi hilo.

Pia Prof. Joyce Ndalichako amesema yupo mbioni kuisuka wizara ya Elimu Upya.

Chanzo: Magazeti ya leo
sio fair kwa walimu.
Anataka wao wale wap?
Naona haelew ishu ya green pasture
 
Back
Top Bottom