GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,280
- 2,901
Kweli mkuu otherwise hii fukuza fukuza itaondoa watu wazuriHawana ubunifu wowote waheshimiwa wetu, kufukuza ni hatua ya mwisho sana ktk uongoz.
Tungeanza na kupeana mikakat na kuwezeshwa then mtu akishindwa hatua zaidi zichukuliwe.
Kwa mwendo huu hata watumishi nao pia hawatakua wabunifuwa.
Watakuwa wanasubir kufukuzwa tu.