bridalmask
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 2,195
- 1,167
Hii ndiyo shida ya kuwaingiza serikalini watu wasio na kikomo na itikadi zao za kichamaJust in:
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Ndg Nape Nnauye amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Matukio wa TBC Mbwilo Kitujime na Meneja wa Vipindi wa shirika hilo Bi. Edna Rajab na kuagiza kufumuliwa kwa Idara nzima ya habari na matukio ya TBC kutokana na utendaji usioridhisha.