Just in:
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Ndg Nape Nnauye amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Matukio wa TBC Mbwilo Kitujime na Meneja wa Vipindi wa shirika hilo Bi. Edna Rajab na kuagiza kufumuliwa kwa Idara nzima ya habari na matukio ya TBC kutokana na utendaji usioridhisha.
Ana chuki na Nani sasa?Hata kama ni kweli kwa Nape ni chuki binafsi tu.
mbona amemuacha clement mshana ? huwezi kuleta mabadiliko yoyote Tbc bila kumuondosha huyu , ni kazi bure , halafu mbona sababu za kuwaondoa zina ukungu mwingi ?Just in:
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Ndg Nape Nnauye amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Matukio wa TBC Mbwilo Kitujime na Meneja wa Vipindi wa shirika hilo Bi. Edna Rajab na kuagiza kufumuliwa kwa Idara nzima ya habari na matukio ya TBC kutokana na utendaji usioridhisha.
halafu cha kushangaza sasa , wasomi wanatimuliwa na kudhalilishwa na watu wa kawaida sana ! hizi kazi za bure hizi !Sasa hivi kila Waziri anafukuza watendaji wake
Mkuu Huyo Mpare Hagusiki Kwani Kaaga Kwao. Si Unaona Hata Nape Kampita Kama Siyo Kumsahau Na Sasa Anamalizana Na Hawa Wa Chini? Wewe Kama Mtu Tu Kule Kijijini Kwao UPARENI Usangi Anapandisha Kile KILIMA Chote Na Baiskeli Lakini HANYONGI Na Anafika Baada Ya Robo Saa Leo Utaanza Anza Vipi Kumgusa? Chezea Wapare Wewe!
Safi sana...mlizoea kuchekewa...Sasa hivi kila Waziri anafukuza watendaji wake
Duuuh! hii kufuru sasaLabda Kwakuwa Kapunguza Kwenda Mlingotini Na Kwa Msisi. Kwa Historia Na Mambo Yanayofanyika TBC Kama Kwenu Hujaaga Vizuri au Hufanyi UTALII WA NDANI Mara Kwa Mara ( Kwenda Kwa Waganga ) Basi Hapo Hukai Na Utaishia Kutokwa Na Mishipa Tu Kila Kukicha. Mtu Anatangaza Kipindi au Taarifa Ya Habari Huku Hirizi Nayo Ina Vibrate Tu Mfukoni. Chezea TBC Wewe!
Naona ishakua fashion, Yaani jamaa wanaenda na Mizuka ya Rais..Sasa hivi kila Waziri anafukuza watendaji wake
Hawana ubunifu wowote waheshimiwa wetu, kufukuza ni hatua ya mwisho sana ktk uongoz.Hii fukuza fukuza watajikuta wanafukuzana hadi kwenye familia zao