Si walimwondoa Tido muhando kwa hila kwanini wasiendelee na hao hao!Just in:
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Ndg Nape Nnauye amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Matukio wa TBC Mbwilo Kitujime na Meneja wa Vipindi wa shirika hilo Bi. Edna Rajab na kuagiza kufumuliwa kwa Idara nzima ya habari na matukio ya TBC kutokana na utendaji usioridhisha.
Sijui kwanini we msichana hua tunafanana sana mawazo yetu; sijui nije tu kwa mama mkwe kujitambulisha!?Hata kama ni kweli kwa Nape ni chuki binafsi tu.
Hata kama ni kweli kwa Nape ni chuki binafsi tu.
Kwa akili yako kuchukua hatua ni kumfukuza mtu kazi, kama ni hivyo tutegemee kesi nyingi sana na watu kulipwa mamilioni ya pesa.dah,wandugu embu tuwe tunajipima kabla ya kuongea,wangekuwa wanapewa onyo mngesema hao viongozi ni wajinga,kwa kuwapa maonyo hao watu wanaoila nchi,wanatimuliwa mnataka wapewe muda na onyo,je hivi ndivyo mliokuwa mkitaka katika miaka ya nhuko nyuma?kipind kile kulikuwa na kelele sana mara hoo kwa nini rais au Serikali haiwachukulii hatua wabadhirifu na wazembe ,sasa wanachukuliwa mnakuja na mengine,hakika watanzania ni vema tukajitafakari na kujipima kabla ya kutoa kauli zetu kwani wakati mwingine zinatutukana wenyewe bila kujua
Kila mtu anamtafutia ulaji mtu wakeJust in:
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Ndg Nape Nnauye amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Matukio wa TBC Mbwilo Kitujime na Meneja wa Vipindi wa shirika hilo Bi. Edna Rajab na kuagiza kufumuliwa kwa Idara nzima ya habari na matukio ya TBC kutokana na utendaji usioridhisha.
Atakuwa anawahisi ni UKAWAHata kama ni kweli kwa Nape ni chuki binafsi tu.