Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Mkuu upo sawa kabisa, wananchi tunaandaliwa kisaikolojia na maamuzi yatakayofuatia. Na wakifukuzwa hata yale wanayodaiyanakuwa yamepotea kimyakimya, badala yake wakae wakubaliane sasa. Huu mgomo uwe ndio baseline, wawape mda kama hawajatimiza wanajua walipoishia mara ya mwisho, wakifukuzwa maana nzima ya kugoma inapotea
Nimesoma wadau wengi wakiongelea hii option ya kuwafukuza madaktari ila haiingii kichwani mwangu.
Kwani baada ya kuwafukuza wanategemea kupata wengine kutoka wapi??