Mualiko wa kuonana na madaktari bingwa kutoka india tar 22 na 23 Machi

Tunny Chuddy

New Member
Mar 17, 2024
1
1
Hosplan Clinic ikishirikiana kwa pamoja na hospitali ya “Tiba Health Care Polyclinic “ wanawaletea madaktari bingwa kutoka INDIA kwa tiba za Uti wa mgongo, mifupa, ubongo na viungo . Madaktari hawa watakuwepo hapa nchini kuanzia Tarehe 22 & 23 March (mwezi huu). Eneo ni -Tiba Health Care Upanga Dar es Salaam .

Kuweka miadi(appointment ya kuonana na Daktari) Piga simu namba:- +255 748 555 889 .Mnakaribishwa wote , Asante .
IMG_9531.jpg
 
Back
Top Bottom