Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Kabisa kabisa kaka. I'll take common sense over As and Bs on any given day.
Halafu ni childish mtu kuja na kuanza kusema sema humu eti alipata sijui B kwenye somo fulani...sijui festi klasi ya sheria UDSM....who cares? Kwanza hatuwezi hata kulithibitisha hilo....anaweza kabisa akawa anatudanganya. But regardless, who the hell cares what grades you got in school?
Some people man.....
Ahsante sana kaka,
Kumbe si mie peke yangu niliyeshewa mvua pale kwenye ubao wa matangazo yalipobwandikwa matokea ya O-level ya mdau mwenzetu??
Bongo inatisha sana, zaidi ya Alshabab!!