Kwanza South Africa hakuna Chama kinachoitwa (SOUTH AFRICAN BLACK ASSOCIATION) aliyeandika hii amechemsha kinoma, katika Wageni wanaochukiwa hapa Wanaigeria na Wazimbabwe ndio wanaochukiwa mno sio Mataifa hayo aliyoyaandika. :lol: Akaandike tena aje awadanganye hapa. Huu ni Uzushi sio kweli
Ingawa huu ni uzushi, lakini watanzania wizi sana South Africa wanaiba sana Laptop na Blackberry za watu..
Wanachonisikitisha wanalala garden.