Mahakama ya ICC ndio mahakama ya kijinga zaidi duniani

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,168
33,434
Maamuzi ya hii mahakama yanasubiri utekelezaji wa kumakamata yule wanaemwita mhalifu Hadi atoke nchini mwake.

Yanaitaka nchi atakayoitembelea mhalifu huyo ambae mara nyingi ni wahalifu hao hua ni wakuu wa nchi Fulani, mfano Rais Omar wa sudani,kenyata wa Kenya na Sasa Putin wa urusi, akakamatwe au wakakamatwe na nchi aliyokwenda au walizokwenda kutembelea.

Sasa ujinga wa maamuzi ya mahakama hii ni kwamba, hawana uwezo wa kwenda kumkamata mhalifu wao kwake,je mhalifu asiposafiri ndo hakamatwi Tena?

Maamuzi Yao yana faida Gani?

Kwa kawaida Kuna Marais Huwa hawapendi ama hawana tabia ya kwenda nchi nyingine mfano Hayati Magufuli.

Hata hivyo, Mahakama ya ICC imeshindwa kabisa kuwashitaki Marais wa USA Kwa uhalifu wa kivita nchini Iraq na kwingineko.

Mahakama ya ICC inashangaza sana.

Nakuhakikishia
Putin hata akienda SA hawezi kukamatwa,

Ila kilichopo ni kua SA inaogopa vitisho na kusakamwa na mataifa ya west.

Kama SA iligoma kumakama Omar wa Sudani inawezaje kumkamata Rais wa nchi rafiki wa jadi wa bara la Afrika na Rais wa taifa lenye nguvu za kijeshi hapa duniani kama Urusi?

Putin asupokuja SA Kwa kikao Cha Brics sio kwa sababu ya hofu ya kukamatwa na ICC Bali ni kwa sababu za kiusalama nchini kwake, nchi yake Iko vitani na west,kiusalama sio salama kutoka nyumbani.

Putin anaonekana kabisa kukaribia kuuangusha ufalme wa west,hivyo nao unajaribu kufanya Kila liwezekanalo kutaka kumshinda.
 
Kwa kukusaidia iko hivi, ICC haina jeshi na amri zake hutekelezwa na nchi wanachama. Aidha, kuna makosa kama ugaidi, ambayo hata kama nchi si mwanachama anapaswa kutekeleza maamuzi ya mahakama. Kwa mujibu wa sheria za Kimataifa ambazo zinaheshimu mamlaka ya nchi (sovereignity), huwezi kuwa na jeshi ambalo litakeleza moja kwa moja amri za mahakama katika nchi huru yoyote, bali nchi husika inapaswa kutekeleza masharti ya Mkataba, (puncta sunct servanda). Ukitambua hili, basi utaelewa ishu ya Africa Kusini na Putin.
 
Maamuzi ya hii mahakama yanasubiri utekelezaji wa kumakamata yule wanaemwita mhalifu Hadi atoke nchini mwake.

Yanaitaka nchi atakayoitembelea mhalifu huyo ambae mara nyingi ni wahalifu hao hua ni wakuu wa nchi Fulani, mfano Rais Omar wa sudani,kenyata wa Kenya na Sasa Putin wa urusi, akakamatwe au wakakamatwe na nchi aliyokwenda au walizokwenda kutembelea.

Sasa ujinga wa maamuzi ya mahakama hii ni kwamba, hawana uwezo wa kwenda kumkamata mhalifu wao kwake,je mhalifu asiposafiri ndo hakamatwi Tena?

Maamuzi Yao yana faida Gani?

Kwa kawaida Kuna Marais Huwa hawapendi ama hawana tabia ya kwenda nchi nyingine mfano Hayati Magufuli.

Hata hivyo, Mahakama ya ICC imeshindwa kabisa kuwashitaki Marais wa USA Kwa uhalifu wa kivita nchini Iraq na kwingineko.

Mahakama ya ICC inashangaza sana.

Nakuhakikishia
Putin hata akienda SA hawezi kukamatwa,

Ila kilichopo ni kua SA inaogopa vitisho na kusakamwa na mataifa ya west.

Kama SA iligoma kumakama Omar wa Sudani inawezaje kumkamata Rais wa nchi rafiki wa jadi wa bara la Afrika na Rais wa taifa lenye nguvu za kijeshi hapa duniani kama Urusi?

Putin asupokuja SA Kwa kikao Cha Brics sio kwa sababu ya hofu ya kukamatwa na ICC Bali ni kwa sababu za kiusalama nchini kwake, nchi yake Iko vitani na west,kiusalama sio salama kutoka nyumbani.

Putin anaonekana kabisa kukaribia kuuangusha ufalme wa west,hivyo nao unajaribu kufanya Kila liwezekanalo kutaka kumshinda.
Umesema? "Putin asupokuja SA Kwa kikao Cha Brics sio kwa sababu ya hofu ya kukamatwa na ICC Bali ni kwa sababu za kiusalama nchini kwake, nchi yake Iko vitani na west, kiusalama sio salama kutoka nyumbani" dah kumbe hata ndani urusi sio salama kwa Putin ehhhh yaan Putin anahofu nje na ndani🤣😂 anapigwa nje na ndani🤣😂😭😟
 
Kwa kukusaidia iko hivi, ICC haina jeshi na amri zake hutekelezwa na nchi wanachama. Aidha, kuna makosa kama ugaidi, ambayo hata kama nchi si mwanachama anapaswa kutekeleza maamuzi ya mahakama. Kwa mujibu wa sheria za Kimataifa ambazo zinaheshimu mamlaka ya nchi (sovereignity), huwezi kuwa na jeshi ambalo litakeleza moja kwa moja amri za mahakama katika nchi huru yoyote, bali nchi husika inapaswa kutekeleza masharti ya Mkataba, (puncta sunct servanda). Ukitambua hili, basi utaelewa ishu ya Africa Kusini na Putin.
Good mkuu,jibu safi na salama hana haja ya kutumia kinga.
 
Umesema? "Putin asupokuja SA Kwa kikao Cha Brics sio kwa sababu ya hofu ya kukamatwa na ICC Bali ni kwa sababu za kiusalama nchini kwake, nchi yake Iko vitani na west, kiusalama sio salama kutoka nyumbani" dah kumbe hata ndani urusi sio salama kwa Putin ehhhh yaan Putin anahofu nje na ndani🤣😂 anapigwa nje na ndani🤣😂😭😟
Sio ligi ya nani ni nani....elewa jibu kama hukubaliani nalo songa mbele
 
Maamuzi ya hii mahakama yanasubiri utekelezaji wa kumakamata yule wanaemwita mhalifu Hadi atoke nchini mwake.

Yanaitaka nchi atakayoitembelea mhalifu huyo ambae mara nyingi ni wahalifu hao hua ni wakuu wa nchi Fulani, mfano Rais Omar wa sudani,kenyata wa Kenya na Sasa Putin wa urusi, akakamatwe au wakakamatwe na nchi aliyokwenda au walizokwenda kutembelea.

Sasa ujinga wa maamuzi ya mahakama hii ni kwamba, hawana uwezo wa kwenda kumkamata mhalifu wao kwake,je mhalifu asiposafiri ndo hakamatwi Tena?

Maamuzi Yao yana faida Gani?

Kwa kawaida Kuna Marais Huwa hawapendi ama hawana tabia ya kwenda nchi nyingine mfano Hayati Magufuli.

Hata hivyo, Mahakama ya ICC imeshindwa kabisa kuwashitaki Marais wa USA Kwa uhalifu wa kivita nchini Iraq na kwingineko.

Mahakama ya ICC inashangaza sana.

Nakuhakikishia
Putin hata akienda SA hawezi kukamatwa,

Ila kilichopo ni kua SA inaogopa vitisho na kusakamwa na mataifa ya west.

Kama SA iligoma kumakama Omar wa Sudani inawezaje kumkamata Rais wa nchi rafiki wa jadi wa bara la Afrika na Rais wa taifa lenye nguvu za kijeshi hapa duniani kama Urusi?

Putin asupokuja SA Kwa kikao Cha Brics sio kwa sababu ya hofu ya kukamatwa na ICC Bali ni kwa sababu za kiusalama nchini kwake, nchi yake Iko vitani na west,kiusalama sio salama kutoka nyumbani.

Putin anaonekana kabisa kukaribia kuuangusha ufalme wa west,hivyo nao unajaribu kufanya Kila liwezekanalo kutaka kumshinda.
Unaweza kuiita mahakama ya mmarekani kuwaonea wenzake 😂😂🏃
 
Umesema? "Putin asupokuja SA Kwa kikao Cha Brics sio kwa sababu ya hofu ya kukamatwa na ICC Bali ni kwa sababu za kiusalama nchini kwake, nchi yake Iko vitani na west, kiusalama sio salama kutoka nyumbani" dah kumbe hata ndani urusi sio salama kwa Putin ehhhh yaan Putin anahofu nje na ndani🤣😂 anapigwa nje na ndani🤣😂😭😟
Kwa hizi vurugu za mutiny ya Prighozin juzi juzi hapa sio rahisi na salama kwenda long trip kwa wakati huu. Mahasimu wake wanamuwinda vibaya mno, one mistake one goal. Asijeshangaa anatua tu South then Shoigu amwambie ishia huko huko ndo imetoka hiyo, atafanyaje.
 
Kwa hizi vurugu za mutiny ya Prighozin juzi juzi hapa sio rahisi na salama kwenda long trip kwa wakati huu. Mahasimu wake wanamuwinda vibaya mno, one mistake one goal. Asijeshangaa anatua tu South then Shoigu amwambie ishia huko huko ndo imetoka hiyo, atafanyaje.
Umeandika kitu kuntu sana uko sahihi kwa sasa hata Shoigu atakuwa hamuamini
 
Putin anaonekana kabisa kukaribia kuuangusha ufalme wa west,hivyo nao unajaribu kufanya Kila liwezekanalo kutaka kumshinda.
Ameshamwangusha Zelensky mpaka awafikie hao West ?

Sasa ujinga wa maamuzi ya mahakama hii ni kwamba, hawana uwezo wa kwenda kumkamata mhalifu wao kwake,je mhalifu asiposafiri ndo hakamatwi Tena?
Icc haina jeshi wala polisi ila nchi wanachama ndio wenye wajibu wa kumkamata mhalifu na kumpeleka huko kama mkataba unavyoelekeza.
 
Ni nchi gani imewahi kumkamata mtuhumiwa wa ICC na kumpeleka The Hague?

Hii ni Mahakama ya kunyanyasa viongozi wa Afrika tu na wale wa iliyokuwa Yugoslavia
Ujerumani ilimkamata kiongozi wa Fdlr ikampeleka huko Hague...hata Charles Taylor wa Liberia, Laurent Gabgo wa Ivorycoast, Waasi wa Mali wote walikamatwa na nchi zao au nchi shirika na kupelekwa huko Hague.

Huyo Putin anayetakiwa huko Icc ni kiongozi wa nchi gani ya Africa ?
 
Back
Top Bottom