Watanzania na Ubaguzi Wa Ujinga!

Nina threads humu nilianzisha nikizungumzia maana ya Daresalaam
i wonder kama umewahi zisoma

Sikumbuki kama nimezisoma au la, tuwekee link kwa faida ya wengi. Maana mada kuu hapa ni Watanzania na Ubaguzi wa Ujinga. Everything goes. Tukimnyima mtu fursa ya kufunguka tutakuwa ndio wale wale tunaowaongelea.
 
Umesema mengi lakini yote yanaelekea katika ule ule muondelezo wa Ubaguzi wa ujinga.

Kuhusu Mkwawa, iwe ameadika mwenyewe au ameandikiwa hilo si tatizo. Kwani leo hii hata mimi siyaandikia haya, kompyuta inaniandikia. Upo hapo ulipo, ni mawazo yangu yanahitimishwa na njia ya kiteknolojia, wakati wa uchache wa teknljia kulikuwa kuna watu wanaitwa "scribes" kazi yao ilikuwa ni kuwaandikia wenye mawazo ya kuandika iwe barua au risala. Ndiyo maana nikatumia maneno yote mawili, nikajuwa kuna kina wewe humu watakuja na hoja dhaifu kuhusu hilo.

Kuhusu Zanzibar kutawala Oman, nilikuwekea na ushahidi kuwa jina Zanzibar halikuanzia unapofikiria wewe, sijui umeshasoma kuhusu Zenj Empire? sijui umeshasoma kuhusu utawala wa Mfalme Suleiman, au unausikia tu. Sijui umeshasoma kuhusu watu wa Tembo? sijui hta kama umeshasoma kuhusu Arusha na jina hilo lina maana ipi, licha ya kukupeleka mbali sana. Bado ungali mchanga katika historia na inakubidi usome sana, elimu haina mwisho na haianzii wala kuishia ndani ya kuta nne.

Nadhani historia kwako ni ile nnayoiongelea mimi ya Ubaguzi wa Ujinga.

Nna uhakika hata maana ya sentensi hiyo itakuchanganya sana.

Nakuuliza hivi, unajuwa kuwa baadhi ya bara Asia lilitawaliwa na Malkia wa kutoka Kontinenti hili la Afrika? kwa jina akiitwa Bilqis au Balqis? unajuwa utawala wake ukiitwaje? ukipata jibu, njoo tuongee kuhusu Zanzibar na Oman ni nani alimtawala mwenzake mwanzo.

Blah blah blah zomba, kompyuta haikuandikii, unaandika wewe. Mimi sikuona mashiko ya ulichoongea kuhusu Mkwawa. Kama unamuandikia barua Mhindi, utaandika kwa kichaga? Bila shaka utamtafuta mwenye kujua kihindi akuandikie ili mhindi apate kuelewa.

Acha uongo wa kuungaunga zomba. Bilqis alikuwa Malkia wa Sheba (Ethiopia) na si Zanzibar na hata hivyo Utawala wake kamwe haukuihusu Oman zaidi ya Yemen. Tafuta uongo mwingine wa ku-justify ZANZIBAR kuitawala OMAN.
 
Last edited by a moderator:
Utaishia kujibu tusentensi tudogo na kukimbia mada yako mwenyewe. Huyo keshaelewa, jibu hoja zangu nipate kukuelewa pia.

Hoja yako ya Zanzibar nilikujibu kwenye nyuzi nyingine nikakuwekea na mabandiko ya kihistoria, leo umerudi tena na lilelile, ina maana hujaridhika? Na maswali niliyokuuliza na nikakueleza hapo juu uyapatie majibu, umeshayapata hayo majibu? umeshamjuwa Balqis na utawala wake ukiitwaje? kama hujui na au hujapata jibu, funguka tu, niko hapa kwa ajili ya watu kama wewe, waliotokea kwa wale waalimu niliowataja kwenye post namba moja.
 
Blah blah blah zomba, kompyuta haikuandikii, unaandika wewe. Mimi sikuona mashiko ya ulichoongea kuhusu Mkwawa. Kama unamuandikia barua Mhindi, utaandika kwa kichaga? Bila shaka utamtafuta mwenye kujua kihindi akuandikie ili mhindi apate kuelewa.

Acha uongo wa kuungaunga zomba. Bilqis alikuwa Malkia wa Sheba (Ethiopia) na si Zanzibar na hata hivyo Utawala wake kamwe haukuihusu Oman zaidi ya Yemen. Tafuta uongo mwingine wa ku-justify ZANZIBAR kuitawala OMAN.

Pole sana kuwa hujui kuwa utawala wa Bilqis ulitoka Kaskazini mpaka kusini ya Afrika, Zanzibar ikiwemo. Na pia pole sana kuwa hujui kuwa Oman ilikuwa ni part and parcel ya Yemen. Ukiyajuwa hayo hautakuwa mbishi, kidogo tu, soma hapa:
Classical geographers divided Arabia into three regions: Arabia Petraea ("rocky"), Arabia Deserta ("deserted"), and Arabia Felix ("fortunate"). The last, the southwestern corner, included the territory now occupied by Yemen. The region was the site of a series of rich kingdoms that dominated world trade. The wealthy kingdom of Sheba (or Saba), with its capital at Ma'rib, is the best known of the South Arabian kingdoms. The prosperity of this kingdom (10th to 2d centuries bc) was based on the spice and incense trade. Competition from new trade routes undermined Sabaean prosperity and caused the kingdom to decline. From the 2d century bc to the 6th century ad, the Himyarite dynasty, of ethnic stock similar to that of the Sabaeans, ruled in Arabia Felix, and paganism gradually gave way to Christianity and Judaism.
Source: http://www.encyclopedia.com/topic/Yemen.aspx


Oman iko wapi hapo? Ukiiona nijulishe.

Ukimaliza hapo, pitia kidogo hapa, upate vit vya ndani, vitavyoifanya Jumapili yako kuwa ya faida kubwa kwako:

The People of ‘Ad and Ubar, the Atlantis of the Sands
 
Blah blah blah zomba, kompyuta haikuandikii, unaandika wewe. Mimi sikuona mashiko ya ulichoongea kuhusu Mkwawa. Kama unamuandikia barua Mhindi, utaandika kwa kichaga? Bila shaka utamtafuta mwenye kujua kihindi akuandikie ili mhindi apate kuelewa.

Acha uongo wa kuungaunga zomba. Bilqis alikuwa Malkia wa Sheba (Ethiopia) na si Zanzibar na hata hivyo Utawala wake kamwe haukuihusu Oman zaidi ya Yemen. Tafuta uongo mwingine wa ku-justify ZANZIBAR kuitawala OMAN.

Mimi wala siandiki, mimi na bofya tu. Ntaweza kuandika haya yote? tena siku hizi kopyuta huwa naisemesha tu, mengine inaandika yenyewe, ushaijaribu hii program: Dictate text using Speech Recognition

Ukikuwa utaacha.
 
Umesema mengi lakini yote yanaelekea katika ule ule muondelezo wa Ubaguzi wa ujinga.

Kuhusu Mkwawa, iwe ameadika mwenyewe au ameandikiwa hilo si tatizo. Kwani leo hii hata mimi siyaandikia haya, kompyuta inaniandikia. Upo hapo ulipo, ni mawazo yangu yanahitimishwa na njia ya kiteknolojia, wakati wa uchache wa teknljia kulikuwa kuna watu wanaitwa "scribes" kazi yao ilikuwa ni kuwaandikia wenye mawazo ya kuandika iwe barua au risala. Ndiyo maana nikatumia maneno yote mawili, nikajuwa kuna kina wewe humu watakuja na hoja dhaifu kuhusu hilo.

Kuhusu Zanzibar kutawala Oman, nilikuwekea na ushahidi kuwa jina Zanzibar halikuanzia unapofikiria wewe, sijui umeshasoma kuhusu Zenj Empire? sijui umeshasoma kuhusu utawala wa Mfalme Suleiman, au unausikia tu. Sijui umeshasoma kuhusu watu wa Tembo? sijui hta kama umeshasoma kuhusu Arusha na jina hilo lina maana ipi, licha ya kukupeleka mbali sana. Bado ungali mchanga katika historia na inakubidi usome sana, elimu haina mwisho na haianzii wala kuishia ndani ya kuta nne.

Nadhani historia kwako ni ile nnayoiongelea mimi ya Ubaguzi wa Ujinga.

Nna uhakika hata maana ya sentensi hiyo itakuchanganya sana.

Nakuuliza hivi, unajuwa kuwa baadhi ya bara Asia lilitawaliwa na Malkia wa kutoka Kontinenti hili la Afrika? kwa jina akiitwa Bilqis au Balqis? unajuwa utawala wake ukiitwaje? ukipata jibu, njoo tuongee kuhusu Zanzibar na Oman ni nani alimtawala mwenzake mwanzo.

Yaani wewe ndio mbumbumbu kabisa toka lini znbr ikaitawala oman??mfalme suleman alitawala israel sasa nyinyi hata hao wayaudi wenyewe wenye mfalme wao hajawahi kusema kuwa alitawala znzb kwa watu weusi kwenye vitabu vya historia yao iweje leo we mbantu unasema kuwa suleiman alitawala EA,??

Kuhusu malqia Balqis hakuwa mwafrika wala hakuwahi kufika afrika yeye alikuwa malkia wa empire of sabah,nayo iko yemen ndugu siyo afrika!!!

bila shaka kama ungeweza ungesema kuwa wewe ni mwarabu na unatamani kuwa mwarabu sababu wewe nakumbuka ndo tulikuwa tunabishana majuzi unang'ang'ania kuwa wazanzibar na wewe japo weusi lakini ni waarabu,soma history mdogo wangu tembea duniani uone kuthibitisha unachokisoma nilishakueleza kuwa yemen kuna waafrika wazawa wapo toka nabii isa lakini hadi leo wanabaguliwa na jina nikakutajia nakumbuka.
nikakwambia iraq kuna watu waliotoa znzbr na mombsa na bara wanabaguliwa huko basra.hivi kwa nini wewe unawapenda hao waarabu wenzako walihanisiwa huko uarabuni na najua wewe ni mzenji mana hata siku ile ulisema na pia wazenji ndio wanaowaabudu waarabu milele.
we mswahili kama mimi uitawale oman na hao kina al harthy,kharus na nabahany walikuwa wapi enzi hizo hawajakutemea mate usoni na kukuita mtumwa???
 
Pole sana kuwa hujui kuwa utawala wa Bilqis ulitoka Kaskazini mpaka kusini ya Afrika, Zanzibar ikiwemo. Na pia pole sana kuwa hujui kuwa Oman ilikuwa ni part and parcel ya Yemen. Ukiyajuwa hayo hautakuwa mbishi, kidogo tu, soma hapa:



Oman iko wapi hapo? Ukiiona nijulishe.

Ukimaliza hapo, pitia kidogo hapa, upate vit vya ndani, vitavyoifanya Jumapili yako kuwa ya faida kubwa kwako:

The People of ‘Ad and Ubar, the Atlantis of the Sands

Blah Blah Blah zomba, Kwa hiyo Bilqis aliitawala Zanzibar pia au Zanzibar iliitawala Bilqis?

Kwa hiyo ni sahihi basi kusema Mafia iliitawala Oman. Pemba iliitawala Oman. Ethiopia iliitawala Oman. Mwanakwerekwe iliitawala Oman, tehe tehe tehe!

Hii Historia kamfundishe mwanao halafu muandae lawama kwa Ndalichako.

Na kama unahitaji mashabiki wengi nenda Radio Imani kaihubiri, hakika watafurahi wenye masikio
 
Last edited by a moderator:
Mimi wala siandiki, mimi na bofya tu. Ntaweza kuandika haya yote? tena siku hizi kopyuta huwa naisemesha tu, mengine inaandika yenyewe, ushaijaribu hii program: Dictate text using Speech Recognition

Ukikuwa utaacha.

Well then, kwa hiyo hapo huandiki unabofya tu. Sasa mbona sioni kitu chochote kinachofanana na bedcgeywcndcbueuiee db dhchcbjcs cb chscdsjc shb siucd cde cd chd chcdijc dq cbcsc qsc dc ciqwdc dqw cewqiuer ecwdq c huwdnbcjw qbijwbdq?

Kweli akili nzuri ukiwa nayo. Kwa hiyo mtu akishika kalamu ya wino yeye anakuwa haandiki, inayoandika ni kalamu. Tehe tehe tehe! Kweli huko madrassa kuna kazi.

Kwa hiyo ukikaa hapo na keyboard yako mtu akakuuliza unafanya nini, utamjibu 'NABOFYA'? Kwa hiyo juzi Mkuu zomba ulibofya kwamba Zanzibar iliitawala Oman?
 
Last edited by a moderator:
Cha kushangaza ni pale kila unapozunguka mbuyu unarudi kuainisha kuwa tuna Ubaguzi wa Ujinga. Kwanini iwe Mwaarabu au Mzungu au Mhindi? au yeyote yule? kwanini isiwe Mwaafrika? iwe kwa jina lolote liwalo, kama ni kigezo tu cha kujuwana kuwa huyu ni Zomba yule ni Mkandara. Kwanini iwe hivyo?

Kwanini siwasikii wasomi waliosomeshwa hizo shule za kujazwa ujinga zikifundisha kuwa Mwaafrika (au jina lolote alilokuwa nalo kabla ya kupachikwa huo Uafriti) ndio alikuwa mtawala wa mwanzo huko bara la Asia? kama ni hivyo, ni wapi niliposoma mimi kuwa Mwaafrika aliitawala Asia? or is it Arabia? siamini kama kulikuwa kuna nchi inaitwa au inajiita Arabia kabla ya mwaka 1932. Jee, wewe hujui kuwa kuna Mwaafrika alitawala Asia kabla ya Waalimu wako kukufundisha kuwa Waarabu na Wazungu walikutawala? Jee, hao Waalimu wako walipokufundisha ujio wa Vasco Da Gama walikufundisha walikuta utawala upi pale Kilwa na Sofala? Jee, kuna uhusiano wowote na Utawala wa Kiafrika uliotawala mpaka Asia?

Raptha iko wapi?

Jiulize kisha ujaribu kueleza Ubaguzi wa Ujinga. Umeugusia mwisho mwisho wa makala yako, Jee, hiyo ndio elimu tuliyopewa? ya kujazwa ujinga? hatukufundushwa nidhamu? nataka kuamini hivyo ndivyo ilivyo lakini sikubali kuwa ni ujinga wa kuwa ni wajinga naamini ni Ubaguzi wa Ujinga.
Sijui ugunduzi wa gesi huko Lindi na Mtwara kutaleta unafuu wowote kwa maisha? au ndio yale yale ya dhahabu na Tanzanite!
 
What do you want to say zomba? Unarudi kule kule...unataka kusema aliyetuletea mema ni mwarabu na sio mzungu wakati wote ni wale wale. Na huo ndio naona ujinga tulionao.

Haijalishi nani alileta mema au nani alileta mabaya.... nadhani mtoa Hoja anamaanisha kwamba watu waseme ukweli hata kama unaharibu maslahi yao....kwa mfano usiseme Dar es salaam maana yake ni Bandari ya salaam wakati ukweli si huo...
 
Haijalishi nani alileta mema au nani alileta mabaya.... nadhani mtoa Hoja anamaanisha kwamba watu waseme ukweli hata kama unaharibu maslahi yao....kwa mfano usiseme Dar es salaam maana yake ni Bandari ya salaam wakati ukweli si huo...

Kwa haya aliyoyaandika, ni lipi ambalo likibadilishwa litaathiri maslahi ya mtu?

Shida hapa ni kwamba mleta mema hakuacha kumbukumbu kwa hiyo ilipaswa kuelezwa taratibu. Mleta mabaya ndio alitufundisha kuhifadhi kumbukumbu na sasa kumbukumbu tulizonazo ni zake. Kama mleta mema naye angeacha shule, hospitali na maktaba, ungekuta tunaenda humo kusoma juu ya mema aliyoacha.

Sasa tufanyaje kama mleta mema ametuachia makaburi tu kule Kaole?
 
Sijui ugunduzi wa gesi huko Lindi na Mtwara kutaleta unafuu wowote kwa maisha? au ndio yale yale ya dhahabu na Tanzanite!

Nakushangaa huongelei haya, ngapi kama au kuliko hii zilizo kwa Waalimu wetu leo hii:

[h=1]The Queen's Williamson Diamond Brooch[/h]
200146%20Williamson%20Diamond%20Brooch%20-44.jpg

The Queen's Williamson Diamond Brooch, 1953
williamson_brooch.jpg

Curator Caroline de Guitaut holding The Queen's Williamson Diamond Brooch
Cartier, London, 1953
Diamonds, platinum
10 × 5.5 cm
The Williamson Diamond is considered the finest pink diamond ever discovered. It was found in October 1947 at the Mwadui mine in Tanganyika, owned by the Canadian geologist and royalist Dr John Thorburn Williamson (1907–58), after whom the diamond was named.
The uncut stone, weighing 54.5 metric carats, was presented by Dr Williamson, as a wedding present to Princess Elizabeth in 1947.
The stone was cut by the firm of Briefel and Lemer of Clerkenwell into a 23.6-carat round brilliant, maximising its luxurious rose colour.
Queen Mary and Princess Elizabeth inspected the work of cutting and polishing during a visit to the Clerkenwell premises on 10 March 1948. When the Queen acceded to the throne in 1952, there was speculation that the stone might be mounted for use at the coronation. However, it was instead set as the centre of a brooch in the form of a jonquil flower, designed by Frederick Mew of Cartier, in 1953.
Dr Williamson wished to add further pink diamonds to his original gift, but as these were not available, he gave The Queen 170 small brilliant-cut diamonds, 12 baguette-cut diamonds and 21 marquise diamonds, which were used to form the petals, stalk and the leaves of this brooch.

Source: The Queen's Williamson Diamond Brooch | The Royal Collection
 
Kwa haya aliyoyaandika, ni lipi ambalo likibadilishwa litaathiri maslahi ya mtu?

Shida hapa ni kwamba mleta mema hakuacha kumbukumbu kwa hiyo ilipaswa kuelezwa taratibu. Mleta mabaya ndio alitufundisha kuhifadhi kumbukumbu na sasa kumbukumbu tulizonazo ni zake. Kama mleta mema naye angeacha shule, hospitali na maktaba, ungekuta tunaenda humo kusoma juu ya mema aliyoacha.

Sasa tufanyaje kama mleta mema ametuachia makaburi tu kule Kaole?

Watanzania na Ubaguzi wa Ujinga.

Jee, kwa sasa umeshaijuwa maana ya Dar Es Salaam?

Huna hamu ya kujuwa maana ya Iraqw?

Huna hamu ya kujuwa maana ya Kiswahili? lugha tamu na adhimu?

Huna hamu ya kujuwa maana ya Arusha na hilo jina limetoka wapi?

Huna hamu ya kujuwa kuwa wewe umejazwa Ubaguzi wa Ujinga?

Kwanini isiwe alikuwepo hapo Kaole na hajaacha bali alifia kwao? au ndio upo katika kuendeleza Ubaguzi wa Ujinga ulioachiwa? mpaka wako na huyo mtenda mema uko wapi? ulianza lini?
 
Nakushangaa huongelei haya, ngapi kama au kuliko hii zilizo kwa Waalimu wetu leo hii:

The Queen's Williamson Diamond Brooch

200146%20Williamson%20Diamond%20Brooch%20-44.jpg

The Queen's Williamson Diamond Brooch, 1953
williamson_brooch.jpg

Curator Caroline de Guitaut holding The Queen's Williamson Diamond Brooch
Cartier, London, 1953
Diamonds, platinum
10 × 5.5 cm
The Williamson Diamond is considered the finest pink diamond ever discovered. It was found in October 1947 at the Mwadui mine in Tanganyika, owned by the Canadian geologist and royalist Dr John Thorburn Williamson (1907–58), after whom the diamond was named.
The uncut stone, weighing 54.5 metric carats, was presented by Dr Williamson, as a wedding present to Princess Elizabeth in 1947.
The stone was cut by the firm of Briefel and Lemer of Clerkenwell into a 23.6-carat round brilliant, maximising its luxurious rose colour.
Queen Mary and Princess Elizabeth inspected the work of cutting and polishing during a visit to the Clerkenwell premises on 10 March 1948. When the Queen acceded to the throne in 1952, there was speculation that the stone might be mounted for use at the coronation. However, it was instead set as the centre of a brooch in the form of a jonquil flower, designed by Frederick Mew of Cartier, in 1953.
Dr Williamson wished to add further pink diamonds to his original gift, but as these were not available, he gave The Queen 170 small brilliant-cut diamonds, 12 baguette-cut diamonds and 21 marquise diamonds, which were used to form the petals, stalk and the leaves of this brooch.

Source: The Queen's Williamson Diamond Brooch | The Royal Collection

Asante Mkuu, sasa gesi itatusaidia au ndio nyimbo zinaendelea kuwa zile zile? Historia ya Majimaji kwa jicho la Mohamed Saidi haitunufaishi waislam, wakristo wala mimi kafir! sema neno moja tu, gesi itatatua matatizo ya umaskini wetu?
 
Tanzania haiishiwi maajabu. Cha kushangaza bado tunahimizana kupigia maajabu kura wakati mengine yanashinda bila kura.

Mulugo wa Tanzania: "Tanzania ni Muungano wa Visiwa vya Zimbabwe, Pemba na Tanganyika"

Alipopata nafasi ya kurekebisha hakufanya ajizi: Tanzania ni muungano wa Visiwa vya Zanzibar, Pemba na Tanganyika
(naona hii ni baada ya kuwekana sawa na washauri wake)

zomba wa JF; Zanzibar iliitawala Oman

Baada ya kushikiwa bango na Mwana Mtoka Pabaya wa JF: Malkia Bilqis wa Sheba aliitawala Yemen ambayo ndio Oman
(hii ni baada ya kutafutiza kajibu ka kukaushia toka kwa wanazuoni)
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Zomba, asante kwa uzi wako uliojaa historia potofu. Ninapenda kukuhakikishia kwamba hujui chochote kati ya hayo uliyoyasema zaidi ya kukaririshwa tu. Tuambie ulifanya research lini na uliyoipa title gani na nani waliisimamia? Uliiwasilisha lini, wapi na mbele ya wanataaluma wepi?

Nilipata kukariri na kuandika katika moja ya michango yangu humu JF kwamba "a little knowledge in a variety of subjects makes any fool wise in the midst of fools". Tafadhali tafsiri msemo huu kwa maana ya uelewa na si kashafa kwa yeyote awaye.

Kwa yeyote mwenye kukujua kupitia JF akisoma hadi nusu ya uzi wako atagundua wapi unaelekea na nini lengo lako.
Unaturudisha kule kule kwenye kujaribu kuimarisha mbegu ya ubaguzi, na mbaya zaidi ni wa kidini.

Ijenge TZ, na nadhani ni nchi yako kwa michango na changamoto za kujenga na si kubomoa kama unavyotaka kufanya, inasikitisha.
 
Watanzania na Ubaguzi wa Ujinga.

Jee, kwa sasa umeshaijuwa maana ya Dar Es Salaam?

Huna hamu ya kujuwa maana ya Iraqw?

Huna hamu ya kujuwa maana ya Kiswahili? lugha tamu na adhimu?

Huna hamu ya kujuwa maana ya Arusha na hilo jina limetoka wapi?

Huna hamu ya kujuwa kuwa wewe umejazwa Ubaguzi wa Ujinga?

Kwanini isiwe alikuwepo hapo Kaole na hajaacha bali alifia kwao? au ndio upo katika kuendeleza Ubaguzi wa Ujinga ulioachiwa? mpaka wako na huyo mtenda mema uko wapi? ulianza lini?

Nipo ndani ya mada yako hii ya ubaguzi wa kidini. Umewalaumu Wakristo na Kanisa katoliki kuwa hawakushiriki kwenye vita vya maji maji lkn hakuna sehemu uliyokanusha kuwa Water Water Ideology ni uongo. Umethibitisha kuwa umeona makopo ya kutawadhia yaliyotumiwa na waislamu kabla ya kuingia vitani. Kwako wewe hii ndio Historia ya kweli, sasa swali langu ni hili;

"Kuna sababu gani ya kuwalaumu Wakristo kutoshiriki kwao kwenye vita iliyobase kwenye ideology kama ile ya Kuran ya Mbagala?"
 
Kwa haya aliyoyaandika, ni lipi ambalo likibadilishwa litaathiri maslahi ya mtu?

Shida hapa ni kwamba mleta mema hakuacha kumbukumbu kwa hiyo ilipaswa kuelezwa taratibu. Mleta mabaya ndio alitufundisha kuhifadhi kumbukumbu na sasa kumbukumbu tulizonazo ni zake. Kama mleta mema naye angeacha shule, hospitali na maktaba, ungekuta tunaenda humo kusoma juu ya mema aliyoacha.

Sasa tufanyaje kama mleta mema ametuachia makaburi tu kule Kaole?

Mkuu tayari umeshaelekea katika UDINI....hii ndio imekuwa fashion siku hizi humu JF...ukishakitazama kila kitu kwa mtazamo wa kidini ...hutakubali ukweli .

Kwa hiyo jaribu kuijadili hoja kisomi zaidi ...pia soma hoja kisomi.....kwa sababu kuna watu wamesoma hoja KIDINI zaidi ...pia kuna watu wamesoma hoja KIUPINZANI zaidi....

Ukisoma au ukisikiliza Hoja KIUPINZANI ,teyari utakuwa umeshapata jibu kabla hujamaliza kusoma au kusikiliza..
na siku zote jibu huwa moja tu ..nalo ni kutokukubalianza na hoja.....

Pia usiangalie nani ameleta hoja...angalia hoja inasemaje....la sivyo bado utakuwa ba jibu moja tu,nalo ni kutokukubaliana na hoja....

Kuna wengine Hawasomi hoja nzima....bali hutafuta baadhi ya maneno tu katika hoja(KEY WORDS) kisha anatoa jibu...
Utakuta mtu hajasoma hoja lakini ameona neno "WAISLAMU KUANDAMANA KESHO".....kati kati ya hoja...utakuta anatoa jibu moja tu..nalo ni kupinga hoja nzima....anachoweza kubadilisha ni jinsi ya kupinga lakini siku zote atapinga..anaweza kutoa moja ya majibu yafuatayo

UNEDUCATED FOOL FROM UNEDUCATED SCHOOLS
WAFUGA NDEVU
WAFUGA MAJINI
WAVAA VIPEDO
WALA UBWABWA
WALA HALUWA
WALA TENDE
MAGAIDI

Kwa wale CODE MONKEYS Wenzangu huwa tunasema Hawa watu wamekuwa PROGRAMMED ...
NA PRINCIPLE NI MOJA TU "A WELL WRITTEN PROGRAM WILL ALWAYS PRODUCE SAME OUTPUT FOR THE SAME INPUT"
 
Back
Top Bottom