Watanzania na Ubaguzi Wa Ujinga!

Nipo ndani ya mada yako hii ya ubaguzi wa kidini. Umewalaumu Wakristo na Kanisa katoliki kuwa hawakushiriki kwenye vita vya maji maji lkn hakuna sehemu uliyokanusha kuwa Water Water Ideology ni uongo. Umethibitisha kuwa umeona makopo ya kutawadhia yaliyotumiwa na waislamu kabla ya kuingia vitani. Kwako wewe hii ndio Historia ya kweli, sasa swali langu ni hili;

"Kuna sababu gani ya kuwalaumu Wakristo kutoshiriki kwao kwenye vita iliyobase kwenye ideology kama ile ya Kuran ya Mbagala?"

Unaweza kuweka nukuu ya hayo na namba ya post nilipoyaandika hayo? Nakuhakikishia huna.

Unajidhihirisha kinaga ubaga kuwa u kati ya wale Watanzania wenye zaidi ya Ubaguzi wa Ujinga.
 
Mi ni kati ya wajinga. Ila sina ubaguzi wa kijinga au wa ujinga.
Siumii habari ya wazungu, waarabu au wahindi kuja kwetu kwa sababu naamini wao ni binadamu waliokuwa wakitafuta maisha kama mimi leo. Njia zao kama ziliwaumiza wengi au ziliwanufaisha wengi muhimu malengo yao yatimie.
Kama ningependa na ningeona umuhimu wa kuyajua hayo yote ningeyajua, kwa sababu najua nia ya mtu haishindwi kirahisi labda afe au akate tamaa mwenyewe. Kuwa mjinga kwa sababu ya kutopenda hayo nakubali kabisa kwa sababu yako ninayoyapenda kuyajua nayahangaikia.
Jina langu binafsi huwa halieleweki, linajulikana tu na wale wanabahatika kulisikia linakumbukwa na wale wanaoona sababu ya kulikumbuka.
Wanadamu wengi ni wabaya, historia nyingi zimepotoshwa naamini hata historia ya familia yangu. There are very few honest people which can give the reality even though some honest will hide some of truth for their interest. Napenda ule msemo, sahau yaliyopita, tugange yajayo. My future matters more than my past.
 
Mimi naomba kuelezwa maana ya Ubaguzi wa Ujinga zomba, natanguliza shukrani

Ahsante Elizabeth, Ubaguzi wa ujinga una maana pana sana lakini kwa uchache ni kujazwa vichwani mwetu ( to be "programmed" or rather "brain washed"), kuwa sisi ni "inferior" na ndio maana hata Kontinenti letu likaitwa AFRIKA kwa maana halisi ya neno hilo kuwa lina uhusiano moja kwa moja na AFRIT. Jee, Elizabeth ni kweli Kontinenti hili na watu wake ni kizazi cha AFRIT? mimi siamini hilo.

Kama vile hilo halitoshi, leo hii historia inatujaza Ujinga wa kutokuelewa maana hata kidogo na maana tunayoielewa ni ile wanayoitaka waliotujaza ujinga. Wametu "brain wash" kuamini kuwa watu weusi wanatokana na Afriti na watu weupe wanatokana na Mungu "mzungu". Hawakuishia hapo wakatuaminisha kabisa Waarabu si Watu wa Kontinenti hili wakati ukweli ni kuwa Waarabu asili na fasili yao ni Kontinenti hili, na lugha ya Kiarabu ndio haswa maana ya Uarabu na si taifa au kabila fulani. Leo hii, ukimsemesha mtu kuhusu Waarabu kitu cha kwanza anaamini ni weupe, cha pili anaamini ni watu wanaotoka Uarabuni, ukimuuliza Uarabuni ni wapi? hajui.

Tunaaminishwa kuwa siye tu wa Kontinenti hili ndio tulitawaliwa wakati ukweli ni kuwa watu wa Kontineti hli walitawala baadhi ya Asia kabla ya wao kutawaliwa.

Juzi juzi ma scientist we genetics wamegunduwa kuwa Waingereza wana genes nyingi zaidi za kutoka Kontinenti hili (nachelea kuiandika Afrika kwa kuwa siamini kuwa sisi tumetokana na Afrit). Jee, kuna iwezekano kuwa Tuliwatala hata Yuropa kabla ya wao kututawala sisi? kwanini isiwe hivyo ikiwa viashiria vyote vinaonesha binaadamu wa kwanza alitokea kwetu? Tutaendelea kidogo-kidogo.

Huo ni baadhi ya Ubaguzi wa Ujinga tuliojazwa nao. Kila tunapoendelea na hii mada utauona kwa mapana yake na utaufahamu tu.
 
Naamini na nnadiriki kuandika kuwa Watanzania ni wabaguzi, ubaguzi wao si wa kidini au wa kijinsia au wa kikabila au wa rangi. Hizo ndio njia kuu zijulikanazo za ubaguzi duniani.

Watanzania, wengi wao, hawana kabisa ubaguzi huo. Ubaguzi wa Watanzania ni wakijinga au wa ujinga. Naamini kabisa kuwa ubaguzi wa Watanzania ni wa ujinga zaidi ya wakijinga. Ujinga hawana ila wana ubaguzi wa ujinga.

Ikiwa Watanzania hawana ujinga, huu ubaguzi wa ujinga wameutowa wapi? nna uhakika kuwa huu ubaguzi wamepachikwa na Waalimu wao na Waalimu wao walipachikwa na Waalimu wao na hao Waalimu wao walipachikwa huu ujinga walipojengewa mashule na kusomeshwa na kufundishwa cha kuja kuwafundisha hao waliotarajiwa kuwa ndio watakuja kufundisha, matokeo wamewajaza Watanzania ubaguzi wa ujinga.

Mara kadhaa humu JF nimekuwa nikitumia sentensi "uneducated fool from an uneducated school", nna uhakika wanaonisoma humu JF wameshaisoma sentensi hiyo, si mara moja wala mbili, wako walioielewa wakakaa kimya na wako walioielewa wakashindwa kuielewa na wakaanza kung'aka kuwa hilo si neno la kueleweka. Sina haja ya kulielewesha kwani, muelewa huelewa haeleweshwi. Asiyeelewa hutaka kuelewa na huuliza ili aelewe wala hataharuki na kujifanya anajuwa asichokijuwa, moja ya ubaguzi wa ujinga.

Ubaguzi mwengine wa ujinga tuliokuwa nao na uliojazwa vichwani mwa wengi ni kuwa Vasco Da Gama ndio kaivumbuwa hii Tanzania au Tanganyika wakati ukweli ni kuwa wakati wa Vasco Da Gama jina Tanzania halikuwepo wala Tanganyika halikuwepo. Kuna anaelipinga hili? Anza.

Isitoshe, Vasco Da Gama hajawahi kuikanyaga ardhi ya nchi hii, ambayo leo inaitwa Tanzania (jina aliloipa Muhindi wa Tanga). Vasco Da Gama aliishia baharini alipotia nanga manuwari zake, hajashuka wala kuigusa hii ardhi ambayo wengi wanajazwa ujinga wa kusema kuwa Vasco Da Gama ndio mvumbuzi. Swali la kujiuliza, Jee, Vasco Da Gama alivumbuwa kipi? alimkuta nani hapo Kilwa? (Naomba wajuzi wanipe maana ya neno "Kilwa") labda hilo ni neno la Kireno? kwa kuwa umeaminishwa kuwa Vasco Da Gama kapavumbuwa? au maana ya jina (au neno) Sofala, zilipotuwa kwanza manowari zake, ambako alipewa nahodha kipofu akamuongoza hadi Kilwa. Ndio kipofu. Ni ajabu lakini kweli.

Jee, hayo mmeyasoma huko mnakojazwa ujinga? Ni wangapi leo hii wanaojuwa kuwa hapa katika Ardhi hii kulikuwa kuna mji, kama si nchi, inayoitwa Raptha? Hii Raptha iko wapi? ilianza lini na nani walikuwa Watawala? na imeshia wapi? Maweee!

Nani leo hii anaejuwa kuwa Majimaji ilikuwa ni vita isiyokubalika na wengi leo hii?

Nani anaejuwa kuwa Mkwawa alikuwa anaandika Kiarabu, japo kuandikiwa?

Nani leo hii anaekiri kuwa nchi hii ina mbegu na si shina au tawi tu la Uarabu, la hasha, si nchi hii, Kontinenti hili? Nakuhakikishia hakuna. Kwanini hakuna? ni Ubaguzi wa ujinga.

"Afrika" ni lugha gani, au neno? tuseme jina hilo? vyovyote, iwavyo na iwe, limetokana na lugha gani uijuwayo wewe? zaidi ya neno au jina "Afrit"? kama huna zaidi ya hapo basi ujuwe umejazwa ujinga.

Dar Es Salaam. ni lugha ipi na neno hilo linatoka wapi? anaekuambia ni "Bandari Salama" basi huyo kakujaza ujinga kwani si maana yake ya ukweli.

Arusha, unajuwa maana yake? na neno hilo limetoka wapi? hali kadhalika Tanga? Tabora? Morogoro? Ruaha? Mbeya? Shinyanga? Zanzibar?

Kama huyajui yote hayo basi ujuwe umejazwa ujinga wa ubaguzi wa ujinga. Hakuna zaidi.

Tujadiliane.

ZOMBA...Nadhani formula uliyoitumia ni ngumu kwa wengine kufahamu.Na hii inachangia kutokana na historia tuliyosoma mashuleni ipo tofauti na utakazozipata nje hata uki google pengine ikawa tofauti.Kuna mengi yaliyojificha nyuma ya pazia lakini sio rahisi kwa wengine kuyajuwa au kuamini kwasababu wanaendelea kuamini walichokisoma mashuleni.Na sio rahisi kumbadilisha mtu imani aliyokuwa nayo ktk historia aijuayo ila kwa kutaka mwenyewe kwa mapenzi yake akiwa anataka kufanya utafiti wake.Ila maelezo yako yanaweza kueleweka ikiwa mtu ameisoma historia nje ya ile tunayofundishwa mashuleni.

Lakini yote yote kuijua historia ya kweli ya nchi yako ni nzuri sana na inaweza kuleta maendeleo mazuri Ila siwezi kuisimulia.Nategemea kusoma coment za watu na kujua jinsi gani watanzania wanaelewa historia yao.
All the best.
 
Mwanangu Zomba rudi kwenu Kamachumu ufundishwe kufikiri. Hakuna ujinga na upuuzi kama kutaka kujionyesha umesoma kuliko wengine. Hakuna ujuha kama kudhani kuwa kwa kuwatukana watu unawaelimisha. Nimegundua makosa yafuatayo kwenye mada hii
Mosi mleta mada anajiona kasoma sana kwa vile amesoma mistari miwili ya historia,
Pili, mleta mada licha ya kuhitaji kuelimishawa anaonyesha udhaifu mkubwa kwa ujumlisho wake wa kuwafanya watanzania wote waonekane wajinga. Ndiyo kila mtu ni mjinga katika jambo au mambo fulani.
Tatu, mleta uzi hana chembe ya adabu na aibu. Allichofanya ni kuonyesha upogo na ujuha wake zaidi ya elimu,
Nne, mada yenyewe aliyoleta haielewi vizuri,
Tano, Mada yenyewe haieleweki zaidi ya kurejea jambo moja ujinga ambao hata hivyo hajauthibitisha kwa ngazi ya taifa zaidi ya ujinga wake binafsi,
Sita mleta hoja ameleta hoja isiyo na utafiti,
Sita, mada yenyewe imeandikwa hovyo haina mtiririko kimantiki,
Saba,Mleta mada anatumia maneno mazito kama vile watanzania ni wajinga, jambo ambalo kiutafiti ni hatari. You don't just make such vague and bold statements without supporting them with evidence with empirical realities.
Nane, licha ya kukose premises mleta mada ameshindwa hata kutoa hoja yenye mashiko ambayo angeweza kuitetea kwa ushawishi wa kiakili.
Tisa, mleta mada ametumia hasira badala ya busara na akili.
Na mwisho mleta mada ndiye mjinga hata zaidi ya wale anaowashutumu.
Makosa yake ni mengi yanweza kufika hata mia kama ningekuwa na muda wa kuichambua mada yenyewe.

Huyu ni wa kuua tu, sio kurudisha nyumbani akafunzwe upya. Kumrudisha huyu kufunzwa upya ni kutumia resources vibaya. Kiwango hiki cha ujinga alichonacho strictly speaking ni cha kumkatia tamaa na siyo kufikiri kumrudisha darasani. Muda na nguvu utakazotumia kumfunza huyu, bila kuwa na uhakika kuwa ataelimika au hapana, ni bora ukazitumia kukusanya na kuwafunza watoto wa mitaani some vocational skill na Mungu atakubariki.
 
Oxford Encyclopedia of Women in World History: [h=2]Queen of Zanzibar Mwana Mwema[/h]
Top
Home > Library > Miscellaneous > Oxford Articles

(fl.c.1650), Swahili-speaking queen caught up in complicated diplomatic and military struggles. Although debates surround the historical role of women as political leaders in Swahili-speaking societies, ample evidence documents the existence and rule of Mwana Mwema, often named as one of the early queens of Zanzibar. More specifically, she probably served as the queen of the Wahadimu people, the indigenous inhabitants of the island of Zanzibar and one of the peoples generally categorized as Swahili.

Much confusion surrounds Mwana Mwema's historical role, in part because her name is similar to that of a later queen of the Tumbatu people of Zanzibar, Mwana wa Mwana . Further, attempts to popularize Zanzibar as a tourist destination have led to descriptions—on several Web sites, for instance—of Mwana Mwema as the local leader who “liberated Zanzibar from the Portuguese.” The story is a bit more complicated, with Mwana Mwema certainly struggling to maintain the island's independence and even survival during a period when various external forces sought control of the lucrative ocean trade serviced by important ports of call like Zanzibar.

Prior to European or Arab colonization, the East African coast was organized politically into a number of city-states, typically ruled by a hereditary ruler or governed by federations of ethnic groups. Hereditary rulers were considered royalty and were called “kings” and “queens.” Local Swahili names for the positions also existed, varying by location along the coast. In Mwana Mwema's case, she was the female equivalent of the local mwinyi mkuu (typically translated as “king”) of the indigenous Hadimu people of Zanzibar.

Beginning in the early sixteenth century, Portugal attempted to gain political control over the East African coast as a means of securing a monopoly over the trade routes providing European access to the luxury goods available from the Far East—that is, India and China. British, Dutch, and Turkish forces soon followed suit, with Omani Arabs playing a key role by the mid-seventeenth century. Local governments and leaders along the coast, such as Mwana Mwema, were caught up in complicated diplomatic and military struggles, seeking to create alliances with various neighbors or invaders in order to survive. Letters between rulers documented those struggles, and political alliances were also established or strengthened through strategic marriages, comparable to the marriage alliances of European royalty.

According to both Portuguese records and local traditions, in 1652 Mwana Mwema was expelled from Zanzibar by the Portuguese. Although initially an ally of Portugal's, Mwana Mwema had called on Omani forces for assistance following the defeat of the Portuguese in Muscat, Oman, in 1650. In the Omani attack on Zanzibar that followed, the Portuguese settlement was destroyed, Augustinian monks were killed, and Christians were imprisoned. The Portuguese immediately retaliated with their own raid, seeking to punish Mwana Mwema for her treasonous appeal to the Omanis. A force arrived from Portugal, razed the town, and “drove out the Queen of the island and her son, the king of Otondo” ( Strandes , p. 200).

The only other available biographical details indicate that she was married to an Arab from Yemen and that she was succeeded as mwinyi mkuu by her brother Yusuf. Following Yusuf's reign, Mwana Mwema's niece Fatuma became queen of the northern part of Zanzibar.



Read more: Queen of Zanzibar Mwana Mwema: Information from Answers.com
 
it is more a comedy than a logic. masanja angeiona hii thread angekuomba uungane nae kwenye comedy. usiwadharau watu kiasi hiki kuna weledi wa kila aina humu jf. ni vema ukawaheshimu kwani na wao wanavokuheshimu. halafu unaunganishaunganisha maneno kujifanya mwanafalsafa kumbe wengine wanaona kama mtoto anayejjifunza kusema. kasome logic
 
Haya ni mambo ya Wajahidina mazee

Nakushangaa sana kama wewe si mmoja katika wenye kujitahidi, kwa maana halisi ya jihadi. Au ulikuwa hujui maana yake?

Au wewe umebweteka tu na hauna jitihada zozote za kimaisha?
 
it is more a comedy than a logic. masanja angeiona hii thread angekuomba uungane nae kwenye comedy. usiwadharau watu kiasi hiki kuna weledi wa kila aina humu jf. ni vema ukawaheshimu kwani na wao wanavokuheshimu. halafu unaunganishaunganisha maneno kujifanya mwanafalsafa kumbe wengine wanaona kama mtoto anayejjifunza kusema. kasome logic

Hakuna aliyedharauliwa, ni wapi umeiona dharau? au wewe ni katika mazao ya wale wenye Ubaguzi wa Ujinga? mimi nikikubaguwa wewe kwa dini yako au wewe ukinibaguwa mimi kwa dini yanagu kama si Ubaguzi wa Ujinga ni nini huo?
 
Ahsante Elizabeth, Ubaguzi wa ujinga una maana pana sana lakini kwa uchache ni kujazwa vichwani mwetu ( to be "programmed" or rather "brain washed"), kuwa sisi ni "inferior" na ndio maana hata Kontinenti letu likaitwa AFRIKA kwa maana halisi ya neno hilo kuwa lina uhusiano moja kwa moja na AFRIT. Jee, Elizabeth ni kweli Kontinenti hili na watu wake ni kizazi cha AFRIT? mimi siamini hilo.

Kama vile hilo halitoshi, leo hii historia inatujaza Ujinga wa kutokuelewa maana hata kidogo na maana tunayoielewa ni ile wanayoitaka waliotujaza ujinga. Wametu "brain wash" kuamini kuwa watu weusi wanatokana na Afriti na watu weupe wanatokana na Mungu "mzungu". Hawakuishia hapo wakatuaminisha kabisa Waarabu si Watu wa Kontinenti hili wakati ukweli ni kuwa Waarabu asili na fasili yao ni Kontinenti hili, na lugha ya Kiarabu ndio haswa maana ya Uarabu na si taifa au kabila fulani. Leo hii, ukimsemesha mtu kuhusu Waarabu kitu cha kwanza anaamini ni weupe, cha pili anaamini ni watu wanaotoka Uarabuni, ukimuuliza Uarabuni ni wapi? hajui.

Tunaaminishwa kuwa siye tu wa Kontinenti hili ndio tulitawaliwa wakati ukweli ni kuwa watu wa Kontineti hli walitawala baadhi ya Asia kabla ya wao kutawaliwa.

Juzi juzi ma scientist we genetics wamegunduwa kuwa Waingereza wana genes nyingi zaidi za kutoka Kontinenti hili (nachelea kuiandika Afrika kwa kuwa siamini kuwa sisi tumetokana na Afrit). Jee, kuna iwezekano kuwa Tuliwatala hata Yuropa kabla ya wao kututawala sisi? kwanini isiwe hivyo ikiwa viashiria vyote vinaonesha binaadamu wa kwanza alitokea kwetu? Tutaendelea kidogo-kidogo.

Huo ni baadhi ya Ubaguzi wa Ujinga tuliojazwa nao. Kila tunapoendelea na hii mada utauona kwa mapana yake na utaufahamu tu.

Asante ndugu zomba kwa maelezo yako. Mi nadhani hapo kwenye ishu Africa uwa hakuna mjadala hata kwa kutazama nakuelewa historia ya kawaida tu utaona Africa haibebi hasa maana halisi ya majority ya wakaazi wa Bara hili la pili kwa ukubwa duniani.
Ebu tuone, kwa uelewa wangu neno Afrika lina derive kutoka neno Afrit japo ukueleza maana yake sasa mimi "ujinga" niliojazwa ni kuwa Afri ni jina la Kilatini lililotumika kutambulisha Carthaginians (watu wenye chimbuko/asili Afrika Kaskazini ambako kwenye eneo ambalo sasa linatambulika kama Tunisia. Hili jina Afri lina uhusiano na Phoenician (lugha ya pwani ya Mediterrania katika sehemu iliyojulikana nyakati hizo kama Kaanani) Sasa kwa lugha hiyo ya Phoenician neno Afri lilimaanisha vumbi (dirt) lakini hypothesis ya mwaka 1981 ili assert ya kwamba hili neno Afri lina sterm kutoka neno la lugha ya kiberber (lugha ya Morroco/North Africa) Ifri au Ifran lenye maana ya mapango ikiwa ni reference ya watu wa mapangoni.
Chini ya Utawala wa Roma Carthage ikaja kuwa Capital ya jimbo la Afrika ambayo pia ilijumuisha pwani ya eneo linalojulikana sasa kama Libya.
Suffix ya Kilatini "ica" wakati mwingine inaweza kutumika kuashiria ardhi mfano Celtica kutoka Celtes. Kwahiyo utaona jinsi neno Africa lilivyokuja na ilikuwa inarefer watu gani.
Ufalme wa Kiislamu wa Ifriqiya (kwa sasa Tunisia) uliendeleza kutunza form ya jina hilo.
Sasa question is, ubaguzi wa ujinga according to you unamweka wapi Mwarabu na Mzungu katika Bara hili la "Waafrika" weusi?
 
zomba mwarabu si lugha ndugu yangu mwarabu ni aina ya watu huko iraq kuna watu weusi wanaongea kiswahili mbona hawaitwi waarabu basi au hata waarabu weusi mbona hawaruhusiwi hadi leo kuoa binti za kiarabu mbona wanatengwa wanasemwa wao siyo waarabu sasa uarabu wako wewe wa kuwa mweusi wa tangu lini??huko qatar ukienda hata ukiongea kiarabu na rangi yako hiyo nyeusi utaitwa mwafrika tu. sasa kama waarabu wenyewe wanaweza kukubagua na kukusema kuwa wewe siyo mwenzao we utajilazimishaje kuwa wao.jua kabisa niwa hawezi kuruka katika kundi la kunguru hata akiwa mweusi namna gani. elewa mdogo wangu.
 
Msemo wako Mkuu Zomba "uneducated fool from an uneducated school"
huu msemo wako naomba ufafanuliwe na wana linguistics hasa hapo "uneducated school " school is inanimate so it can't take an action/adjective commonly used with animate especially human beings. mfano animates can eat things that are edible. mfano huwezi kusema the boy ate the spoon hapo spoon inakorofisha kwa vile si edible.
ni vizuri zaidi kutoa hoja kuliko kuponda. kama kuna kitu unadhani ungependa watu wakijue basi andika kama makala watu watajifunza na kukushukuru
 
Inawezekana Bw. Zomba amesikia hadidhi hii ikitolewa somewhere na yeye akaichukua bila kujiandaa kwa lengo la kuonyesha naye yumo kwenye JF. Mada hii ilivyowekwa ina -reflect mazingira ya wazee waliokuwa wamekaa kupoteza muda bila kujua la kufanya na mmoja kati yao akaona wanataka kuondoka ndiyo akaingiza mada kama hiyo ili wazee wenzake waendelee kuwepo hapo. Vinginevyo hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mada kama hii hapa.

Duh! Chief unanivunja mbavu....:)
Kuna ukwali juu ya kupindishwa kwa historia mbalimbali kwa sababu za kipropaganda. Na baadhi ya mambo mengine ni muhimu kuyajua LAKINI SI KWA MALENGO ALIYONAYO ZOMBA. ZOMBA hana haja ya kusaidia mtu kuelewa, na inaonesha hata yeye mwenyewe HAELEWI anachokizungumza. UKIMCHUNGUZA VIZURI NI KAMA MTU ANAYETAKA KUANZISHA MABISHANO YA NANI ZAIDI KATI YA WAARABU NA WAZUNGU AKIWA NA LENGO LAFUATILIZI NA MABISHANO YA KIDINI YA KAWAIDA YA HAPA KWETU. Ndio lengo lake na si vinginevyo. Ni upuuzi kutukana watanzania wote kuwa ni wajinga wakati mjina ni yeye mwenyewe anayetumia kaujanja kadoooooooooooogo, kanakoweza kugundulika mapema.
 
Asante ndugu zomba kwa maelezo yako. Mi nadhani hapo kwenye ishu Africa uwa hakuna mjadala hata kwa kutazama nakuelewa historia ya kawaida tu utaona Africa haibebi hasa maana halisi ya majority ya wakaazi wa Bara hili la pili kwa ukubwa duniani.
Ebu tuone, kwa uelewa wangu neno Afrika lina derive kutoka neno Afrit japo ukueleza maana yake sasa mimi "ujinga" niliojazwa ni kuwa Afri ni jina la Kilatini lililotumika kutambulisha Carthaginians (watu wenye chimbuko/asili Afrika Kaskazini ambako kwenye eneo ambalo sasa linatambulika kama Tunisia. Hili jina Afri lina uhusiano na Phoenician (lugha ya pwani ya Mediterrania katika sehemu iliyojulikana nyakati hizo kama Kaanani) Sasa kwa lugha hiyo Phoenician neno Afri lilimaanisha vumbi (dirt) lakini hypothesis ya mwaka 1981 ili assert ya kwamba hili neno Afri lina sterm kutoka neno la lugha ya kiberber (lugha ya Morroco/North Africa) Ifri au Ifran lenye maana ya mapango ikiwa ni reference ya watu wa mapangoni.
Chini ya Utawala wa Roma Carthage ikaja kuwa Capital ya jimbo la Afrika ambayo pia ilijumuisha pwani ya eneo linalojulikana sasa kama Libya.
Suffix ya Kilatini "ica" wakati mwingine inaweza kutumika kuashiria ardhi mfano Celtica kutoka Celtes. Ufalme wa Kiislamu wa Ifriqiya (kwa sasa Tunisia) uliendeleza kutunza form ya jina hilo.
Hapo utaweza ona kabisa origin ya neno Africa.
Sasa question is, ubaguzi wa ujinga according to you unamweka wapi Mwarabu na Mzungu katika Bara hili la "Waafrika" weusi?

[h=1]afrit[/h] Listen
An afrit is an Arabian mythological character that is evil or demonic and has supernatural powers. (noun)An example of the afrit is the monster who turns a prince into an ape in the piece of Arabic literature titled One Thousand and One Nights.
Source: Afrit | Easy to understand definition of afrit by Your Dictionary


[h=1]Ifrit[/h] From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
This article is about the supernatural creature. For other uses, see Ifrit (disambiguation).
"Afrit" redirects here. For the crossword compiler, Afrit, see Alistair Ferguson Ritchie.

An Ifrit named Arghan Div brings the chest of armor to Hamza.


Ifrit-also spelled, efreet, ifreet, afreet, afrite, and afrit (Arabic: ʻIfrīt: عفريت, pl ʻAfārīt: عفاريت)-are supernatural creatures in Arabic and Islamic cultures. They are in a class of infernal Jinn noted for their strength and cunning. An ifrit is an enormous winged creature of fire, either male or female, who lives underground and frequents ruins. Ifrits live in a society structured along ancient Arab tribal lines, complete with kings, tribes, and clans. They generally marry one another, but they can also marry humans. While ordinary weapons and forces have no power over them, they are susceptible to magic, which humans can use to kill them or to capture and enslave them. As with the jinn, an ifrit may be either a believer or an unbeliever, good or evil, but he is most often depicted as a wicked and ruthless being.
Source: Ifrit - Wikipedia, the free encyclopedia


Afriki is an abode of Afrit, Afrikiya is from Afrika. (My meaning).

Amma kuhusu Uarabu na Uafrika huwezi kuutenganisha na huwezi kuufananisha Uzungu au Wazungu.

Kwanza Waarabu ni kutoka Afrika kwa asili kabisa. Uarabu ni Lugha ya wanaoongea Kiarabu, neno Arab linatokana na neno Arabiya caravan au wasafiri (wahamahamaji) nalo ni kwa Kiarabu. Uarabu si rangi wala Taifa wala kabila. Waarabu wengi zaidi wanapatikana Afrika kuliko kontinenti lingine lolote lile.

Wazungu wametoka Kontinenti jingine kabisa nalo linajulikana, ni Yuropa.
 
Ujanja wako mdau hapa ni mdogo sana. Tena kwa hakika WE NDO MJINGA. Unachokifanya hapa ni kuanzisha ka mada katakakoanzisha kaubishi juu ya WAARABU na WANZUNGU ili kwa kupitia kaubishi hako uwalete wadau kwenye kaubishi ka WAISILAMU na WAKRISTU, mahali ambapo unapapeeeeenda sana, japokuwa nina hakika utakuwa umejobolewa kila mara unapoanzisha malumbano ya aina hiyo.

Pamoja na ukweli kuwa historia za sehumu nyingi duniani na hapa afrika ikiwemo tanzania zimepindishwa kwa sababu za kipropaganda, ukichunguza majibu ya wadau kwenye hii mada yako UTAONA WAZI kuwa nia yako ya kutumia tatizo hilo kuwatukana watanzania kwa ujumla wao kuwa ni wajinga na kutaka kuwavuuuuuuuta... uwalete kwenye mabishano ya kidini imegunduliwa na wadau kabla hujaenda mbali. Na hii inaonesha we ndo mjinga. Hujui kama hawa jamaaa hawanaswi na vimitego vya kipuuzi kama hiki unachotaka kukitumia. Kimtego kama hiki kinaweza kukunasa wewe tu. NA UKOME KUWAITA WATANZANIA WAJINGA. MJINGA MWENYEWE!!!
 
zomba mwarabu si lugha ndugu yangu mwarabu ni aina ya watu huko iraq kuna watu weusi wanaongea kiswahili mbona hawaitwi waarabu basi au hata waarabu weusi mbona hawaruhusiwi hadi leo kuoa binti za kiarabu mbona wanatengwa wanasemwa wao siyo waarabu sasa uarabu wako wewe wa kuwa mweusi wa tangu lini??huko qatar ukienda hata ukiongea kiarabu na rangi yako hiyo nyeusi utaitwa mwafrika tu. sasa kama waarabu wenyewe wanaweza kukubagua na kukusema kuwa wewe siyo mwenzao we utajilazimishaje kuwa wao.jua kabisa niwa hawezi kuruka katika kundi la kunguru hata akiwa mweusi namna gani. elewa mdogo wangu.

Soma hapa kidogo kuhusu Iraq:

"They say; If a Zanji and a Zanji women marry and their children remain after puberty in Iraq, they come to rule the roost thanks to their numbers, endurance, intelligence, and efficiency."
Al-Jahiz also wrote a book entitled Risalat mufakharat al-Sudan 'ala al-bidan ("Treatise on the Superiority of Blacks over Whites"), in which he stated that Blacks:
"...have conquered the country of the Arabs as far as Mecca and have governed them. We defeated Dhu Nowas (Jewish King of Yemen) and killed all the Himyarite princes, but you, White people, have never conquered our country. Our people, the Zenghs (Negroes) revolted forty times in the Euphrates, driving the inhabitants from their homes and making Oballah a bath of blood.[SUP][18][/SUP]
"...Blacks are physically stronger than no matter what other people. A single one of them can lift stones of greater weight and carry burdens such as several Whites could not lift nor carry between them. [...] They are brave, strong, and generous as witness their nobility and general lack of wickedness..."
In 1331, the Arabic-speaking Berber explorer Ibn Battuta visited the Kilwa Sultanate in the Land of Zanj, which was ruled by Sultan Hasan bin Sulayman's Yemeni dynasty.[SUP][19][/SUP] Battuta described the kingdom's Arab ruler as often making slave and booty raids on the local Zanj inhabitants, the latter of whom Battuta characterized as "jet-black in color, and with tattoo marks on their faces."[SUP][19][/SUP]
"Kilwa is one of the most beautiful and well-constructed towns in the world. The whole of it is elegantly built. The roofs are built with mangrove pole. There is very much rain. The people are engaged in a holy war, for their country lies beside the pagan Zanj. Their chief qualities are devotion and piety: they follow the Shafi'i sect. When I arrived, the Sultan was Abu al-Muzaffar Hasan surnamed Abu al-Mawahib [loosely translated, "The Giver of Gifts"]... on account of his numerous charitable gifts. He frequently makes raids into the Zanj country [neighboring mainland], attacks them and carries off booty, of which he reserves a fifth, using it in the manner prescribed by the Koran [Qur'an]."[SUP][19]

[/SUP]
[h=1]Zanj Rebellion[/h] From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
The Zanj Rebellion was the culmination of series of small revolts. It took place near the city of Basra, located in present-day southern Iraq, over a period of fifteen years (869−883 AD). The insurrection is believed to have involved enslaved Black Africans (Zanj) that had originally been captured from the African Great Lakes region and areas further south in East Africa. It grew to involve over 500,000 slaves who were imported from across the Muslim empire and claimed over "tens of thousands of lives in lower Iraq".[SUP][1][/SUP] The precise composition of the rebels is debated among historians, both as regards their identity and as to the proportion of slaves and free among them – available historical sources being open to various interpretations.
The revolt was said to have been led by Ali bin Muhammad, who claimed to be a descendent of Caliph Ali ibn Abu Talib. Several historians, such as Al-Tabari and Al-Masudi, consider this revolt one of the "most vicious and brutal uprisings" of the many disturbances that plagued the Abbasid central government.[SUP][1][/SUP]
The Zanj Revolt helped Ahmad ibn Tulun to create an independent state in Egypt. It is only after defeating the Zanj Revolt that the Abbasids were able to turn their attention to Egypt and end the Tulunid dynasty with great destruction.

Soma zaidi: Zanj Rebellion - Wikipedia, the free encyclopedia



 
afrit

Listen
An afrit is an Arabian mythological character that is evil or demonic and has supernatural powers. (noun)An example of the afrit is the monster who turns a prince into an ape in the piece of Arabic literature titled One Thousand and One Nights.
Source: Afrit | Easy to understand definition of afrit by Your Dictionary


Ifrit

From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
This article is about the supernatural creature. For other uses, see Ifrit (disambiguation).
"Afrit" redirects here. For the crossword compiler, Afrit, see Alistair Ferguson Ritchie.

An Ifrit named Arghan Div brings the chest of armor to Hamza.


Ifrit-also spelled, efreet, ifreet, afreet, afrite, and afrit (Arabic: ʻIfrīt: عفريت, pl ʻAfārīt: عفاريت)-are supernatural creatures in Arabic and Islamic cultures. They are in a class of infernal Jinn noted for their strength and cunning. An ifrit is an enormous winged creature of fire, either male or female, who lives underground and frequents ruins. Ifrits live in a society structured along ancient Arab tribal lines, complete with kings, tribes, and clans. They generally marry one another, but they can also marry humans. While ordinary weapons and forces have no power over them, they are susceptible to magic, which humans can use to kill them or to capture and enslave them. As with the jinn, an ifrit may be either a believer or an unbeliever, good or evil, but he is most often depicted as a wicked and ruthless being.
Source: Ifrit - Wikipedia, the free encyclopedia


Afriki is an abode of Afrit, Afrikiya is from Afrika. (My meaning).

Amma kuhusu Uarabu na Uafrika huwezi kuutenganisha na huwezi kuufananisha Uzungu au Wazungu.

Kwanza Waarabu ni kutoka Afrika kwa asili kabisa. Uarabu ni Lugha ya wanaoongea Kiarabu, neno Arab linatokana na neno Arabiya caravan au wasafiri (wahamahamaji) nalo ni kwa Kiarabu. Uarabu si rangi wala Taifa wala kabila. Waarabu wengi zaidi wanapatikana Afrika kuliko kontinenti lingine lolote lile.

Wazungu wametoka Kontinenti jingine kabisa nalo linajulikana, ni Yuropa.

Hapa nikujichanganya kama nilivyokueleza kwenye maelezo yangu ya awali utaona kuwa awa Carthaginians ni watu wa asili ya "North Africa" na neno Afri ni neno la kilatini lililotumika kuwatambulisha mabwana hawa, utakuja ona pia baadaye katika utawala wa Roma Carthage (Afri) ilikuwa Capital ya North Africa Province na baadae Ufalme wa Kiislamu uliposhika hatamu waliendeleza matumizi ya jina hilo Ifriqiya na nikaeleza kuhusu suffix ya kilatini ya "ica" ilivyokuja kuunda neno la Africa
Whatever the meaning of Africa is, it got nothing to do with Blacks.........jaribu kuona ninachostress hapa, labda sisi Wamatumbi tulitokea tu kuwa ndani ya pande moja na Waarabu but as far as ethnicity is concerned we got nothing to do with them
 
Sina shaka kuwa kuna wengi wenye busara wanaoamini kuwa ni Wakristo. Labda nikukumbushe kuwa katika Historia tunasoma kuwa "immigrants" wa mwanzo alipojitangaza utume Mtume Muhammad (SAW) walikuwa ni kundi la waliomuamini na wao wakaamuwa kuwa ni Waislaam. Aliwashauri waondoke mji wa Makkah, kuhofia maisha yao kutokana na wakazi wa Makkah ambao wengi wao wakati huo walikuwa hawajaamini Uislaam na walikuwa wakitishia usalama wa walioamini, waende alipo mfalme wa "Kikristo" wa Uhabashi na wampe barua aliyowapa, cha kushangaza na ambacho hakiongelewi na wengi leo hii, Mfalme huyo aliwapokea na kuwapa ulinzi na kuwakaribisha bila kuwabaguwa na baada ya kuwasikiliza na ujumbe waliouleta akasema, kwa hakika huyo ni Mtume.

Jee, huyu Mfalme wa Uhabashi alitawala wapi? Jee, hao wahamiaji (muhajirun) wa mwanzo wa Kiislaam walikwendaje huko kwa Mfalme wa Uhabashi? mipaka ya uhabashi ilianzia na kuishia wapi? Jee, kuna uhusiano wowote na kaburi lililopo Kilwa linaloonyesha tarehe za aliozikwa hapo ni miaka 11 tu tangu (tarehe za uhamiaji wa pili wa Waislaam kutokea Makkah kuelekea Madinah na Mtume Muhammad akiwa minogoni mwao), na hao muhajirun wa mwanzo? Jee, Kilwa ikitawaliwa na Mfalme wa Kihabashi?

Umeshawahi kuyasoma hayo? Jee, hayana impact yoyote kwako?

Naamini kuwa, kuna wanaojiita Wakristo ambao ni waumini na wana imani ya kweli kwa Mwenyeezi Mungu muumba wa vyote. Na nnaamini miongoni mwao wapo wenye hekima na busara kama unavyohadithia na mfano mzuri ni huo niliokuandikia kuwa hata Mfalme Mkristo wa Uhabashi alikubalika na Mtume Muhammad na aliamuwa kuwapeleka muhajirun wa mwanzo kwake.

Huyu Mfalme ni nani? kisa chake kinaanzia na kuishia hapo kwa hawa Muhajirun tu? Jee, kama katika bara hili Ukristo ulikuwepo miaka zaidi ya 1400 nyuma, kwanini wengi waamini kuwa Ukristo umeletwa na wazungu? Waislaam tunaamini Ukristo ulikuwepo bara hili kabla ya ujio wa wazungu na hicho ni kisa tosha cha kukukinaisha kuwa tujuavyo ni hivyo. Kama ni hivyo, Utawala huo wa Kikristo ulianzia na uliishia wapi, hata tuamini kuwa Ukristo uliletwa na wazungu?

Ubaguzi wa Ujinga?
ZOMBA; katikati ya mistari ya maandishi yako una hadithi/historia yaweza kua nzuri na ya kuvutia kama utaiweka kwa minajili ya kuelimishana!! Mbona kama unashindana kwenye kujua mambo? je hiyo ndo elimu au ondoleo la ujinga kwa watanzania wajinga, kwa kutokujua maana ya Kilwa, Arusha, Kikwete? au mfalme mristo kupokea wa-islam?
Naomba kujua nini lengo lauzi huu?
 
Back
Top Bottom