Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Wassira aliwahi kukamatwa mbugani Serengeti pale Saronera baada magemu kudhania SOKWE kavalishwa nguo anatoroshwa, dereva wake alipata wakati mgumu sana. Mpaka jioni ndo magemu wakajua sio sokwe ni Wasira.
Huyu mzee kummaliza ni kuiweka hadharani ile picha yake ya usingizini bungeni na kuja na ajenda ya msichague mlalaji mwingine.
Huyu mzee alipopigwa chini na Mrema pale nccr alichoka mbaya akawa anatembelea baiskeli huku akiwa na suruali mbili tu. Kaja kuokolewa na JK kwa kuwa wote walikuwa na bifu na Nyerere na Warioba
Huyu mzee kummaliza ni kuiweka hadharani ile picha yake ya usingizini bungeni na kuja na ajenda ya msichague mlalaji mwingine.
Huyu mzee alipopigwa chini na Mrema pale nccr alichoka mbaya akawa anatembelea baiskeli huku akiwa na suruali mbili tu. Kaja kuokolewa na JK kwa kuwa wote walikuwa na bifu na Nyerere na Warioba