Wasifu wa Godbless Lema (MP)

thickhead...if you knew the meaning, you wouldn't have said that, LMAO what more proof can one ask for!? :ban:

I know the meaning of thickhead,its not an insult to me,its simply an opinion about someone.......am glad that insult came from human being that is a living proof that human beings can live without a brain,makes me happy.I do not blame you,you did not wish to be born that way.it happened!am blessed to be a thickhead,and now that i know, i will try to improve but as for you and at that age,even a brain transplant would reject you....................lol:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
I know the meaning of thickhead,its not an insult to me,its simply an opinion about someone.......am glad that insult came from human being that is a living proof that human beings can live without a brain,makes me happy.I do not blame you,you did not wish to be born that way.it happened!am blessed to be a thickhead,and now that i know, i will try to improve but as for you and at that age,even a brain transplant would reject you....................lol:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:

Punguza ukali mama, watu wengine si wa kubishana nao, watakupotezea muda na kukupandisha hasira bure.
 
WanaJF,

Hapa ni mahali pa kuelimishana na kupeana taarifa.

Mimi binafsi nimjuavyo Mh. Lema ni Mbunge ambaye ameamua kwamba acha mbaya iwe mbaya as long as matakwa ya wanchi yanatekelezwa. Mwanzoni nilikuwa nabishana na Lema. Nilipinga sana approach yake ya ugomvi na ukorofi. Baadae nikagundua kwamba 'bila ugomvi na ukorofi' CCM haisikii. Lema amelijua hilo na sasa hivi amedhamiria kuleta mabadiliko kwa kujitoa sadaka.

Wapo wanaodhani kwamba lema hana elimu, hapa suala sio elimu. Suala ni kujitoa na kupambana na udhalimu. Machoni kwa wananchi baadhi ya wananchi wanataka waonekane wema lakini ndani ya mioyo yao wamedhamiria kututeketeza. Lema ameamua kuvaa mabomu na kulipuka nayo.

Ni vyema tukaenda mbali kidogo na kujaribu kumuelewa Lema anasimamia nini, anatengeneza njia gani. Kuna baadhi ya watu (wengine ni CDM) wanaona Lema hajakua. Wanakosea. Huu ni wakati wa mapambano. Lema ameamua kupambana kwa niaba ya wengi wetu.

Ni muda wake. Ni wakati wake. Tumpe muda pia tumsaidie kufikia malengo.
 
... anaguswa na umasikini wetu na zuluma tunazotendewa!!!

Wasiomjua vema Mhe Lema nenda ukawaulize 'Machalii' wa Arusha ambao hivi sasa mtandao wao uko kila mahala nchini. Nawasikitikia sana wanaomchezea Mbunge yeyote ambaye yuko na 'Nguvu ya Umma' mkononi muda wote!!!
 
TUNATAKA MCHAKATO WA KATIBA MPYA NA TUME HURU
YA UCHAGUZI BUNGENI SASA HIVI!!!


Enyi Ndugu Waheshimiwa viongozi wetu

akina Kikwete, Dr Slaa, Prof Lipumba, Mbowe, Julius Mtatiro, Zitto Kabwe, Mbatia, Dr Mvungi, Prof Baregu, Prof Mukandala, Dr Bana, Dr Azaveli, Mama Nkya, Ndg Mgaya, Makwaia wa Kuhenga, Jenerali Ulimwengu, Reginald Mengi, Pius Msekwa, Fredrick Sumaye Fredrick Msuya, John Malecela, Mama Anna Makinda, Sheik Issa Bin Simba, Mhe Iddi Simba, Maaskofu na Wachungaji wote nchini, Denis Mwamnyange, Said Mwema, The Othma's, Tundu Lissu, Sitta, Mwakyembe, Mzee Mkapa, Mzee Salim Ahmed Salim, Mzee Sinde Warioba, Mzee Butiku, Prof Sarungi, Selasini, Ole Sendeka, Tido Mhando, Mama Maria Nyerere, Mama Karume, Selelii, Prof Bangu, Dr Matumaini, Bashe, Celina Kombani, Kafulila, Hamad Rashid, Regia, Lukuvi, Mama Maghimbi,Mama Anna Abdala, Pombe Magufuli, Mstaarabu wa Siasa Tanzania - Dr Mohammed Shein, Salmin Amour, Godbless Lema, Mzee Mwanakijiji, Maxence Melo, Candid Scope, Fareed, Mwakalebela, Mnyika, Halima Mdee, viongozi wote wa serikali za wanafunzi vyuoni ... na wengine wengi wengi wengi tu, sisi kama vijana wa nchi hii sasa hivi tunawaulizeni nyote kwa pamoja kwamba ...

... suala letu la michakato wa kujiandikia KATIBA MPYA na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi ZINAANZA LINI BUNGENI???
 
Kubwa zaidi ni kwamba wana Arusha wote wamempa kura za kishindo na kuwa na imani na Mh. Lema ... sasa nani anataka kuhoji qualification za Mh. Lema wakati ameshapewa ridhaa ya kiungwana kabisa kuwawakilisha wana arusha...?hii inathibitika dhahiri kwmba ki maadili au kwa uwezo ambao alifanyiwa utahili na wananchi wa jimbo lake na kuonekana anafaa kwa kuonyesha ishara ya imani na kumpa kura nyingi halali dhidi ya mtumishi wa chama tawala..hii ni dhahiri kuwa Mh. Lema ni chaguo na ndio kiongozi anayekubalika na wana Arusha na tunaamini ana uwezo wa kufanya mabadiliko lukuki

misimamo ya Mh. Lema ni dhahiri kuwa yupo tayari kuwawakilisha wanchi wake waliompa kura na sio kuwa na misimamo rojorojo
 
Kuna tofauti kati ya wenye itikadi za kisiasa na itikadi za uchungu wa nchi yao. Mheshimiwa Lema ameamua kujitoa mhanga kwa ajili ya wahanga, maana bila hivyo hakuna ukombozi kwa wahanga.
Kuna walioona mzee Madiba kama mjinga na king'ang'anizi na kuishia gerezani kwa miaka 26, lakini leo matunda ya mzee madiba wanafurahia wazuru wote ndivyo afanyavyo Lema Godbless Na Mungu atambariki kama jina lake lilivyo. Alishachaguliwa tangu tumboni mwa mama yake.
 
Diplomasia imeshindwa kuleta mabadiliko its time ya kuangalia njia mbadala..., lakini mimi naona the Best way ni kuleta maendeleo Jimboni na kulipua ufisadi bila kuoneana aibu
 
Lema, Mbowe, Ndesa, Slaa, na wengine wanajua wakiwa na madaraka katika nchi biashara zao ziko salama zaidi. Usitegemee kupata msaada kutoka kwao. Watatutumia kwa manufaa yao tu. Tunisia wamemtoa rais bado wanasema shida zipo palepale. African we are finished. Why western countries are supporting opposition parties? Kuna kitu wanakikosa kwa watawala wa zamani. They want new system to rule Africa politicaly, economicaly and mind.
 
TUNATAKA MCHAKATO WA KATIBA MPYA NA TUME HURU
YA UCHAGUZI BUNGENI SASA HIVI!!!


Enyi Ndugu Waheshimiwa viongozi wetu

akina Kikwete, Dr Slaa, Prof Lipumba, Mbowe, Julius Mtatiro, Zitto Kabwe, Mbatia, Dr Mvungi, Prof Baregu, Prof Mukandala, Dr Bana, Dr Azaveli, Mama Nkya, Ndg Mgaya, Makwaia wa Kuhenga, Jenerali Ulimwengu, Reginald Mengi, Pius Msekwa, Fredrick Sumaye Fredrick Msuya, John Malecela, Mama Anna Makinda, Sheik Issa Bin Simba, Mhe Iddi Simba, Maaskofu na Wachungaji wote nchini, Denis Mwamnyange, Said Mwema, The Othma's, Tundu Lissu, Sitta, Mwakyembe, Mzee Mkapa, Mzee Salim Ahmed Salim, Mzee Sinde Warioba, Mzee Butiku, Prof Sarungi, Selasini, Ole Sendeka, Tido Mhando, Mama Maria Nyerere, Mama Karume, Selelii, Prof Bangu, Dr Matumaini, Bashe, Celina Kombani, Kafulila, Hamad Rashid, Regia, Lukuvi, Mama Maghimbi,Mama Anna Abdala, Pombe Magufuli, Mstaarabu wa Siasa Tanzania - Dr Mohammed Shein, Salmin Amour, Godbless Lema, Mzee Mwanakijiji, Maxence Melo, Candid Scope, Fareed, Mwakalebela, Mnyika, Halima Mdee, viongozi wote wa serikali za wanafunzi vyuoni ... na wengine wengi wengi wengi tu, sisi kama vijana wa nchi hii sasa hivi tunawaulizeni nyote kwa pamoja kwamba ...

... suala letu la michakato wa kujiandikia KATIBA MPYA na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi ZINAANZA LINI BUNGENI???

Naona umefyatuka usingizini na kulivamia jamvi bila kuangalia heading ya thread.....kanawe uso haafu tizama vizuri....
 
WanaJF,

Hapa ni mahali pa kuelimishana na kupeana taarifa.

Mimi binafsi nimjuavyo Mh. Lema ni Mbunge ambaye ameamua kwamba acha mbaya iwe mbaya as long as matakwa ya wanchi yanatekelezwa. Mwanzoni nilikuwa nabishana na Lema. Nilipinga sana approach yake ya ugomvi na ukorofi. Baadae nikagundua kwamba 'bila ugomvi na ukorofi' CCM haisikii. Lema amelijua hilo na sasa hivi amedhamiria kuleta mabadiliko kwa kujitoa sadaka.

Wapo wanaodhani kwamba lema hana elimu, hapa suala sio elimu. Suala ni kujitoa na kupambana na udhalimu. Machoni kwa wananchi baadhi ya wananchi wanataka waonekane wema lakini ndani ya mioyo yao wamedhamiria kututeketeza. Lema ameamua kuvaa mabomu na kulipuka nayo.

Ni vyema tukaenda mbali kidogo na kujaribu kumuelewa Lema anasimamia nini, anatengeneza njia gani. Kuna baadhi ya watu (wengine ni CDM) wanaona Lema hajakua. Wanakosea. Huu ni wakati wa mapambano. Lema ameamua kupambana kwa niaba ya wengi wetu.

Ni muda wake. Ni wakati wake. Tumpe muda pia tumsaidie kufikia malengo.

Ni kweli kaka, binafsi sikupata kumjua Lema before, ila nilimsikiliza vizuri sana wakati wa kampeni zake na kwenye midahalo na vikao mbalimbali. Huyu jamaa inawezekana akawa hana elimu kubwa ila reasoning capacity yake ni kikubwa sana na ana uwezo wa kufanya mambo mengi makubwa kama msomi tena msomi kweli kweli. Mimi naamini leaders are born so Lema was born to be the Leader. Let us support him coz atatusaidia sana kusukuma hili gurudumu la maenedeleo
 
Elimu ndiyo imemuwezesha kutambua yepi ya kweli na uwongo uko wapi. Endapo itathibitika kweli PM aliongopa basi yeye kwa kulitambua hilo ndiye msomi zaidi kuliko wanaomwandama.
 
Lema, Mbowe, Ndesa, Slaa, na wengine wanajua wakiwa na madaraka katika nchi biashara zao ziko salama zaidi. Usitegemee kupata msaada kutoka kwao. Watatutumia kwa manufaa yao tu. Tunisia wamemtoa rais bado wanasema shida zipo palepale. African we are finished. Why western countries are supporting opposition parties? Kuna kitu wanakikosa kwa watawala wa zamani. They want new system to rule Africa politicaly, economicaly and mind.

Never expect Muslim countries to change because that they are doomed by the religion. Kwa sababu kutawala nchi za Kiislamu lazima uegemee kwenye dini si rahisi kubadilika hata Misri biashara itakuwa ni hiyohiyo. Watu wanataka demokrasi wakati huo hawataki kuweka dini kando wakati dini na demokrasi haziendani. Utawala pembeni dini pembeni. Hapo ndo utaona matunda ya demokrasi. Mpaka pale watakapojua kuwa adui yao mkubwa ni dini yao yaani kuchanganya dini na siasa ndipo watajivunia matunda ya uhuru na demokrasi vinginevo wanabadili tu sura ya mtu. Mubarak anaondoka anakuja mwingine kama Mubarak.

Hao uliowataja hapo juu Kina Dokta Slaa wako tofauti sana na hao Waarabu kwa maana ya misingi ya katiba yetu. Tunawaamini watanzania kulingana na matendo yao wanapigania demokrasia na hawana kizuizi cha kitakachowafanya wasitekeleze demokrasi kama nchi za Kiarabu.
 
Lema ana biashara gani anayotaka iwe salama? Kwenye kampeni Lema aliuza RVR ya mkewe ili aweze kufanya kampeni sasa ana biashara ipi?

Mbowe na Ndesamburo ni wafanya biashara wa muda mrefu. Ukiwa upinzani biashara zako zinakuwa salama vipi? Muulize Lamwai kilichomkuta. Jaribu kufikiria kidogo
 
Lema, Mbowe, Ndesa, Slaa, na wengine wanajua wakiwa na madaraka katika nchi biashara zao ziko salama zaidi. Usitegemee kupata msaada kutoka kwao. Watatutumia kwa manufaa yao tu. Tunisia wamemtoa rais bado wanasema shida zipo palepale. African we are finished. Why western countries are supporting opposition parties? Kuna kitu wanakikosa kwa watawala wa zamani. They want new system to rule Africa politicaly, economicaly and mind.

wewe ni mpumbavu, mnafiki na mzandiki... Lema hata unamfahamu?? Unajua anafanya biashara gani hadi useme hayo maneno yake... Tuachieni mbunge wetu wa arusha, tunamjua, na ndio maana tukampa kura zetu akatuwakilishe bungeni, na tunapenda style yake ya kupigania haki,. Wewe kama umekosa la kuongea kaa kimya.. Sio kupotosha umma wa jf,
 
Back
Top Bottom