Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,861
- 1,302
ccm bila dola itakufa tu. Miaka 15 baada ya kupoteza dola ccm inaweza kuwa inasomwa kwenye historia.
Huyo anayesema miaka elfu 10 hazingatii hali ya sasa. 2015 ccm itashindwa lakini italazimisha kuwa imeshinda, kama wananchi wakichoka kuibiwa then umwagaji damu utatokea, na huo hauwezi kuchukua miaka yote hiyo. Kama 2015 wananchi watanyamaza, but 2020 hawatanyamaza
Huyo anayesema miaka elfu 10 hazingatii hali ya sasa. 2015 ccm itashindwa lakini italazimisha kuwa imeshinda, kama wananchi wakichoka kuibiwa then umwagaji damu utatokea, na huo hauwezi kuchukua miaka yote hiyo. Kama 2015 wananchi watanyamaza, but 2020 hawatanyamaza