Warioba: CCM ijiandae kuwa chama cha Upinzani

Dark City

JF-Expert Member
Oct 18, 2008
16,253
11,598
Wakati anaohijiwa na mwandishi wa TBC1 Asumpta Masoi, Jaji Joseph Warioba alisema kuwa kama CCM haitamaliza matatizo yake ya ndani basi ijiandae kukabiliana na hali ngumu huko mbele.

Amesema kuwa, kwa kuwa tumeukubali mfumo wa vyama vingi na pia kwa kuwa watu wengine wameanza kuichoka CCM na wapo pia wanaotaka mabadiliko, CCM itegemee kuwa mabadiliko yanatatokea tu na yataiweka kando. Na kwamba wasipoiangalia upya dira na itikadi za chama basi itakuwa vingumu kupona!

Kwa jinsi ninavyowajua CCM, watakurupuka kumtukana Warioba badala ya kuangalia kile alichokisema, ingawa hakusema jambo lolote jipya!
 
Hata ile alama ya JEMBE NA NYUNDO kwenye bendera yao waiondoe. Waweke alama ya noti na ya mtu anakimbizwa (Mwizi)...

Warioba huyu kawa kigeugeu sana, juzi alitishiwa kufungwa na dhahabu alizoiba akaja na hoja ya CDM wana fujo, leo kaja na ushauri nasaha. Hawa wazee tumewachoka, hakuna kitu tangible walichotuachia zaidi ya maneno yao ya kinafiki
 
Hata ile alama ya JEMBE NA NYUNDO kwenye bendera yao waiondoe. Waweke alama ya noti na ya mtu anakimbizwa (Mwizi)...

Warioba huyu kawa kigeugeu sana, juzi alitishiwa kufungwa na dhahabu alizoiba akaja na hoja ya CDM wana fujo, leo kaja na ushauri nasaha. Hawa wazee tumewachoka, hakuna kitu tangible walichotuachia zaidi ya maneno yao ya kinafiki

Nadhani hiyo alama walishaiweka siku nyingi na kila mtu anaiona isipokuwa wale waliokunywa maji ya bendera. Ni hadithi ya mfalme yuko uchi au la!!!
 
Habari yenyewe nimeisoma yote sijaona mahali kasema hayo..

Wishing zako mkuu..endelea ku--dream

Mkuu umengalia mahojiano ya Warioba na huyo mwandishi kwenye habari za TBC1 saa 2 usiku? Katika hoja ya kwanza alilinganisha vijana wa zamani (enzi zao) na wa sasa...Akasema wa zamani walikuwa makini sana kuliko sisi. Na katika hoja ya pili ndio akaongelea CCM. Kama hujatazama hiyo habari basi fuatilia.

Sina sababu ya kuwasingizia CCM kwani ni sawa na kuua maiti!
 
hata ile alama ya jembe na nyundo kwenye bendera yao waiondoe. Waweke alama ya noti na ya mtu anakimbizwa (mwizi)...

Warioba huyu kawa kigeugeu sana, juzi alitishiwa kufungwa na dhahabu alizoiba akaja na hoja ya cdm wana fujo, leo kaja na ushauri nasaha. Hawa wazee tumewachoka, hakuna kitu tangible walichotuachia zaidi ya maneno yao ya kinafiki
unafiki tu umewajaa hao wazee
 
Habari yenyewe nimeisoma yote sijaona mahali kasema hayo..

Wishing zako mkuu..endelea ku--dream
Mkuu miaka 50 hujaichoka tuu ccm?hujaona watoto wa shule sikonge tabora tangu shule ijengwe mwaka 1976 leo ndiyo wanafunzi wamepata dawati la kusomea lililofadhiliwa na wauza bangi sorry tumbaku Alliance company ya mzungu?hembu tafakari kaka usiogope hako ka mrija kako ka ufisadi hakatakatwa ikiwa upinzani utaingia madarakani
 
jamani tusijazane mambo ya kijinga tunalia na maisha magumu na kutaka mabadiliko lakini unafiki ndo unatumaliza kwa kuwa hata ukifika wakati wa kupiga kura watu hawaendi sasa nani alaumiwe wewe ambaye hukupiga kura ya mabadiliko ama kiongozi aliyechaguliwa na wajinga wachache?

Tafakari!!!!!!!
 
Mkuu umengalia mahojiano ya Warioba na huyo mwandishi kwenye habari za TBC1 saa 2 usiku? Katika hoja ya kwanza alilinganisha vijana wa zamani (enzi zao) na wa sasa...Akasema wa zamani walikuwa makini sana kuliko sisi. Na katika hoja ya pili ndio akaongelea CCM. Kama hujatazama hiyo habari basi fuatilia.

Sina sababu ya kuwasingizia CCM kwani ni sawa na kuua maiti!
Mkuu kwenye red hapo ndo umemaliza kabisa.
 
Mkuu kwenye red hapo ndo umemaliza kabisa.

Unajua mkuu, kuna watu ni wagumu kuelewa ukweli na kuona vitu halisi, badala yake wanajilazimisha kuona vivuli tu..! Yaani pamoja na madudu yote ya CCM, bado kuna watu, tena bahati mbaya wengine hawana hata chembe ya ufisadi, kuhongwa au majinamizi ya siasa; ambao bado wanaamini kuwa CCM bado iko hai (it exists)!!

Tumewaleza muda mrefu ila hawataki kusikia...CCM ilikufa na akina Kolimba. Limebaki ghost fulani hivi ambalo watu kama hao niliowataja hapo juu wanadhani ndiyo CCM. CCM ambayo tuliiamini na kuitumikia ilizikwa siku nyingi tena kabla ya Mwalimu!

Wasiotaka kuamini hayo ama wana-motives zao za kifisadi au wanasumbuliwa na illusions!

Ngoja waendelee kujidanganya!
 
Habari yenyewe nimeisoma yote sijaona mahali kasema hayo..

Wishing zako mkuu..endelea ku--dream

Mwita 25! Najua huwezi kuona hadi kale kagamba kalikobaki kakutoke! Najiuliza ni kwanini Mods hawakuiunganisha hii ID na ile ya Mwita Mbwa!
 
Back
Top Bottom