Warioba: CCM ijiandae kuwa chama cha Upinzani

Kujifunza ni kwa namna nyingi. I wish I could see Philip Marmo na kujitutumua kwake wakati anazima hoja ya mgombea binafsi mwaka 2010. Mara nyingine tunaongea kama tuna own future...

Kikweli alivyojenga hoja ya kuhoji mahakamani matokeo ya urais, ni dalili za wazi CCM wanaandaa mkakati wa kupinga mtokeo ya Urais akichaguliwa kutoka chama kingine Uchaguzi mkuu ujao.
 
what ccm are doing now...wangefanya toka 2005 wangekua kwenye power for a very long time...lakini bahati mbaya wanajisafisha sasa hivi wakati its 10yrs too late
 
labda 2050, wapinzani wenyewe wamegawanyika, cdm kask, CUF kus, waunganishe wapiga kura.

Umejifungia chumbani nini, huelewi yanayoendelea hujajua kuwa watu wanahitaji mabadiliko hata kama ni mgombea mbovu ili mradi asitokee CCM pepeleza utabaini.Pole kwa kuwa gizani
 
Umejifungia chumbani nini, huelewi yanayoendelea hujajua kuwa watu wanahitaji mabadiliko hata kama ni mgombea mbovu ili mradi asitokee CCM pepeleza utabaini.Pole kwa kuwa gizani

Tunahitaji kumsaidia ajivue gamba ndipo atakapoelewa wimbo huu, vinginevyo anafikiria ni mluzi tu.
 
labda 2050, wapinzani wenyewe wamegawanyika, cdm kask, CUF kus, waunganishe wapiga kura.

Hata familia ya Gaddafi, Saddam, Taylor, Bagbo na wengineo hawakuwahi kuamini kuwa kuna siku wangetoka madarakani.

Kwa hali ilivyo sasa CuF = CCM, hivyo mapambano ya ushindi yako CDM. Chama chenye nguvu kila kijiji, kitongoji, wilaya na mikoa yote ya Tanzania.

Endeleeni kupingana na ukweli, wenzio ndani ya ccm wameona na wanajiandaa kisaikolojia.
 
Hata familia ya Gaddafi, Saddam, Taylor, Bagbo na wengineo hawakuwahi kuamini kuwa kuna siku wangetoka madarakani.

Kwa hali ilivyo sasa CuF = CCM, hivyo mapambano ya ushindi yako CDM. Chama chenye nguvu kila kijiji, kitongoji, wilaya na mikoa yote ya Tanzania.

Endeleeni kupingana na ukweli, wenzio ndani ya ccm wameona na wanajiandaa kisaikolojia.

Tatizo ni kuenzi madaraka ya uongozi kama haki miliki, matoke huwa ving'ang'anizi hadi siku wanapotakiwa kuondoka wanajiona wanakosewa kwani ni haki yao kuwepo.
 
Yaani leo tunasikia vilaza kama Dr.hussein mwinyi eti naye anatajwa kumrithi kikwete, asha rose migiro,mapumbafuu kabisa haya ma-ccm
 
No, siungi mkono hoja yako!!! Mgombea binafsi ni mtego kwa CHADEMA coz kuna mamluki wamepandikizwa CHADEMA. I believe hao mamluki watakapochujwa kwenye kura za mchujo wa mgombea wa raisi wa CHADEMA watakimbilia kugombea uraisi kupitia mgombea binafsi na hii itasaidia sana kupunguza kura za CHADEMA.

Hebu imagine ZITO ajitoe CHADEMA baada ya kutoswa URAISI na CHADEMA, halafu CCM waingize hoja ya udini (kwamba ZITO muislam ametoswa uraisi na CHADEMA sababu sio mkristo). Kitakachofuata, Zito atagombea kama mgombea binafsi. Hakika kura za CHEDEMA zitapungua na hii itaathiri kura za CHADEMA kwa kiasi fulani.

In addition, CCM can plan a conspiracy(based on ZITO example in the second paragraph above) itakayohalalisha wizi wa kura alafu baadae CHADEMA wakilalamika fauli, then CCM wanajibu simply "Udini umewaponza CHADEMA, ndio maana wameshindwa urais"
Nakubaliana na wewe mkuu! Wanajua watakaa benchi kwa hiyo mkakati wa kwanza ni kuweka uwezekano wa kumpinga mahakamani huyo rais wetu atakayechaguliwa (ambaye hatatoka ccm). Wanajua Tume yao sio huru kwa kuogopa kivuli chao (madudu yao) wanadhani rais atakayekuja atafanya kama wao. Hoja ya serikali 3 ni kutaka kuwapokonya wapinzani ili wakati wa uchaguzi na kama katiba itakuwa imeshakuwa tayari (kama JK alivyoahidi), basi wataibeba hoja hiyo kwenye kampeni za 2015. Ili kuzuia utitiri wa kuhamia CHADEMA kwa watakaotemwa kwenye mchijo, basi hoja ya mgombea binafsi imeandaliwa. Ikionekana ana mvuto basi mafisadi wa ccm watam-finance mpk ashinde kisha aonekane bado ni ccm.
 
Kikwete huenda akawa namtazamo chanya kuhusu mabadiliko yanayotakiwa kwa nchi hii. Huenda picha anayoiona yeye si ile wanayoiona 'Conservatives' waliosalia CCM. Ukiangalia mapendekezo hayo hapo juu, ndiyo hoja ambazo wapinzani wamekuwa wakizipigia chapuo kwa muda mrefu sana, lakizi vingunge wa CCM wamekuwa wakizizima kibabe. Ila kwa sasa hawana ujanja, wakubali mabadiliko ama wapotee!
 
cc1xv.jpg

Katika kikao cha Halmasahauri Kuu CCM kilichofanyika Dodoma hivi karibuni, kimeibua mambo mapya ambayo yanapingana na msimamo wa chama hicho kuhusu masuala mazito ya kuingizwa kwenye katiba mpya ambapo hapo awali hawakulibaliana nayo.

Moja ya mambo hayo ni:

  1. Kikwete kupendekeza kuhoji mahakamani matokeo ya uchaguzi wa Rais.
  2. Mkutano kupendekeza uwezekano wa serikali tatu.
  3. Kupunguza madaraka ya Rais
  4. Tume huru ya uchaguzi
  5. Mgombea binafsi
  6. Kero za Muungano.
  7. Na baadhi ya mengine ambayo kwa pamoja yamefikia mapendekezo17.

Tafsiri ya haraka ni kwamba CCM imeshaona dalili za wazi kupoteza sifa ya kuendeleza ushindi wa kushika dola, na hivyo kukubali kuwa chama cha upinzani. Kwa kuhofia chama kingine kushika serikali, wako tayari kuafiki yale ambayo yamekuwa yakilalamikiwa na wapinzani kwa siku nyingi lakini CCM ilitetea kwa nguvu zote na kuweka pamba masikioni siku zote.

Kwa nini CCM haikuona umuhimu wa mambo hayo awali wakati yakilalamikiwa na vyama vya upinzani nchini?

1. Hamna kitu rahisi kwenye siasa kama kua mpinzani kwa sababu hamna serikali inayofanya kazi kwa ufanisi wa 80-100%, hamna. Ni kama mpira au michezo mingine mtazamaji uona makosa na madudu mengine zaidi ya wachezaji wenyewe uwanjani.

2. Uchumi wa nchi hii na maendeleo yake hayaji kwa miaka 10-20..changamoto zilizopo ni kubwa sana na zinategemea mambo mengi ya nje ya nchi yetu kuzitatua. Hizi changamoto hata CDM ikipewa madaraka itapata shida sana kuzitatua na hapa CCM kama mpinzani atapata cha kukosoa na kujijenga upya na kua karibu na wananchi watakaokua wanaona matumaini yao makubwa hayatekelezeki ipasavyo.

3. "Makamanda", "wanamagezi", "wapinzani" kumbuka hawa watapewa dhamana ya kuongoza nchi na wananchi walio wengi kwa kitu kimoja tu nacho ni matumaini makubwa ya kuondoa kero zao za muda mrefu za kijamii na kiuchumi. hapo juu no 2 tunajua matumaini yanaweza kuyeyuka haraka sana kutokana na changamoto zilizopo

4. wananchi wakishaonja nguvu ya kuitoa CCM watakua wameshapewa rungu katika demokrasia yetu na hawatasita wala kuonea huruma chama kingine chochote kitakachoshindwa kukidhi kiu yao ya muda mrefu ya mageuzi ya kijamii na kiuchumi.

5. kwa sababu ya 1, 2, 3, 4 CCM wana akili wamegundua siku wakiachia dola na katiba, judiciary,tume ya uchaguzi n.k zikiwa zina mfumo uliopo utawapa wapinzani nguvu nyingi sana na wanaweza ng'ang'ania madaraka na kuimaliza CCM kabisa na kubaki historia, sasa wanabadilisha katiba, tume huru, strong judiciary n.k ili CDM wakiingia wasiwe na nguvu ya kutumia vyombo vya dola kuhodhi madaraka na kuifukia CCM.

CCM wanaweza kua wanajitayarisha kua wapinzani, lakini wanajitayarisha zaidi kutokua kama CPP, KANU, UNIP, vyama vikongwe vilivyoshindwa kutatua kero za wananchi wao, vilivyoshindwa kujibadilisha kutokana na matakwa ya jamii yao na kibaya zaidi vikafa kwa sababu viliwaachia wapinzani nchi bila kujiandaa na kukuta mfumo mzima waliotumia wenyewe kukandamiza wapinzania sasa unawazika wenyewe!


Mharakati
 
1. Hamna kitu rahisi kwenye siasa kama kua mpinzani kwa sababu hamna serikali inayofanya kazi kwa ufanisi wa 80-100%, hamna. Ni kama mpira au michezo mingine mtazamaji uona makosa na madudu mengine zaidi ya wachezaji wenyewe uwanjani.

2. Uchumi wa nchi hii na maendeleo yake hayaji kwa miaka 10-20..changamoto zilizopo ni kubwa sana na zinategemea mambo mengi ya nje ya nchi yetu kuzitatua. Hizi changamoto hata CDM ikipewa madaraka itapata shida sana kuzitatua na hapa CCM kama mpinzani atapata cha kukosoa na kujijenga upya na kua karibu na wananchi watakaokua wanaona matumaini yao makubwa hayatekelezeki ipasavyo.

3. "Makamanda", "wanamagezi", "wapinzani" kumbuka hawa watapewa dhamana ya kuongoza nchi na wananchi walio wengi kwa kitu kimoja tu nacho ni matumaini makubwa ya kuondoa kero zao za muda mrefu za kijamii na kiuchumi.

4. wananchi wakishaonja nguvu ya kuitoa CCM watakua wameshapewa rungu katika demokrasia yetu na hawatasita wala kuonea huruma chama kingine chochote kitakachoshindwa kukidhi kiu yao ya muda mrefu ya mageuzi ya kijamii na kiuchumi.

5. kwa sababu ya 1, 2, 3, 4 CCM wana akili wamegundua siku wakiachia dola na katiba, judiciary,tume ya uchaguzi n.k zikiwa zina mfumo uliopo wapinzani wanaweza ng'ang'ania madaraka na kuimaliza CCM kabisa na kubaki historia, sasa wanabadilisha katiba, tume huru, strong judiciary n.k ili CDM wakiingia wasiwe na nguvu ya kutumia vyombo vya dola kuhodhi madaraka na kuifukia CCM.

Umeongea Ukweli mkuu naunga mkono.
 
labda 2050, wapinzani wenyewe wamegawanyika, cdm kask, CUF kus, waunganishe wapiga kura.

mkigoma///kila jeshi lina ngome////si kila mti ni rahisi nyani kuufikia////inahitaji timing////siku/zaja//utaimbika wimbo wa ushindi,,,,,
 
Chdm haiwezi kushika nchi. Inachojaribu kufanya ni kutoa matumaini ambayo ni "un-attainable". Jeshi la vijana linalomuunga mkono litageuka kuwa adui mkubwa wa cdm kwa sababu hawatapata pepo walio ahidiwa.
 
Chdm haiwezi kushika nchi. Inachojaribu kufanya ni kutoa matumaini ambayo ni "un-attainable". Jeshi la vijana linalomuunga mkono litageuka kuwa adui mkubwa wa cdm kwa sababu hawatapata pepo walio ahidiwa.

Vuvuzela anaendelea na kazi yake. Nipashe habari ya CCM inavyohamwa na wanachama ni upepo unaovuma kwa muda tu na utatulia wenyewe?
 
1. Hamna kitu rahisi kwenye siasa kama kua mpinzani kwa sababu hamna serikali inayofanya kazi kwa ufanisi wa 80-100%, hamna. Ni kama mpira au michezo mingine mtazamaji uona makosa na madudu mengine zaidi ya wachezaji wenyewe uwanjani.

2. Uchumi wa nchi hii na maendeleo yake hayaji kwa miaka 10-20..changamoto zilizopo ni kubwa sana na zinategemea mambo mengi ya nje ya nchi yetu kuzitatua. Hizi changamoto hata CDM ikipewa madaraka itapata shida sana kuzitatua na hapa CCM kama mpinzani atapata cha kukosoa na kujijenga upya na kua karibu na wananchi watakaokua wanaona matumaini yao makubwa hayatekelezeki ipasavyo.

3. "Makamanda", "wanamagezi", "wapinzani" kumbuka hawa watapewa dhamana ya kuongoza nchi na wananchi walio wengi kwa kitu kimoja tu nacho ni matumaini makubwa ya kuondoa kero zao za muda mrefu za kijamii na kiuchumi. hapo juu no 2 tunajua matumaini yanaweza kuyeyuka haraka sana kutokana na changamoto zilizopo

4. wananchi wakishaonja nguvu ya kuitoa CCM watakua wameshapewa rungu katika demokrasia yetu na hawatasita wala kuonea huruma chama kingine chochote kitakachoshindwa kukidhi kiu yao ya muda mrefu ya mageuzi ya kijamii na kiuchumi.

5. kwa sababu ya 1, 2, 3, 4 CCM wana akili wamegundua siku wakiachia dola na katiba, judiciary,tume ya uchaguzi n.k zikiwa zina mfumo uliopo utawapa wapinzani nguvu nyingi sana na wanaweza ng'ang'ania madaraka na kuimaliza CCM kabisa na kubaki historia, sasa wanabadilisha katiba, tume huru, strong judiciary n.k ili CDM wakiingia wasiwe na nguvu ya kutumia vyombo vya dola kuhodhi madaraka na kuifukia CCM.

CCM wanaweza kua wanajitayarisha kua wapinzani, lakini wanajitayarisha zaidi kutokua kama CPP, KANU, UNIP, vyama vikongwe vilivyoshindwa kutatua kero za wananchi wao, vilivyoshindwa kujibadilisha kutokana na matakwa ya jamii yao na kibaya zaidi vikafa kwa sababu viliwaachia wapinzani nchi bila kujiandaa na kukuta mfumo mzima waliotumia wenyewe kukandamiza wapinzania sasa unawazika wenyewe!


Mharakati

Ni kweli isiyopingika, na sasa CCM wanaonyesha kila dalili ya unyonge kugeukia upande wa waliokuwa wakuwabeza kwamba ni vyama vya msimu.
 
No, siungi mkono hoja yako!!! Mgombea binafsi ni mtego kwa CHADEMA coz kuna mamluki wamepandikizwa CHADEMA. I believe hao mamluki watakapochujwa kwenye kura za mchujo wa mgombea wa raisi wa CHADEMA watakimbilia kugombea uraisi kupitia mgombea binafsi na hii itasaidia sana kupunguza kura za CHADEMA.

Hebu imagine ZITO ajitoe CHADEMA baada ya kutoswa URAISI na CHADEMA, halafu CCM waingize hoja ya udini (kwamba ZITO muislam ametoswa uraisi na CHADEMA sababu sio mkristo). Kitakachofuata, Zito atagombea kama mgombea binafsi. Hakika kura za CHEDEMA zitapungua na hii itaathiri kura za CHADEMA kwa kiasi fulani.

In addition, CCM can plan a conspiracy(based on ZITO example in the second paragraph above) itakayohalalisha wizi wa kura alafu baadae CHADEMA wakilalamika fauli, then CCM wanajibu simply "Udini umewaponza CHADEMA, ndio maana wameshindwa urais"

I see that you are supporting my view (rather than opposing) by presenting an addtional factor. Thanks
 
I see that you are supporting my view (rather than opposing) by presenting an addtional factor. Thanks


Mgembea binafsi ianasaidia kuua miezengwe ya uchujaji wa wagombea kwenye vikao vya juu kwa kupendeleana sababu ya kujuana kwamba huyu ni mwenzetu. Ndiyo yaliyompata Dr. Slaa kwa kuenguliwa kwamba si mwenzao CCM iliyohitimisha Slaa kwenda kugombea ubunge Chadema na sasa CCM imebaki majuto ni mjukuu.
 
Dalili za ccm kushindwa uchaguz
mkuuu 2015, zimeonekana wazi
ktk kikao cha halmashauri
kuu,Dodoma hiv karibuni. Na
kuanza kujiandalia mazingira ya
kuwa chama cha upinzani,kwa
kuibua mambo mapya ambayo
yanapingana na misimamo wa
chama hicho miaka yote na sera
zake, na kutaka yaingizwe
kwenye katiba mpya ili iwe nafuu
kwao watakaposhindwa
uchaguzi mkuu wa 2015..
Mambo hayo ni:
1.Kupendekezwa kuhoji
mahakamani matokeo ya
uchaguzi wa Rais.
2.Kupendekezwa uwezekano wa
serikali tatu.
3.Kupunguza madaraka ya Rais
4.Tume huru ya uchaguzi
5.Mgombea binafsi
6.Kero za Muungano.
7.Na baadhi ya mengine ambayo
kwa pamoja yamefikia
mapendekezo 17.
My take:
Wameishiwa sera,misimamo ya
chama,mipango madhubuti
wanaendeshwa na
matukio,wakifuata "upepo wa
nguvu ya umma" unapoelekea.
Siku zote chama
kinachoendeshwa na matukio
kikifuata upepo tu, kinajichimbia
kabuli chenyewe.
 
Mh CCM ndio chama pekee nchi hii hata kada wenu wa chadema amekubali hilo , wewe hukumsikia Shibuda?
 
Back
Top Bottom