MCHUMIPESA
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,088
- 257
haiwezi ikatokea hicho unachojaribu kusema
Ccm imeshachokwa na watu na faham kuwa hakuna chama kilichotawala duniani milele!!,waulize KANU Huko kenya,FRELIMO MSUMBIJI N.K.Soma alama za nyakati usijifariji kwenye hamna!