Waraka unaodaiwa wa Wabunge wa CCM kumpinga SIOI wasambaa Arumeru

Feedback, nakubaliana na wewe nguvu ya umati kwenye mob psychology, ila ukiwa na watu 10 ambao ni wapiga kura thabiti, ni bora kuliko umati wa watu elfu wenye wapiga kura wawili!.

The factor ya undecided votes doesn't apply kwenye maeneo yenye ukabila wa hali ya juu unaondekezwa na nguvu za koo kama Arumeru!. Hivi kulikuwa na sababu gani daftari la kudumu la Arumeru lisiwe updated kabla ya uchaguzi?. Sheria ya uchaguzi inasisitiza uchaguzi mdogo kufanywa ndani ya siku 90, siku 7 tuu zingetosha kufanya update!. Kama wapiga kura ni wale wale ambao hawakumchagua mgombea yule yule na badala yake wakamchagua mgombea fulani aliyekuwa hoi bin taaban akiugulia kitandani bila kufanmya kampeni yoyote!, unadhani kitu gani kitawafanya wapiga kura hao hao sasa ndio wamchague ili hali sasa ndio anasimama na mtu fit?!.
Pasco, waweza tujuza hili pia. una hakika gani kama kweli yule mgonjwa alichaguliwa na wameru na si dhuluma ya Magamba kupitia tume?
 
Ndugu yangu maji ya ndimu (Lemonade), hata kama unapatwa na uchungu kama aliyemeza ndimu achilia maji yake, siku ya Jumapili by saa 2:00 usiku, utanikumbuka!. Kuna makabila ya kubadili msimamo kwa T-shirt na kofia, wengine kwa shibe ya siku moja!. Kama unajipa matumaini ya kuwa wana Arumeru nao ni watu wa hiyo, wee isubirie hiyo Jumapili ili mradi usije kurudi hapa huku unalia lia!.

Wala sitalia hasirani, acha unafiki basi wa kuchumia tumbo, kinachokera ni kusema eti unasimamia ukweli, unaujua ukweli wewe?
 
Jackbauer, sio taarifa za Arumeru, uchaguzi ulishafanyika kitambona matokeo ya Arumeru yalishatoka na nilishayatangaza huko nyuma. Kinachoendelea sasa ni kutimizwa tuu kwa matakwa ya sheria, taratibu na kanuni!.

Hivi ikiwa vise versa utarudi na kauli gani kwenye hili jukwaa???
 
Inawezekana Sitta, Kilango wengine wote waliotajwa kwenye huu waraka hawakuundika, lakini sina shaka hata kidogo kuwa huu waraka utakuwa umeandikwa na CCM wenyewe. CCM ndio wenye ugonjwa sugu wa kuandika waraka kila wakibwana, hawajaanza leo. Wameamua kujimaliza wenyewe. What goes around comes around.
 
Back
Top Bottom