Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
Jackbauer, sio taarifa za Arumeru, uchaguzi ulishafanyika kitambona matokeo ya Arumeru yalishatoka na nilishayatangaza huko nyuma. Kinachoendelea sasa ni kutimizwa tuu kwa matakwa ya sheria, taratibu na kanuni!.
Nahisi una ajenda ya Siri maana umekomalia sana hii umekuwa ndiyo msemaji Wa Nape?