- Thread starter
- #81
Lengo la waraka wako ni nini. Nauliza haya kwa as you seem to contradict yourself. Unasema Pamoja na kutambua kwako hivyo bado unaitaka kamati kuu. Unataka kamati kuu ikae ijadili nini? Nakuuliza haya nikiamini we ni mwanachama hai wa CDM,kama sio kumradhi.
Waraka wangu nimeuelekeza Kamati kuu ya CDM.Wewe mwana CCM hauhusiki.Samahani sana.