Takalani Sesame
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 588
- 161
Wao watangaze kuwania Urais, wengine waendelee na M4C na tuone mwisho wa siku nani atapeperusha bendera ya Chadema 2015. Ikulu ni mahali patakatifu. Ikulu ni mzigo. Ukimuona mtu anakimbilia Ikulu tena kwa gharama kubwa muogope kama ukoma.