Wapi Misanya Bingi & Dena Amsi?

Kama wikipedia inazo nondo za kushibisha socialogy kwa nini ushinde library kwenye mbano wa ajabu na vitabu vilivyochanwa karibu kila kurasa?. Mimi binafsi nimesoma UD darasani nimehudhuria 40 % na 60% nimekomba online kwenye hiyo hiyo wikipedia na chuo nikamaliza na GPA nzuri tuu, sasa kuna cha ajabu gani kuhusu huyu lecture kijana!?.

.

Mmhmmmh!

Bado sijakuelewa unamaanisha nini ndugu Pasco.
 
oya wan jf uyu jamaa kila cku naonana na sasahiv yupo mwaka wa pili katika phd yake na mungu akipenda by desember anakuwa full doctor wa sociology and anthropology mkitaka detail zake nacyo kupayuka nenden idara ya socology udsm mkapate taarifa na kwatarirfa yenu phd yake imekuwa gumzo c2 udsm hadi vyuo vya south africa anapokwenda kila mara kupresente topic yake.AKHASANTENI SANA:behindsofa:
Kaka / Dada napenda kujifunza zaidi kuhusu hiyo PhD ya Misanya a.k.a Phat Slam (lol) anayoenda 'kupresent' South Africa now and then, anapresent wapi? kwa nani? na kwa nini iwe gumzo?

Wakatabahu.
 
Jaman mbona nimesema hapo juuu nenden idara ya sociology udsm hakuna cha kubishana ndiyo hivyo alivyo sema au mnataka no yake jaman eeeeeeeeeeeeee kwan wabongo mhhhhhhhhhhhhhh
 
Jaman mbona nimesema hapo juuu nenden idara ya sociology udsm hakuna cha kubishana ndiyo hivyo alivyo sema au mnataka no yake jaman eeeeeeeeeeeeee kwan wabongo mhhhhhhhhhhhhhh
Kwanini tuende UD tukamuulize habari za PhD yake kuwa gumzo akati wewe ndio uliyetuhabarisha??
 
Mmhmmmh!

Bado sijakuelewa unamaanisha nini ndugu Pasco.
kipi ambacho hujaelewa?
Kama nimesoma UD?
Kama nimehudhuria only 40% ya lectures na 60% ni wikipedia?
Kwa library ya UD kuna Mbanano na vitabu vimechanwa kila kurasa?
Au nimemaliza na kupata GPA nzuri tuu?.
 
NINAVYOGEA SASA HV YUPO KWENYE MEETING NAPIA KWAWALE WCYOJUA UDSM MISANYA UPO IDARA YA MIKOPO AKHASANTEN SANA :behindsofa:
 
kipi ambacho hujaelewa?
Kama nimesoma UD?
Kama nimehudhuria only 40% ya lectures na 60% ni wikipedia?
Kwa library ya UD kuna Mbanano na vitabu vimechanwa kila kurasa?
Au nimemaliza na kupata GPA nzuri tuu?.

hapo, ndio mshangao wangu!

Nitatilia shaka maarifa yako. Kusoma sio kupata cheti, cheti kizuri, ni kupata maarifa.
 
kipi ambacho hujaelewa?
Kama nimesoma UD?
Kama nimehudhuria only 40% ya lectures na 60% ni wikipedia?
Kwa library ya UD kuna Mbanano na vitabu vimechanwa kila kurasa?
Au nimemaliza na kupata GPA nzuri tuu?.

How can you be proud of it??

Accuracy ya wikipedia iko chini sana kama ni kweli kwamba ndio chanzo cha mafundisho ya Udsm basi nina wasi wasi na ubora wa wanafunzi wake. Vyuo bora vya nje hususani UK wanaku-penalize ukifanya nukuu kutoka Wikipedia na kwa ujumla kazi yako yote unayokuwa umeifanya hutiliwa shaka.
 
Huyu mshikaji tooozzzziiii balaa. Bila shaka, anafungua kurasa mbalimbali na kufunga. Wadada wa chua kwa kupenda vya mteremko. Kwa faida yako tu, huyu jamaa uwa anabembeleza mtoto balaa! Mtoto akiwa mgumu hivi,jamaa analia mpaka kieleweke. Mshikaji wangu kinoma yaani, ukimwambia atanijua tu.
 
Huyu mshikaji tooozzzziiii balaa. Bila shaka, anafungua kurasa mbalimbali na kufunga. Wadada wa chua kwa kupenda vya mteremko. Kwa faida yako tu, huyu jamaa uwa anabembeleza mtoto balaa! Mtoto akiwa mgumu hivi,jamaa analia mpaka kieleweke. Mshikaji wangu kinoma yaani, ukimwambia atanijua tu.

wewe mwanao akilia unamwacha niwako kweli ama umezalishiwa??
muulie mkeo vizuri..ana haki ya kubembeleza mwanae bigup misanya
 
Ndugu pasco unajua wikipedia inavyofanyakazi au unaongea tu ? Zile ni kazi zinazofanyiwa mabadiliko mara kwa mara na taarifa za humo zinaweza kuwa kweli au si kweli kutokana na asili yake ya ufanyaji kazi wa mabadiliko ambapo unaweza kuweka taarifa baadaye ikaja kubadilishwa na mwingine au kwa namna nyingine ndio maana wengine wanatilia mashaka na Taaluma yako
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kufaulu mitihani(darasani) na uelewa wa kupambanua mambo.Huwezi kuchanganya vyote ukaita akili.
 
hapo, ndio mshangao wangu!

Nitatilia shaka maarifa yako. Kusoma sio kupata cheti, cheti kizuri, ni kupata maarifa.
Uwiano Maalum, hapo tuko pamoja,
Kusoma sio kupata maarifa, na kuna wasomi wa vyeti, na kuna wenye maarifa kuliko hata hao wasomi wa vyeti lakini vyeti hawana!.
Kwahiyo kwa mujibu wa asassment yako, kati ya wasomi hawa wawili, aliyehudhuria lectures asilimia 100% na kutoka na GPA below 2.0 na aliyehudhuria lectures 40% na kuibuka na GPA ya 3.0, yupi kati ya hao ndio mwenye maarifa?.
 
How can you be proud of it??

Accuracy ya wikipedia iko chini sana kama ni kweli kwamba ndio chanzo cha mafundisho ya Udsm basi nina wasi wasi na ubora wa wanafunzi wake. Vyuo bora vya nje hususani UK wanaku-penalize ukifanya nukuu kutoka Wikipedia na kwa ujumla kazi yako yote unayokuwa umeifanya hutiliwa shaka.
Ikimita, kama aliyehudhuria lectures asilimia 100% na kutoka ametoka na PASS na aliyehudhuria lectures 40% na katoka na 2nd, yupi kati ya atakuwa proud of himself/herself, hivi ningehudhuria kwa 100% si ningetoka na 1st?.

Wewe usiingie darasani halafu ukapasua, unayo sababu ya kusikitika, sasa sana utajijutia tuu kwa nini sikuingi darasani, kumbe ningeingia ningefanya even better!.

Kwa kujijutia hapo ndipo huzuni hufuata na kuishi kwa masoneko ninge jua, dawa ni kuridhika na ulicho kipata, wengine ni watu wa wastani tuu, nami ni mmoja wao, sio book worms, hata usome vipi, ukeshe, kama ni mtu wa wastani, ni mtu wa wastani tuu, hivyo its true I'm very proud kuwa mtu wa wastani kama nilivyokuwa proud kukaaa back bench tangu primary mpaka chuo!.
 
Ndugu pasco unajua wikipedia inavyofanyakazi au unaongea tu ? Zile ni kazi zinazofanyiwa mabadiliko mara kwa mara na taarifa za humo zinaweza kuwa kweli au si kweli kutokana na asili yake ya ufanyaji kazi wa mabadiliko ambapo unaweza kuweka taarifa baadaye ikaja kubadilishwa na mwingine au kwa namna nyingine ndio maana wengine wanatilia mashaka na Taaluma yako
Shy, wengi wa wasomi wetu, wanakwenda chuo ili kupata elimu bora, wapate kazi nzuri, waishi maisha bora. Mimi nilikwenda chuo ili kupata maarifa na sio kuyatumia maarifa hayo kutafuta ajira na kuboresha maisha, bali just for the passion of it. Bado nasimama na wikipedia kuwa imenipa maarifa kuliko hata ya darasani.

Hili la wengine kutilia mashaka na taaluma za wenzao, ni haki yao ya msingi, kwa vile taaluma ni relative, kwa mfano mimi nina mashaka na wale ambao huchukua mabandiko ya watu wengine toka Jamiiforums na kwenda kuyapost kwenye forums zao, huku wakujifanya wameandika wao, (plagiarism at best), lakini nashangaa zaidi kama baadhi ya mabandiko hayo, yameandikwa na wale wale, ambao taaluma zao, wanazitilia shaka!.
 
Pasco unatia huruma sana sijui nikuite mdogo wangu au mwanangu kwenye hii forum , laiti ungejua mahusiano ya hizi forums watu wanaochangia na mengine mengi zaidi nikienda mbali naweza kuingilia haki za msingi za watu kuficha id zao kutokana na maadili ya forum hii - lakini unatakiwa kujifunza zaidi , tafuta zaidi maarifa na simamia taaluma na maarifa yako kwa manufaa yako na taifa lako sio yale ya kulekeza watoto
 
Pasco unatia huruma sana sijui nikuite mdogo wangu au mwanangu kwenye hii forum , laiti ungejua mahusiano ya hizi forums watu wanaochangia na mengine mengi zaidi nikienda mbali naweza kuingilia haki za msingi za watu kuficha id zao kutokana na maadili ya forum hii - lakini unatakiwa kujifunza zaidi , tafuta zaidi maarifa na simamia taaluma na maarifa yako kwa manufaa yako na taifa lako sio yale ya kulekeza watoto
Shy, asante kwa hili, kwa kweli niite mdogo wako, au hata mtoto wako kwenye forum kwa vile wewe humu ni miongoni mwa members waanzishili, ili hali mimi ni wakuja tuu.

Ila pia ni kweli, ninatia huruma, na nahitaji sana huruma yako, hivyo nakuomba sana, unihurumie mimi, na hao unaowachukulia mabandiko yao na kubandika kule kwako huku ukujifanya umeandika wewe.

Sina problem kabisa na freedom of information kwa information kuenea zaidi kwa kuonekana forums mbalimbali, lakini kuna element ya intalectual property ya originality, hii sio favour ni right, unawajibika siku zote, unapochukua kazi ya mtu, no matter how small or insignificant it is, lazima una attribute source, kwa kuandika tuu source:jf, basi, is is asking for too much brother/baba?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom