Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 673
- 1,391
Wakuu,
Hili jambo linawezekana kuonekana kawaida, lakini limenishangaza kidogo.
Leo nilikua napitia habari huko mitandaoni, nikapata wasaa wa kuongalia taarifa za baadhi ya jamaa tulio kuwa pamoja kipindi cha nyuma.
Kitu kilicho nishangaza ni kuona kuna account moja ya mtu tulikua tunasoma wote darasa moja ipo empty (haina kitu, picha, post, like, page alizo follow au comment etc) ni sawa na account iliyo telekezwa.
Nikaona isiwe tabu, nikajaribu kumtafuta mitandao mingi, huko nako hayupo, hamna picha wala taarifa inayo muhusu.
Japo tulisoma darasa moja, nika mtafuta jamaa aliekuwa best yake kipindi hicho, nika jaribu ku mdodosa huyu ndungu yetu yupo wapi?
Akaniambia kipindi tulichomaliza, jamaa aliendelea kujuendeleza lakini baada ya mda aliondoka kwenda kusoma nje (Jina Kapuni). Baada ya hapo akaniambia hana tena taarifa zake.
Hapa ndio nemeshangaa inawezekanaja mtu uka potea jumla jumla, uka delete kila kitu kwenye account yako?
Nimejiuliza amebadilisha identity au nini kimetokea, au amepata dili za TISS au idara za usalama?
Hii weekend nitajaribu ku go-deep kumtafuta mtu asiye taka kupatikana.
Hili jambo linawezekana kuonekana kawaida, lakini limenishangaza kidogo.
Leo nilikua napitia habari huko mitandaoni, nikapata wasaa wa kuongalia taarifa za baadhi ya jamaa tulio kuwa pamoja kipindi cha nyuma.
Kitu kilicho nishangaza ni kuona kuna account moja ya mtu tulikua tunasoma wote darasa moja ipo empty (haina kitu, picha, post, like, page alizo follow au comment etc) ni sawa na account iliyo telekezwa.
Nikaona isiwe tabu, nikajaribu kumtafuta mitandao mingi, huko nako hayupo, hamna picha wala taarifa inayo muhusu.
Japo tulisoma darasa moja, nika mtafuta jamaa aliekuwa best yake kipindi hicho, nika jaribu ku mdodosa huyu ndungu yetu yupo wapi?
Akaniambia kipindi tulichomaliza, jamaa aliendelea kujuendeleza lakini baada ya mda aliondoka kwenda kusoma nje (Jina Kapuni). Baada ya hapo akaniambia hana tena taarifa zake.
Hapa ndio nemeshangaa inawezekanaja mtu uka potea jumla jumla, uka delete kila kitu kwenye account yako?
Nimejiuliza amebadilisha identity au nini kimetokea, au amepata dili za TISS au idara za usalama?
Hii weekend nitajaribu ku go-deep kumtafuta mtu asiye taka kupatikana.