Umaarufu unawapeleka watu kwenye shida

Hold on

JF-Expert Member
Feb 7, 2023
455
1,025
sisalimii leo

Huyu kijana anajulika sana mwazo watu hawakuwa wanamuelewa sasa baada ya kumaliza chuo pale UDSM ndipo akapata mpenyo wa kujulikana mwazoni watu walikuwa hawamuelewei kabisa

Lakini baada ya kuwa maarufu fursa zikawa zinakuja kwa wingi sana ndipo akapata nafasi ya kuwa mtangazaji kwenye kituo kimoja cha redio na TV kidogo kidogo akaaza kupa na ndege safari za nje hatimae akawa maarufu zaidi watu wakamuelewa baadhi yao

Pole pole akaaza jipendekeza kwa wakubwa sasa juzi kati hapa akaingia kwenye ugomvi na mdada mmoja hapa bongo ambaye anatikisa sana kwa sasa na ni mrembo akawa anamtukana mtandaoni hakujua kuwa yule dada anajua siri zake sasa baada ya kumtukana huyu dada hakaona isiwe kesi ngoja nimkumbushe atambue mipaka yake

Kweli alipo mkumbusha alikausha akatulia kimya kumbe nyuma ya panzia anauza masege hapa bongo tena anauza na tajiri mmoja hapa bongo sasa mke wake hajui ilo na kucha anajifanya mtakatifu sana kumbe zile sms akimsifia huyo tajiri zilifuja na zipo juju kwa juju wamesema tumsitili huyu kijana ila akiendelea na uzwazwa wake tuta mnyoosha

Huyu wakati anaingia kwenye kiwanda cha umaarufu alikuwa patient tamaa zake zime mpoza sana na sasaivi masege yana hesabika na ata picha zake sikuizi watu washa haza zi diss anauza masege kwa kutaka apate pesa pesa anazo pata hazimtoshi
Vijana tufanye kazi hakuna cha bure bure

Na ukiwa maarafu fwata malezi ulio kulia achana na watu au marafiki wa ovyo kuna watu wanatumia umaarufu wao vibaya ni ilo tu
NB: UKIMJUA KAUSHA USIMTAJE MTU JINA
 
sisalimii leo

Huyu kijana anajulika sana mwazo watu hawakuwa wanamuelewa sasa baada ya kumaliza chuo pale UDSM ndipo akapata mpenyo wa kujulikana mwazoni watu walikuwa hawamuelewei kabisa

Lakini baada ya kuwa maarufu fursa zikawa zinakuja kwa wingi sana ndipo akapata nafasi ya kuwa mtangazaji kwenye kituo kimoja cha redio na TV kidogo kidogo akaaza kupa na ndege safari za nje hatimae akawa maarufu zaidi watu wakamuelewa baadhi yao

Pole pole akaaza jipendekeza kwa wakubwa sasa juzi kati hapa akaingia kwenye ugomvi na mdada mmoja hapa bongo ambaye anatikisa sana kwa sasa na ni mrembo akawa anamtukana mtandaoni hakujua kuwa yule dada anajua siri zake sasa baada ya kumtukana huyu dada hakaona isiwe kesi ngoja nimkumbushe atambue mipaka yake

Kweli alipo mkumbusha alikausha akatulia kimya kumbe nyuma ya panzia anauza masege hapa bongo tena anauza na tajiri mmoja hapa bongo sasa mke wake hajui ilo na kucha anajifanya mtakatifu sana kumbe zile sms akimsifia huyo tajiri zilifuja na zipo juju kwa juju wamesema tumsitili huyu kijana ila akiendelea na uzwazwa wake tuta mnyoosha

Huyu wakati anaingia kwenye kiwanda cha umaarufu alikuwa patient tamaa zake zime mpoza sana na sasaivi masege yana hesabika na ata picha zake sikuizi watu washa haza zi diss anauza masege kwa kutaka apate pesa pesa anazo pata hazimtoshi
Vijana tufanye kazi hakuna cha bure bure

Na ukiwa maarafu fwata malezi ulio kulia achana na watu au marafiki wa ovyo kuna watu wanatumia umaarufu wao vibaya ni ilo tu
NB: UKIMJUA KAUSHA USIMTAJE MTU JINA
Masege ndo nini? Mtaje huyo mtu hata kwa code
 
Back
Top Bottom