Wapi Misanya Bingi & Dena Amsi?

jamaa nasikia ni kiwembe lakini!!!!!!!!!
nasikia anawatafuna
WASHKAJI HII NOMA, HII JF WASOMAJI WENGI, MNAWEZA KUMUHARIBIA MAHUSIANO YAKE, MAANA SI VYEMA KUINGILIA MAISHA YA MTU HASA YA KIMAHUSIANO (MAPENZI), JE DEMU WAKE AU MKE WAKE KAMA KAOA AKITEMBELEA HII POST. MASELA NOMAAAA!!:playball:
 
HIVI KUWA NA AKILI NI KUPATA G.P.A KUBWA? ABOVE 3.8?.....mmh...aaaa.nauliza tu
 
Kupata ajira vyuo vikuu ni zaidi ya GPA kubwa, mfano UDSM GPA ya 3.8 and above ni kigezo tu cha kufanya application lakini sio kigezo cha kupata ajira, maana kuapata ajira ni lazima ufanye interview. Na Misanya kwa kuwa ameajiriwa pale ni wazi kuwa alifanya vizuri kwenye interview yake, na kuonesha yeye sio kilaza kwa yuko nafikri mwaka wa tatu kwenye PhD programm yake, so ni mkali sio kilaza!
 
Huyu jamaa nasikia alipata ajira kwa ukaribu aliokuwa nao na Marehemu Chachage ambapo waliokuwa na sifa kuliko yeye waliachwa. Naskia hii ilileta mtafaruku kidogo na utawala wa chuo siku zilizofatia. Utiaji shaka wa mienendo ya kutoa ajira katika Idara ya Sociologia na baadhi ya Idara hapo Mlimani ulipelekea kuanzisha utaratibu wa Centralized Recruitment ambapo maombi yote lazima yatumwe kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma yaangaliwe alafu ndo yashuswe idara huska kwa mchako zaidi. NB sifa ambazo ni GPA 3.8 undergraduate anazo ila inasemekana alisaidiwa sana kuandika Dissertation

Pia zilikuwepo taarifa kuwa Misanya Bingi hupata shida sana katika kufundisha. Sikumoja alisikika mwanafunzi mmoja akisema "Misanya anachukua notice toka wikipedia hivyo hataka ukikosa kipindi chake huna cha kupoteza" !!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu jamaa nasikia alipata ajira kwa ukaribu aliokuwa nao na Marehemu Chachage ambapo waliokuwa na sifa kuliko yeye waliachwa. Naskia hii ilileta mtafaruku kidogo na utawala wa chuo siku zilizofatia. Utiaji shaka wa mienendo ya kutoa ajira katika Idara ya Sociologia na baadhi ya Idara hapo Mlimani ulipelekea kuanzisha utaratibu wa Centralized Recruitment ambapo maombi yote lazima yatumwe kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma yaangaliwe alafu ndo yashuswe idara huska kwa mchako zaidi. NB sifa ambazo ni GPA 3.8 undergraduate anazo ila inasemekana alisaidiwa sana kuandika Dissertation

Pia zilikuwepo taarifa kuwa Misanya Bingi hupata shida sana katika kufundisha. Sikumoja alisikika mwanafunzi mmoja akisema "Misanya anachukua notice toka wikipedia hivyo hataka ukikosa kipindi chake huna cha kupoteza" !!!!!!!!!!!!!!

lol, wazaramo halisi nyie.
 
Huyu jamaa nasikia alipata ajira kwa ukaribu aliokuwa nao na Marehemu Chachage ambapo waliokuwa na sifa kuliko yeye waliachwa. Naskia hii ilileta mtafaruku kidogo na utawala wa chuo siku zilizofatia. Utiaji shaka wa mienendo ya kutoa ajira katika Idara ya Sociologia na baadhi ya Idara hapo Mlimani ulipelekea kuanzisha utaratibu wa Centralized Recruitment ambapo maombi yote lazima yatumwe kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma yaangaliwe alafu ndo yashuswe idara huska kwa mchako zaidi. NB sifa ambazo ni GPA 3.8 undergraduate anazo ila inasemekana alisaidiwa sana kuandika Dissertation

Pia zilikuwepo taarifa kuwa Misanya Bingi hupata shida sana katika kufundisha. Sikumoja alisikika mwanafunzi mmoja akisema "Misanya anachukua notice toka wikipedia hivyo hataka ukikosa kipindi chake huna cha kupoteza" !!!!!!!!!!!!!!

Mkitueleza haya mnatuthibitishia kuwa wasomi wetu wote pale Mlimani ni vilaza; Jamani tuweni wakweli huwi mwalimu pale kama huna vigezo na sifa za kuwepo pale; kazi zako mwisho wa siku kuna zaidi ya mtu mmoja huziangalia mfano hata mtihani unaotolewa pia kuna external examiners na mambo mengine mengi!

He has the merit............vinginevyo wangekuwa washampa gunia siku nyingi...............since Prof. Chachage died!:shock:
 
oya wan jf uyu jamaa kila cku naonana na sasahiv yupo mwaka wa pili katika phd yake na mungu akipenda by desember anakuwa full doctor wa sociology and anthropology mkitaka detail zake nacyo kupayuka nenden idara ya socology udsm mkapate taarifa na kwatarirfa yenu phd yake imekuwa gumzo c2 udsm hadi vyuo vya south africa anapokwenda kila mara kupresente topic yake.AKHASANTENI SANA:behindsofa:
 
Jamani tuweni wakweli huwi mwalimu pale kama huna vigezo na sifa za kuwepo pale; kazi zako mwisho wa siku kuna zaidi ya mtu mmoja huziangalia mfano hata mtihani unaotolewa pia kuna external examiners na mambo mengine mengi!

He has the merit............vinginevyo wangekuwa washampa gunia siku nyingi...............since Prof. Chachage died!:shock:
Masikini Jeuri, nakuunga mkono. Misanya yuko fit, amepata kazi hiyo kwa merits na bado kipaji chake cha kuongea kipo.
 
oya wan jf uyu jamaa kila cku naonana na sasahiv yupo mwaka wa pili katika phd yake na mungu akipenda by desember anakuwa full doctor wa sociology and anthropology mkitaka detail zake nacyo kupayuka nenden idara ya socology udsm mkapate taarifa na kwatarirfa yenu phd yake imekuwa gumzo c2 udsm hadi vyuo vya south africa anapokwenda kila mara kupresente topic yake.AKHASANTENI SANA:behindsofa:

Utawasaidia watu kama waweza muomba hizo info zake kwa faida yetu sote!
 
mISANYA bINGI gOOOO! walikusema sana ila umewaonyesha sivyo walikudhani. Go gentleman you deserve. We have the similar history and convictions.
 
Huyu jamaa nasikia alipata ajira kwa ukaribu aliokuwa nao na Marehemu Chachage ambapo waliokuwa na sifa kuliko yeye waliachwa. Naskia hii ilileta mtafaruku kidogo na utawala wa chuo siku zilizofatia. Utiaji shaka wa mienendo ya kutoa ajira katika Idara ya Sociologia na baadhi ya Idara hapo Mlimani ulipelekea kuanzisha utaratibu wa Centralized Recruitment ambapo maombi yote lazima yatumwe kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma yaangaliwe alafu ndo yashuswe idara huska kwa mchako zaidi. NB sifa ambazo ni GPA 3.8 undergraduate anazo ila inasemekana alisaidiwa sana kuandika Dissertation

Pia zilikuwepo taarifa kuwa Misanya Bingi hupata shida sana katika kufundisha. Sikumoja alisikika mwanafunzi mmoja akisema "Misanya anachukua notice toka wikipedia hivyo hataka ukikosa kipindi chake huna cha kupoteza" !!!!!!!!!!!!!!

Didia,
Kua watu wana malice na maceb wetu wa bongo wakidhani wote ni vilaza, sasa wanapotokea kuwa vichwa kila sababu zitatafutwa.

Hivyo watu wa sociology wanatakiwa wawe vichwa gani zaidi ya Misanya Bingi, mbona hapo UD, watu wa sociology ndio watu wenye all the time ku buzz buzz kila kona, kinywaji kingi, starehe nyingi na bado wanapasua?.

Kama wikipedia inazo nondo za kushibisha socialogy kwa nini ushinde library kwenye mbano wa ajabu na vitabu vilivyochanwa karibu kila kurasa?. Mimi binafsi nimesoma UD darasani nimehudhuria 40 % na 60% nimekomba online kwenye hiyo hiyo wikipedia na chuo nikamaliza na GPA nzuri tuu, sasa kuna cha ajabu gani kuhusu huyu lecture kijana!?.

Kama ni ku saidiwa mbona wengi tumesaidiwa kwa nia njema, tena hapo mlimani kuna maksi za kuanzia kichwa, shape, figure mpaka maksi za Chu... sasa cha ajabu nini?.

Kuna maprofessa vichwa ni wafundishaji wabaya tuu na masomo yao darasa zima lina dunda, wakati wako ma tutorial assistats tuu, wanafundisha simple na wanafunzi wanapasua?.

Mwacheni Misanya Bingi afanye kweli kwenye Ph.D yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom