Wewe Triple A tafadhali usije kuniulizia. Hawa uliowahi kuwaulizia wote leo hii hawapo.
Mkuu, naomba usije ukanianzishia uzi wa kunitafuta humu jf......kwa wanaofahamu hawa watu walipo pls naomba wanijuze........
Duu inatisha aiseeMkuu, naomba usije ukanianzishia uzi wa kunitafuta humu jf......
Maana ulicho wafanyia hao wawili, hadi nimekuogopa...
Uwe unaangalia na comment za wengine mkuu. Hapa wana sema katutoka juzi, wee una comment ki hivoMisanya Bingi, kitambo sana aise kumbe now a days ni lecturer.
Abarikiwe sana I think ndiye pia alimfungua 'double G' that time
Hapa kuna lililo jambo zito kidogo ambalo limejificha....Duu inatisha aisee
mhhh maybeHapa kuna lililo jambo zito kidogo ambalo limejificha....
Na huyu mleta thread nina hakika kuna jambo alilifahamu na pengine hakutaka kuliweka wazi.
Si amefariki
Hapa swali ni kwamba...mhhh maybe
Duuh swali la kidetective kabisa hili. Ila Dena alifariki mwaka jana eeHapa swali ni kwamba...
1. Kwanini wote walio tajwa na mleta mada tayari wamefariki?
2. Kwanini aliwataha hao wawili na hakutaja wengine?
3. Kwanini alikua amewataja wote, je walikua wana fahamiana ama hata ukaribu wowote?
Ndio mkuu, yaani hapa bado nina maswali kadhaa ya kumuuliza huyu mleta uzi.Duuh swali la kidetective kabisa hili. Ila Dena alifariki mwaka jana ee