Kyeli Lula
Member
- Mar 7, 2011
- 65
- 6
- Thread starter
- #61
hanikomeshi mimi anamkomesha mwanae, taarifa alikuwa nazo sijamdharau wala kuacha kumshirikisha jambo ila ni yeye ndio anadharau,unaonekana unamdharau baba wa watoto wako,,mwache akukomeshe hata angekuwa ndugu yangu ningemwambia anyamaze kimya kama hayupo duniani