Peter Rabachi
Member
- Nov 11, 2011
- 9
- 3
Tabia hii inistaajabishwa kwa wanawake, wanataka kudanganywa na kuingizwa mjini.
Mwanaume akikupenda wala hana nia ya kukutongoza wala kutaka mchezo mchafu
mbio kumfukiria mambo mabaya. Hivi mnaona kama wanaume wote ni wakuchezea mwanamke. Punguzeni maringo sio wote tuna tabia chafu.
Mwanaume akikupenda wala hana nia ya kukutongoza wala kutaka mchezo mchafu
mbio kumfukiria mambo mabaya. Hivi mnaona kama wanaume wote ni wakuchezea mwanamke. Punguzeni maringo sio wote tuna tabia chafu.