Dk. Anna Makakala, utoaji Pasipoti kwa vijana wa Kitanzania unaambatana na fogery Kwasababu maafisa wako wanalazimisha watoto wetu kudanganya

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Moja ya Kiongozi Mwanamke aliyeweza kufanya mabadiliko makubwa ya utoaji huduma na kupanua uwazi Kwa wateja ni Kamishna Jenerali wa UHAMIAJI. Ametumia elimu yake kufanya mabadiliko makubwa na amefanikiwa kuzifanya huduma za UHAMIAJI ziwe kwenye mtandao kama nchi za ulimwengu wa kwanza.

Kwa tunaosafiri na wenye marafiki tunaona namna wageni wanavyoappriciate reforms Ndani ya UHAMIAJI. Hongera Dr. Makakala natamani spirit Hii iungwe mkono na taasisi nyingine Tupunguze kwenda kubembelezana na maafisa wa serikali tukiomba huduma.

Dosari inayojitokeza hapa UHAMIAJI Kwa Sasa nikulazimishwa Kwa vijana wa Kitanzania wasio na tatizo la uraia wasipate Pasipoti. Lakini tatizo la ubaguzi wa huduma za Pasipoti SIYO kwa vijana wote, linawalenga vijana Watanzania waliohitimu Shule za msingi, sekondari na vyuo.

Mahitaji ya Pasipoti yameainishwa kwenye website ya UHAMIAJI na yapo kisheria ,hakuna sehemu sheria imesema kijana wa Kitanzania kwa sababu ajasoma asiruhusiwe kuwa na Pasipoti. Hakuna sehemu sheria imesema vijana ambao wana asili ya nje lakini ni Watanzania tu mfano wenye asili ya India, waarabu, wasomali na wale ambao walipata uraia Kwa kurithi Kwa wazazi wao ndio wapatiwe Pasipoti. Sheria ukiisoma Haina ubaguzi ila watoto weusi wanabaguliwa Tena kwa majibu mabovu na makali na maafisa hasa wa makao Makuu Kurasini na ofisi ya posta wanawajibu wateja SIKUPOKEI NENDA POPOTE UNAPOTAKA. Kauli Hii anaitoa afisa bila sababu yoyote ya msingi ameamua tu kwamba Pasipoti upati.

Haya malalamiko yamejaa Inbox zangu Toka nilipoandika hoja hapa yakuwaomba vijana wa Kitanzania kutoka kwenda kutembea huko Duniani wapate akili Mpya lakini pia wapunguze tatizo la ajira nchini.

Baada ya kupokea malalamiko mengi niliamua kwenda ofisi ya posta na Kurasini kuona Nini kinachoendelea. Naomba Dr. Makakala tumia Watu wako kufuatilia Siri Hii itakusaidia kuondoa ubaguzi wa huduma ya Pasipoti ofisini kwako.

1. Vipo vibanda vipo nje ya ofisi za Kurasini, kwenye ofisi hizo kuna vijana wanaletwa wamekamilisha application na Wana sifa, lakini wapo watu wanawakamata na kuwadanyanya kwamba awawezi kupata Huduma. Kisha maombi yanachukuliwa na watu hao na kuyaingiza ofisini, yakifika Ndani yule Mteja anaambiwa ingia nenda dirisha namba flani. Akifika mambo yanaenda fresh, kundi la vijana wanaorubumiwa Kwa mbinu Hii ni wengi , madhara yake ni kwamba upo uwezekano hata wasio raia kupita njia hizi chafu nakupata Pasipoti yetu.

2. Agenda ya kuwakwamisha vijana wenye rangi nyeusi wasipate Pasipoti inaonekana kama siyo agenda ya maafisa wa chini Bali ni msimamo wa maafisa wa ngazi ya juu ambapo siku Moja niliandika hapa kuhusu namna mjukuu wangu alivyokataliwa Pasipoti akihojiwa anaenda wapi, wakati anahojiwa hayo nikashuhudia mabinti na vijana wenye rangi wakipokelewa bila hata maswali ya unakwenda Kwa Nani. Ilinichukua wiki ombi la mjukuu wangu kupokelewa,siyo kupata pasipoti nasema KUPOKELEWA kisa tu ni mtoto wa kike na wanadai watoto wanakwenda nje kufanya uhuni. Then wananiambia nikiendelea na uaroganti sitohudumiwa nikalalmike popote. Hayo yanatamkwa mbele yangu na afisa kabisa, it was shame especially in sense of communication skills and customer services. You abuse others kids just because umekalia kiti? No.

Dr. Makakala kama utaendelea na watoa huduma wanaoamini watoto wetu Sisi weusi wanakwenda kujiuza, wanaenda nje kufanya uhalifu utakuwa huna sababu za kupokea pongezi nilizotoa. Weka watu kwenye madirisha ya huduma kwa kuzingatia integrity na watu wanaotambua utu. Kutoa Pasipoti kwenye nchi nyingine ni kazi ya kiraia uaskari unaingia kwenye control. Kama mnaogopa kudanganywa wekeni sheria Kali ya Pasipoti, yeyote anayedanganya afungwe tuone kama kuna mgeni atakimbilia Pasipoti zetu. Ninyi mnashindwa kudili na wageni mnabaki kuwasumbua watoto wetu Kwa hisia tu wakati vigezo wanavyo?

Mwisho nikueleze udanganyofu unaofanyika na watoto wetu Kwa Sasa
1. Wanachapa barua za wazazi kwenye stationary nje bila hata idhini ya wazazi na kuwaletea Kwa sababu hakuna kigezo cha barua ya mzazi Kwa MTU yupo above 18. Mnalazimisha kudanganywa

2. Mnaomba benki statement za watoto na wazazi kwa malengo Gani?, Mjukuu wangu aligusiwa suala la benki statement na nilieleza hapa last time. Hizi taarifa za Siri za akaunti za wazazi mnataka watoto wajue masalio yetu watupige roba? Sheria inasemaje? Jaribuni kuwa reasonable Leo benk statement yangu inahusika na Mtoto wangu kupata pasipoti au kusafiri? Mnajua hizi nazo vijana wanatengeneza? Je mnaweza kwenda kuzihakiki? Benki iache kazi zake ianze kuwahakikia benk statement Kwa sheria ipi?

3. Vijana wengi wanabadili miaka ya kuzaliwa waonekane wakubwa

4. Vijana wanabadili majina na dini zao Kwa ajili ya kupata pasipoti hasa kwenda kufanya kazi nje, hii pia naomba ifahamike na haya ndiyo yanayoendelea hapo kwenu.

5. Mnawalazimisha watu kuiba copy za Pasipoti za watu nje Mtandaoni au kuwalazimisha kuanzisha mahusiano na wageni bila ridhaa Yao. Wanatengeneza email za mialiko hata pasipo na mialiko. Mmewafanya badhi ya mabinti na vijana kuwa watumwa wa Mataifa ya nje wafichiwe Siri ya udanganyifu walipolazimishwa kufanya udanganyifu wa vigezo. Hapa kuna element slavery au uvunjaji utu unaozaliwa kutokana na wish ya kijana kwenda nje. Mfano mzuri anagalieni trend ya wanawake wazungu wanavyoongezeka kuja kuwaombea pasipoti vijana wa Kimasai. Kwamba vijana wetu wa kimasai wanaoishi ufukwenu wanapaswa kuletwa kuombewa pasipoti na raia wa Kigeni? Kwamba Hadi amlete mama wa kizungu ndipo apewe pasipoti? Nadhani pia ukifanya utafiti eneo ili unaweza ukaboresha huduma na kulinda utu.

6. Kuna watoto awakufanya mitihani wanagushi vyeti wapate pasipoti. Jipe muda kuverfy vyeti vy shule, but the main factor ni vigezo nje ya sheria

7. Maafisa wanabadili taarifa za attachments vya wateja; mfano Mimi nilimwandikia mjukuu wangu barua nikasaini nakuweka namba yangu ya simu kama mlezi afisa akaondoa barua yangu akamwambia mjukuu wangu aende stationary nje ya ofisi akawaambie wamwandikie barua ya mzazi, mjukuu akauliza mama yupo mbali akaambiwa Wewe saini kwa niaba yake. You can see how these officers are even distroying evidence by forcing to be cheated. Tuliofanya kazi private sector tunafundishwa kuconcider first impression before second impression.........Uhamiaji chukueni kile Cha kwanza msijiingize sehemu ya uhalifu

8. Mteja anaomba pasipoti, anafika dirishani Kwa Afisa anakataliwa kupokelewa nakurudishwa na ombi lake.
Analazimisha apokelewe na aelezwe kosa au mapungufu anarudishwa bila kuingizwa kwenye system. Unaenda na application Kwa Afisa wa juu Naye hivyo hivyo.....unajiuliza hawa watu wanajua maana ya huduma mtandao? Tafsiri ya huduma mtandao unapokelewa na maamuzi yanafanywa kwenye mfumo Ili Kesho ukirudi kumbukumbu Zipo na kama afisa ni mvivu kuhudumia watu meneja ajue kupitia maamuzi yanayotolewa mapokezi. Itakuwa ni jambo lisilo na ueledi endapo afisa wa kaunti atapewa nafasi yakupokea au kumkataa Mteja without any reason kwenye system. How do they decide without seen alicholeta Mteja na alichoweka kwenye mfumo vinafanana? Madhara yake wanalazimisha ulichoscan online kiwe tofauti na real application waseme unadanganya...

Uhamiaji, hii style anakuja mtu mnayedhani hana kigezo mnamrudisha na fomu maana yake si mnamwambia akajaribu kwingine? You need to learn these issues kutoka mataifa yaliyoendelea achaneni na watendaji wenye akili zakuabudiwa you can not use manuaal minded kwenye electronic.
Waambie maafisa watupokee, andika kwenye system sina vigezo nikapambane na wakubwa zao siyo Wewe unajimilikisha ofisi ya umma. Nilikerwa sana unamuuliza afisa mkubwa kwanini msinpokee mkaweka hizo comments kwenye mfumo mkaacha kusumbua wateja nenda rudi hadi waende kwa kamishna na yeye anapokea ombi alijaingizwa mfumoni aaandike kwa mkono.........Dr. Makakala your staffs need coaching about e- service. Naamini wangetupokea wakaandika wananchi awana sifa at the end Kwa taasisi inayokua mngeweza kutengeneza ripoti ya maombi ya wateja waliopokelewa wakakosa sifa then mngeweza kuja measures nzuri sana kwenye utoaji huduma. Every data in electronic system it has its meaning for managers, ninyi hizi data za wasio na vigezo by age, fogery,cheating nationality mnazipata wapi kama mpo manually?
Nenda kaombe visa Marekani then wakuambie rekebisha moja mbili Tatu uwazunguke uone.......system will speak out the last decision.

Hii tabia yakutopokelewa Kwa wateja wakaingizwa kwenye system imekuwa sehemu kubwa ya kusababisha Rushwa na ndiyo inayopelekea vijana kukaa kwenye vibanda nje nakukabidhi maombi yao Kwa vishoka. I observed it, unasikia una shilingi ngapi nikamtafute mtu mwingine akupokee.....ni jambo lipo wazi kabisa.

Hivyo nikuombe Dr. elekeza na toa public notice kwamba Mteja yeyote wa pasipoti ambaye atakataliwa kupokelewa na afisa ofisi yoyote basi akupigie simu kutoa malalamiko: kama Hana sifa ajulishwe kwa utaratibu hana sifa na maafisa wasishriki kubadili nyaraka za wateja kwasababu mnatuambia tusncan. Tuambieni tulete mpya Ile ibaki siyo afisa kushiriki kuzibadilisha nyaraka za wateja na kufanya tiluonekana na taarifa kinzani. Huu utaratibu wa maafisa kukataa wateja, tunatoka nje tunapokelewa na wauni tu na wanapokea pesa then tunaambiwa nenda next door wateja wanapokelewa ni mfumo wa kuwakatalia wateja huduma Kwa sababu ya rushwa.

Afisa huyu anakataa then akija kishoka au hata mteja akienda kwa mwingine anakubali. This rejection of applications with no grounds ni mfumo wenye baraka za ndani na unaproof pale unapokwama ukaenda kwa kamishna asikuulize wapi huyo afisa kacoment kuwa usipokelewe? Yeye anaandika apokelewe, kwanini asikutane na application kwenye mfumo?

Dr. Makakala siku ukielekeza wateja wote wapokelewe na wajibiwe aidha manually au wakute comments kwenye akaunti zao basi utapunguza rushwa na wewe Mwenyewe utaweza kuboresha endapo rejectolion zitakuwa nyingi. Mwisho itakusaidia kujua weusi wangapi awana tatizo la uraia wamekataliwa na wenye rangi wangapi wasio na tatizo la uraia wamekataliwa.

Nchi za Ulaya sisi weusi tunabaguliwa then huku ndani Nako tubaguane. Hapana

Nikutakie afya njema, endelea kufanya reform may be one day utatufanya Watanzania kusafiri nje isiwe anasa iwe kawaida. Na kulifanya ilo Anza kubadili maafisa wako mindset wawe watoa huduma wawachie wadhibiti kazi Yao.
 
Nimesoma andiko lako kifupi Rushwa ndio imetamalaki, hao vishoka ndio mawakala wa watumishi wanaowarudisha watu nje....kifupi ni mgao kati ya mtumishi na kishoka ndio mpango mzima.

Hivyo ukienda wewe mwenyewe dirishani moja kwa moja inaonekana mteja wa hasara tu, unawapotezea muda.
 
Haaaaahahhahaa
Hiiiiiiiii bha ghoshaaaa!

Yaani sio kwamba nacheka ni mazuri ila Kuna mambo yanasikitisha Sana,
Katika idara za hovyo hiyo uhamiaji ni namba wani yaani utoaji wa passport ni kama unaomba tiketi ya kwenda Mbinguni,
Hapo pamejaa watumishi washamba na wajinga wa kiwango kikubwa mno
Badala kutoa mzigo ukapambane na maswali huko ubalozini unapoenda kuchukua Visa,wanajidai wao Ndio wafanya KAZI wa ubalozi kukubania yaani wanaboa mno,
Rushwa!
Rushwa!
Rushwa!
 
Moja ya Kiongozi Mwanamke aliyeweza kufanya mabadiliko makubwa ya utoaji huduma na kupanua uwazi Kwa wateja ni Kamishna Jenerali wa UHAMIAJI. Ametumia elimu yake kufanya mabadiliko makubwa na amefanikiwa kuzifanya huduma za UHAMIAJI ziwe kwenye mtandao kama nchi za ulimwengu wa kwanza.

Kwa tunaosafiri na wenye marafiki tunaona namna wageni wanavyoappriciate reforms Ndani ya UHAMIAJI. Hongera Dr. Makakala natamani spirit Hii iungwe mkono na taasisi nyingine Tupunguze kwenda kubembelezana na maafisa wa serikali tukiomba huduma.

Dosari inayojitokeza hapa UHAMIAJI Kwa Sasa nikulazimishwa Kwa vijana wa Kitanzania wasio na tatizo la uraia wasipate Pasipoti. Lakini tatizo la ubaguzi wa huduma za Pasipoti SIYO kwa vijana wote, linawalenga vijana Watanzania waliohitimu Shule za msingi, sekondari na vyuo.

Mahitaji ya Pasipoti yameainishwa kwenye website ya UHAMIAJI na yapo kisheria ,hakuna sehemu sheria imesema kijana wa Kitanzania kwa sababu ajasoma asiruhusiwe kuwa na Pasipoti. Hakuna sehemu sheria imesema vijana ambao wana asili ya nje lakini ni Watanzania tu mfano wenye asili ya India, waarabu, wasomali na wale ambao walipata uraia Kwa kurithi Kwa wazazi wao ndio wapatiwe Pasipoti. Sheria ukiisoma Haina ubaguzi ila watoto weusi wanabaguliwa Tena kwa majibu mabovu na makali na maafisa hasa wa makao Makuu Kurasini na ofisi ya posta wanawajibu wateja SIKUPOKEI NENDA POPOTE UNAPOTAKA. Kauli Hii anaitoa afisa bila sababu yoyote ya msingi ameamua tu kwamba Pasipoti upati.

Haya malalamiko yamejaa Inbox zangu Toka nilipoandika hoja hapa yakuwaomba vijana wa Kitanzania kutoka kwenda kutembea huko Duniani wapate akili Mpya lakini pia wapunguze tatizo la ajira nchini.

Baada ya kupokea malalamiko mengi niliamua kwenda ofisi ya posta na Kurasini kuona Nini kinachoendelea. Naomba Dr. Makakala tumia Watu wako kufuatilia Siri Hii itakusaidia kuondoa ubaguzi wa huduma ya Pasipoti ofisini kwako.

1. Vipo vibanda vipo nje ya ofisi za Kurasini, kwenye ofisi hizo kuna vijana wanaletwa wamekamilisha application na Wana sifa, lakini wapo watu wanawakamata na kuwadanyanya kwamba awawezi kupata Huduma. Kisha maombi yanachukuliwa na watu hao na kuyaingiza ofisini, yakifika Ndani yule Mteja anaambiwa ingia nenda dirisha namba flani. Akifika mambo yanaenda fresh, kundi la vijana wanaorubumiwa Kwa mbinu Hii ni wengi , madhara yake ni kwamba upo uwezekano hata wasio raia kupita njia hizi chafu nakupata Pasipoti yetu.

2. Agenda ya kuwakwamisha vijana wenye rangi nyeusi wasipate Pasipoti inaonekana kama siyo agenda ya maafisa wa chini Bali ni msimamo wa maafisa wa ngazi ya juu ambapo siku Moja niliandika hapa kuhusu namna mjukuu wangu alivyokataliwa Pasipoti akihojiwa anaenda wapi, wakati anahojiwa hayo nikashuhudia mabinti na vijana wenye rangi wakipokelewa bila hata maswali ya unakwenda Kwa Nani. Ilinichukua wiki ombi la mjukuu wangu kupokelewa,siyo kupata pasipoti nasema KUPOKELEWA kisa tu ni mtoto wa kike na wanadai watoto wanakwenda nje kufanya uhuni. Then wananiambia nikiendelea na uaroganti sitohudumiwa nikalalmike popote. Hayo yanatamkwa mbele yangu na afisa kabisa, it was shame especially in sense of communication skills and customer services. You abuse others kids just because umekalia kiti? No.

Dr. Makakala kama utaendelea na watoa huduma wanaoamini watoto wetu Sisi weusi wanakwenda kujiuza, wanaenda nje kufanya uhalifu utakuwa huna sababu za kupokea pongezi nilizotoa. Weka watu kwenye madirisha ya huduma kwa kuzingatia integrity na watu wanaotambua utu. Kutoa Pasipoti kwenye nchi nyingine ni kazi ya kiraia uaskari unaingia kwenye control. Kama mnaogopa kudanganywa wekeni sheria Kali ya Pasipoti, yeyote anayedanganya afungwe tuone kama kuna mgeni atakimbilia Pasipoti zetu. Ninyi mnashindwa kudili na wageni mnabaki kuwasumbua watoto wetu Kwa hisia tu wakati vigezo wanavyo?

Mwisho nikueleze udanganyofu unaofanyika na watoto wetu Kwa Sasa
1. Wanachapa barua za wazazi kwenye stationary nje bila hata idhini ya wazazi na kuwaletea Kwa sababu hakuna kigezo cha barua ya mzazi Kwa MTU yupo above 18. Mnalazimisha kudanganywa

2. Mnaomba benki statement za watoto na wazazi kwa malengo Gani?, Mjukuu wangu aligusiwa suala la benki statement na nilieleza hapa last time. Hizi taarifa za Siri za akaunti za wazazi mnataka watoto wajue masalio yetu watupige roba? Sheria inasemaje? Jaribuni kuwa reasonable Leo benk statement yangu inahusika na Mtoto wangu kupata pasipoti au kusafiri? Mnajua hizi nazo vijana wanatengeneza? Je mnaweza kwenda kuzihakiki? Benki iache kazi zake ianze kuwahakikia benk statement Kwa sheria ipi?

3. Vijana wengi wanabadili miaka ya kuzaliwa waonekane wakubwa

4. Vijana wanabadili majina na dini zao Kwa ajili ya kupata pasipoti hasa kwenda kufanya kazi nje, hii pia naomba ifahamike na haya ndiyo yanayoendelea hapo kwenu.

5. Mnawalazimisha watu kuiba copy za Pasipoti za watu nje Mtandaoni au kuwalazimisha kuanzisha mahusiano na wageni bila ridhaa Yao. Wanatengeneza email za mialiko hata pasipo na mialiko. Mmewafanya badhi ya mabinti na vijana kuwa watumwa wa Mataifa ya nje wafichiwe Siri ya udanganyifu walipolazimishwa kufanya udanganyifu wa vigezo. Hapa kuna element slavery au uvunjaji utu unaozaliwa kutokana na wish ya kijana kwenda nje. Mfano mzuri anagalieni trend ya wanawake wazungu wanavyoongezeka kuja kuwaombea pasipoti vijana wa Kimasai. Kwamba vijana wetu wa kimasai wanaoishi ufukwenu wanapaswa kuletwa kuombewa pasipoti na raia wa Kigeni? Kwamba Hadi amlete mama wa kizungu ndipo apewe pasipoti? Nadhani pia ukifanya utafiti eneo ili unaweza ukaboresha huduma na kulinda utu.

6. Kuna watoto awakufanya mitihani wanagushi vyeti wapate pasipoti. Jipe muda kuverfy vyeti vy shule, but the main factor ni vigezo nje ya sheria

7. Maafisa wanabadili taarifa za attachments vya wateja; mfano Mimi nilimwandikia mjukuu wangu barua nikasaini nakuweka namba yangu ya simu kama mlezi afisa akaondoa barua yangu akamwambia mjukuu wangu aende stationary nje ya ofisi akawaambie wamwandikie barua ya mzazi, mjukuu akauliza mama yupo mbali akaambiwa Wewe saini kwa niaba yake. You can see how these officers are even distroying evidence by forcing to be cheated. Tuliofanya kazi private sector tunafundishwa kuconcider first impression before second impression.........Uhamiaji chukueni kile Cha kwanza msijiingize sehemu ya uhalifu

8. Mteja anaomba pasipoti, anafika dirishani Kwa Afisa anakataliwa kupokelewa nakurudishwa na ombi lake.
Analazimisha apokelewe na aelezwe kosa au mapungufu anarudishwa bila kuingizwa kwenye system. Unaenda na application Kwa Afisa wa juu Naye hivyo hivyo.....unajiuliza hawa watu wanajua maana ya huduma mtandao? Tafsiri ya huduma mtandao unapokelewa na maamuzi yanafanywa kwenye mfumo Ili Kesho ukirudi kumbukumbu Zipo na kama afisa ni mvivu kuhudumia watu meneja ajue kupitia maamuzi yanayotolewa mapokezi. Itakuwa ni jambo lisilo na ueledi endapo afisa wa kaunti atapewa nafasi yakupokea au kumkataa Mteja without any reason kwenye system. How do they decide without seen alicholeta Mteja na alichoweka kwenye mfumo vinafanana? Madhara yake wanalazimisha ulichoscan online kiwe tofauti na real application waseme unadanganya...

Uhamiaji, hii style anakuja mtu mnayedhani hana kigezo mnamrudisha na fomu maana yake si mnamwambia akajaribu kwingine? You need to learn these issues kutoka mataifa yaliyoendelea achaneni na watendaji wenye akili zakuabudiwa you can not use manuaal minded kwenye electronic.
Waambie maafisa watupokee, andika kwenye system sina vigezo nikapambane na wakubwa zao siyo Wewe unajimilikisha ofisi ya umma. Nilikerwa sana unamuuliza afisa mkubwa kwanini msinpokee mkaweka hizo comments kwenye mfumo mkaacha kusumbua wateja nenda rudi hadi waende kwa kamishna na yeye anapokea ombi alijaingizwa mfumoni aaandike kwa mkono.........Dr. Makakala your staffs need coaching about e- service. Naamini wangetupokea wakaandika wananchi awana sifa at the end Kwa taasisi inayokua mngeweza kutengeneza ripoti ya maombi ya wateja waliopokelewa wakakosa sifa then mngeweza kuja measures nzuri sana kwenye utoaji huduma. Every data in electronic system it has its meaning for managers, ninyi hizi data za wasio na vigezo by age, fogery,cheating nationality mnazipata wapi kama mpo manually?
Nenda kaombe visa Marekani then wakuambie rekebisha moja mbili Tatu uwazunguke uone.......system will speak out the last decision.

Hii tabia yakutopokelewa Kwa wateja wakaingizwa kwenye system imekuwa sehemu kubwa ya kusababisha Rushwa na ndiyo inayopelekea vijana kukaa kwenye vibanda nje nakukabidhi maombi yao Kwa vishoka. I observed it, unasikia una shilingi ngapi nikamtafute mtu mwingine akupokee.....ni jambo lipo wazi kabisa.

Hivyo nikuombe Dr. elekeza na toa public notice kwamba Mteja yeyote wa pasipoti ambaye atakataliwa kupokelewa na afisa ofisi yoyote basi akupigie simu kutoa malalamiko: kama Hana sifa ajulishwe kwa utaratibu hana sifa na maafisa wasishriki kubadili nyaraka za wateja kwasababu mnatuambia tusncan. Tuambieni tulete mpya Ile ibaki siyo afisa kushiriki kuzibadilisha nyaraka za wateja na kufanya tiluonekana na taarifa kinzani. Huu utaratibu wa maafisa kukataa wateja, tunatoka nje tunapokelewa na wauni tu na wanapokea pesa then tunaambiwa nenda next door wateja wanapokelewa ni mfumo wa kuwakatalia wateja huduma Kwa sababu ya rushwa.

Afisa huyu anakataa then akija kishoka au hata mteja akienda kwa mwingine anakubali. This rejection of applications with no grounds ni mfumo wenye baraka za ndani na unaproof pale unapokwama ukaenda kwa kamishna asikuulize wapi huyo afisa kacoment kuwa usipokelewe? Yeye anaandika apokelewe, kwanini asikutane na application kwenye mfumo?

Dr. Makakala siku ukielekeza wateja wote wapokelewe na wajibiwe aidha manually au wakute comments kwenye akaunti zao basi utapunguza rushwa na wewe Mwenyewe utaweza kuboresha endapo rejectolion zitakuwa nyingi. Mwisho itakusaidia kujua weusi wangapi awana tatizo la uraia wamekataliwa na wenye rangi wangapi wasio na tatizo la uraia wamekataliwa.

Nchi za Ulaya sisi weusi tunabaguliwa then huku ndani Nako tubaguane. Hapana

Nikutakie afya njema, endelea kufanya reform may be one day utatufanya Watanzania kusafiri nje isiwe anasa iwe kawaida. Na kulifanya ilo Anza kubadili maafisa wako mindset wawe watoa huduma wawachie wadhibiti kazi Yao.
Tui na mwenzako Mwanahabari wa Taifa mnaona rushwa zinazoendelea chekini kwenye report/research alizoandika mzungu kama amegusia hili wakati anasema rushwa imepungua nchini.
 
Mtoa hoja umeelezea kwa kirefu ukweli uliopo na mada hii tulikua nayo about few weeks ago,tunachotakiwa ni kuzuia ugonjwa na sio kutibu ugonjwa,wenzetu wenye kujielewa kuomba passport ni kitu cha kawaida na rahisi tu na unahitaji ID tu,why tusianze upya?tutengeneze system's ya raia na tuanzie na watoto,mtoto akizaliwa tu kabla mzazi hajaruhusiwa ni LAZIMA awe na birth certificate yenye ID number (jina analopewa na serikali)na hii ID ndio utakayotumika kuomba passport maana taarifa zote zinakua ndani ya system's. Wizara ya Home Affairs ivunjwe na zitengenezwe wizara mbili,Polisi(usalama wa raia) na wizara ya mambo ya ndani (raia na immigrations).hili litasaidia mno kuleta ufanisi zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tui na mwenzako Mwanahabari wa Taifa mnaona rushwa zinazoendelea chekini kwenye report/research alizoandika mzungu kama amegusia hili wakati anasema rushwa imepungua nchini.
Kiswahili lugha ngumu . Hakuna aliyesema imekwisha.Ripoti ya 2021 inaonyesha kwamba rushwa Nchini imepungua kulinganisha na 2020.
Hutaki lete ripoti yako ya hali ya rushwa Nchini sio matukio.Ripoti inaelezea hali ya Rushwa kiujumla sio kuna trafiki amekamatwa Kibaha akipokea rushwa.Capishe???
 
Kiswahili lugha ngumu . Hakuna aliyesema imekwisha.Ripoti ya 2021 inaonyesha kwamba rushwa Nchini imepungua kulinganisha na 2020.
Hutaki lete ripoti yako ya hali ya rushwa Nchini sio matukio.
Hata mimi sijasema imeisha bali na highlight uhuni wenu kusema imepungua wakati malalamiko yanaongezeka. Leo tu tumesikia mengi toka kwa Waitara na Hapi acha hili suala la uhamiaji halafu utakuja hapa kutetea na ripoti yako feki.
 
Hata mimi sijasema imeisha bali na highlight uhuni wenu kusema imepungua wakati malalamiko yanaongezeka. Leo tu tumesikia mengi toka kwa Waitara na Hapi acha hili suala la uhamiaji halafu utakuja hapa kutetea na ripoti yako feki.
Ripoti yangu are you serious?Nisije kuwa napoteza muda na The lights are on but nobody is home!
Hii ni ripoti ya kimataifa .Weka yako iliyooa ikiwa hii ni ya kihuni.
 
Hizo sheria na taratibu/urasimu wote uliwekwa ili wanasiasa, matajiri na watoto wao tu ndiyo wapate chance ya kwenda ughaibuni. Maafisa wanatumia urasimu huo kula rushwa. Mtu aonyeshe kitambulisho cha NIDA, apewe passport yake, si uhamiaji walisign kwenye form za NIDA! Kuulizana unakwenda wapi, kufanya nini nk, inawahusu nini?
 
Ripoti yangu are you serious?Nisije kuwa napoteza muda na The lights are on but nobody is home!
Hii ni ripoti ya kimataifa .Weka yako iliyooa ikiwa hii ni ya kihuni.
Furahia hata nimeita ripoti yako sababu na wasiwasi hata kama una uwezo wa kuandika dissertation na ikaeleweka. Ripoti kuwa ya kimataifa haifanyi kuwa sahihi na ni ujinga hata kupoteza muda kutumia akili nyingi kuipinga. Ukipata muda angalia files za wikileaks uangalie jinsi CIA na NSA wanavyo blunder intelligence assessments zao na hapo wamepewa resources kibao acha hilo nimekupa mfano wa Collin Powell alivyoenda na ripoti ya uwongo pale UN kudhibitisha Iraq wana chemical weapons bado unakuja hapa unatetea ujinga kisa ripoti imetolewa na International organisation wakati reality tunaishi nayo humu nchini. That's what pisses me off kuhusu watu kama nyie mnaamini report ya mzungu kuliko hata unachopitia halafu una counter argument kwa kusema nikulete report inayosema otherwise, i know inakufanya ujihisi wewe ni intellectual lakini my brother you sound like a learned fool.
 
Sijawahi kuona Taasisi ya hovyo Kama uhamiaji.

Mimi naenda Marekani hata Kama naenda kuiba Nyie uhamiaji inawahusu nini, si muache nikafungwe au nikafie zangu huko. Yani reasoning capacity ya watu wa uhamiaji iko below normal standard.

Huwa nAwacheki wanajiona maisha wameyamaliza na vijimishahara vyao. Ujue wabongo tunakosa exposure saaana. Ukute Huyo afisa uhamiaji hajawahi kufika hata hapo kenya.
 
Haya mambo ndiyo yalitufanya wakati wetu
Tukasafiri kwa kubinjuka

Ova
 
Moja ya Kiongozi Mwanamke aliyeweza kufanya mabadiliko makubwa ya utoaji huduma na kupanua uwazi Kwa wateja ni Kamishna Jenerali wa UHAMIAJI. Ametumia elimu yake kufanya mabadiliko makubwa na amefanikiwa kuzifanya huduma za UHAMIAJI ziwe kwenye mtandao kama nchi za ulimwengu wa kwanza.

Kwa tunaosafiri na wenye marafiki tunaona namna wageni wanavyoappriciate reforms Ndani ya UHAMIAJI. Hongera Dr. Makakala natamani spirit Hii iungwe mkono na taasisi nyingine Tupunguze kwenda kubembelezana na maafisa wa serikali tukiomba huduma.

Dosari inayojitokeza hapa UHAMIAJI Kwa Sasa nikulazimishwa Kwa vijana wa Kitanzania wasio na tatizo la uraia wasipate Pasipoti. Lakini tatizo la ubaguzi wa huduma za Pasipoti SIYO kwa vijana wote, linawalenga vijana Watanzania waliohitimu Shule za msingi, sekondari na vyuo.

Mahitaji ya Pasipoti yameainishwa kwenye website ya UHAMIAJI na yapo kisheria ,hakuna sehemu sheria imesema kijana wa Kitanzania kwa sababu ajasoma asiruhusiwe kuwa na Pasipoti. Hakuna sehemu sheria imesema vijana ambao wana asili ya nje lakini ni Watanzania tu mfano wenye asili ya India, waarabu, wasomali na wale ambao walipata uraia Kwa kurithi Kwa wazazi wao ndio wapatiwe Pasipoti. Sheria ukiisoma Haina ubaguzi ila watoto weusi wanabaguliwa Tena kwa majibu mabovu na makali na maafisa hasa wa makao Makuu Kurasini na ofisi ya posta wanawajibu wateja SIKUPOKEI NENDA POPOTE UNAPOTAKA. Kauli Hii anaitoa afisa bila sababu yoyote ya msingi ameamua tu kwamba Pasipoti upati.

Haya malalamiko yamejaa Inbox zangu Toka nilipoandika hoja hapa yakuwaomba vijana wa Kitanzania kutoka kwenda kutembea huko Duniani wapate akili Mpya lakini pia wapunguze tatizo la ajira nchini.

Baada ya kupokea malalamiko mengi niliamua kwenda ofisi ya posta na Kurasini kuona Nini kinachoendelea. Naomba Dr. Makakala tumia Watu wako kufuatilia Siri Hii itakusaidia kuondoa ubaguzi wa huduma ya Pasipoti ofisini kwako.

1. Vipo vibanda vipo nje ya ofisi za Kurasini, kwenye ofisi hizo kuna vijana wanaletwa wamekamilisha application na Wana sifa, lakini wapo watu wanawakamata na kuwadanyanya kwamba awawezi kupata Huduma. Kisha maombi yanachukuliwa na watu hao na kuyaingiza ofisini, yakifika Ndani yule Mteja anaambiwa ingia nenda dirisha namba flani. Akifika mambo yanaenda fresh, kundi la vijana wanaorubumiwa Kwa mbinu Hii ni wengi , madhara yake ni kwamba upo uwezekano hata wasio raia kupita njia hizi chafu nakupata Pasipoti yetu.

2. Agenda ya kuwakwamisha vijana wenye rangi nyeusi wasipate Pasipoti inaonekana kama siyo agenda ya maafisa wa chini Bali ni msimamo wa maafisa wa ngazi ya juu ambapo siku Moja niliandika hapa kuhusu namna mjukuu wangu alivyokataliwa Pasipoti akihojiwa anaenda wapi, wakati anahojiwa hayo nikashuhudia mabinti na vijana wenye rangi wakipokelewa bila hata maswali ya unakwenda Kwa Nani. Ilinichukua wiki ombi la mjukuu wangu kupokelewa,siyo kupata pasipoti nasema KUPOKELEWA kisa tu ni mtoto wa kike na wanadai watoto wanakwenda nje kufanya uhuni. Then wananiambia nikiendelea na uaroganti sitohudumiwa nikalalmike popote. Hayo yanatamkwa mbele yangu na afisa kabisa, it was shame especially in sense of communication skills and customer services. You abuse others kids just because umekalia kiti? No.

Dr. Makakala kama utaendelea na watoa huduma wanaoamini watoto wetu Sisi weusi wanakwenda kujiuza, wanaenda nje kufanya uhalifu utakuwa huna sababu za kupokea pongezi nilizotoa. Weka watu kwenye madirisha ya huduma kwa kuzingatia integrity na watu wanaotambua utu. Kutoa Pasipoti kwenye nchi nyingine ni kazi ya kiraia uaskari unaingia kwenye control. Kama mnaogopa kudanganywa wekeni sheria Kali ya Pasipoti, yeyote anayedanganya afungwe tuone kama kuna mgeni atakimbilia Pasipoti zetu. Ninyi mnashindwa kudili na wageni mnabaki kuwasumbua watoto wetu Kwa hisia tu wakati vigezo wanavyo?

Mwisho nikueleze udanganyofu unaofanyika na watoto wetu Kwa Sasa
1. Wanachapa barua za wazazi kwenye stationary nje bila hata idhini ya wazazi na kuwaletea Kwa sababu hakuna kigezo cha barua ya mzazi Kwa MTU yupo above 18. Mnalazimisha kudanganywa

2. Mnaomba benki statement za watoto na wazazi kwa malengo Gani?, Mjukuu wangu aligusiwa suala la benki statement na nilieleza hapa last time. Hizi taarifa za Siri za akaunti za wazazi mnataka watoto wajue masalio yetu watupige roba? Sheria inasemaje? Jaribuni kuwa reasonable Leo benk statement yangu inahusika na Mtoto wangu kupata pasipoti au kusafiri? Mnajua hizi nazo vijana wanatengeneza? Je mnaweza kwenda kuzihakiki? Benki iache kazi zake ianze kuwahakikia benk statement Kwa sheria ipi?

3. Vijana wengi wanabadili miaka ya kuzaliwa waonekane wakubwa

4. Vijana wanabadili majina na dini zao Kwa ajili ya kupata pasipoti hasa kwenda kufanya kazi nje, hii pia naomba ifahamike na haya ndiyo yanayoendelea hapo kwenu.

5. Mnawalazimisha watu kuiba copy za Pasipoti za watu nje Mtandaoni au kuwalazimisha kuanzisha mahusiano na wageni bila ridhaa Yao. Wanatengeneza email za mialiko hata pasipo na mialiko. Mmewafanya badhi ya mabinti na vijana kuwa watumwa wa Mataifa ya nje wafichiwe Siri ya udanganyifu walipolazimishwa kufanya udanganyifu wa vigezo. Hapa kuna element slavery au uvunjaji utu unaozaliwa kutokana na wish ya kijana kwenda nje. Mfano mzuri anagalieni trend ya wanawake wazungu wanavyoongezeka kuja kuwaombea pasipoti vijana wa Kimasai. Kwamba vijana wetu wa kimasai wanaoishi ufukwenu wanapaswa kuletwa kuombewa pasipoti na raia wa Kigeni? Kwamba Hadi amlete mama wa kizungu ndipo apewe pasipoti? Nadhani pia ukifanya utafiti eneo ili unaweza ukaboresha huduma na kulinda utu.

6. Kuna watoto awakufanya mitihani wanagushi vyeti wapate pasipoti. Jipe muda kuverfy vyeti vy shule, but the main factor ni vigezo nje ya sheria

7. Maafisa wanabadili taarifa za attachments vya wateja; mfano Mimi nilimwandikia mjukuu wangu barua nikasaini nakuweka namba yangu ya simu kama mlezi afisa akaondoa barua yangu akamwambia mjukuu wangu aende stationary nje ya ofisi akawaambie wamwandikie barua ya mzazi, mjukuu akauliza mama yupo mbali akaambiwa Wewe saini kwa niaba yake. You can see how these officers are even distroying evidence by forcing to be cheated. Tuliofanya kazi private sector tunafundishwa kuconcider first impression before second impression.........Uhamiaji chukueni kile Cha kwanza msijiingize sehemu ya uhalifu

8. Mteja anaomba pasipoti, anafika dirishani Kwa Afisa anakataliwa kupokelewa nakurudishwa na ombi lake.
Analazimisha apokelewe na aelezwe kosa au mapungufu anarudishwa bila kuingizwa kwenye system. Unaenda na application Kwa Afisa wa juu Naye hivyo hivyo.....unajiuliza hawa watu wanajua maana ya huduma mtandao? Tafsiri ya huduma mtandao unapokelewa na maamuzi yanafanywa kwenye mfumo Ili Kesho ukirudi kumbukumbu Zipo na kama afisa ni mvivu kuhudumia watu meneja ajue kupitia maamuzi yanayotolewa mapokezi. Itakuwa ni jambo lisilo na ueledi endapo afisa wa kaunti atapewa nafasi yakupokea au kumkataa Mteja without any reason kwenye system. How do they decide without seen alicholeta Mteja na alichoweka kwenye mfumo vinafanana? Madhara yake wanalazimisha ulichoscan online kiwe tofauti na real application waseme unadanganya...

Uhamiaji, hii style anakuja mtu mnayedhani hana kigezo mnamrudisha na fomu maana yake si mnamwambia akajaribu kwingine? You need to learn these issues kutoka mataifa yaliyoendelea achaneni na watendaji wenye akili zakuabudiwa you can not use manuaal minded kwenye electronic.
Waambie maafisa watupokee, andika kwenye system sina vigezo nikapambane na wakubwa zao siyo Wewe unajimilikisha ofisi ya umma. Nilikerwa sana unamuuliza afisa mkubwa kwanini msinpokee mkaweka hizo comments kwenye mfumo mkaacha kusumbua wateja nenda rudi hadi waende kwa kamishna na yeye anapokea ombi alijaingizwa mfumoni aaandike kwa mkono.........Dr. Makakala your staffs need coaching about e- service. Naamini wangetupokea wakaandika wananchi awana sifa at the end Kwa taasisi inayokua mngeweza kutengeneza ripoti ya maombi ya wateja waliopokelewa wakakosa sifa then mngeweza kuja measures nzuri sana kwenye utoaji huduma. Every data in electronic system it has its meaning for managers, ninyi hizi data za wasio na vigezo by age, fogery,cheating nationality mnazipata wapi kama mpo manually?
Nenda kaombe visa Marekani then wakuambie rekebisha moja mbili Tatu uwazunguke uone.......system will speak out the last decision.

Hii tabia yakutopokelewa Kwa wateja wakaingizwa kwenye system imekuwa sehemu kubwa ya kusababisha Rushwa na ndiyo inayopelekea vijana kukaa kwenye vibanda nje nakukabidhi maombi yao Kwa vishoka. I observed it, unasikia una shilingi ngapi nikamtafute mtu mwingine akupokee.....ni jambo lipo wazi kabisa.

Hivyo nikuombe Dr. elekeza na toa public notice kwamba Mteja yeyote wa pasipoti ambaye atakataliwa kupokelewa na afisa ofisi yoyote basi akupigie simu kutoa malalamiko: kama Hana sifa ajulishwe kwa utaratibu hana sifa na maafisa wasishriki kubadili nyaraka za wateja kwasababu mnatuambia tusncan. Tuambieni tulete mpya Ile ibaki siyo afisa kushiriki kuzibadilisha nyaraka za wateja na kufanya tiluonekana na taarifa kinzani. Huu utaratibu wa maafisa kukataa wateja, tunatoka nje tunapokelewa na wauni tu na wanapokea pesa then tunaambiwa nenda next door wateja wanapokelewa ni mfumo wa kuwakatalia wateja huduma Kwa sababu ya rushwa.

Afisa huyu anakataa then akija kishoka au hata mteja akienda kwa mwingine anakubali. This rejection of applications with no grounds ni mfumo wenye baraka za ndani na unaproof pale unapokwama ukaenda kwa kamishna asikuulize wapi huyo afisa kacoment kuwa usipokelewe? Yeye anaandika apokelewe, kwanini asikutane na application kwenye mfumo?

Dr. Makakala siku ukielekeza wateja wote wapokelewe na wajibiwe aidha manually au wakute comments kwenye akaunti zao basi utapunguza rushwa na wewe Mwenyewe utaweza kuboresha endapo rejectolion zitakuwa nyingi. Mwisho itakusaidia kujua weusi wangapi awana tatizo la uraia wamekataliwa na wenye rangi wangapi wasio na tatizo la uraia wamekataliwa.

Nchi za Ulaya sisi weusi tunabaguliwa then huku ndani Nako tubaguane. Hapana

Nikutakie afya njema, endelea kufanya reform may be one day utatufanya Watanzania kusafiri nje isiwe anasa iwe kawaida. Na kulifanya ilo Anza kubadili maafisa wako mindset wawe watoa huduma wawachie wadhibiti kazi Yao.
Passport inabidi iwe haki la kila Mtanzania. Kama kitambulisho cha NIDA.

Nchi nyingine ukifikasha miaka 18 unapewa passport, driving licence ukiwa na wazazi makini
 
Ukweli ilio wazi ni kwamba watu wanaorudishwa na maombi Yao wanaambiwa wakajipange kwa sababu wakijipanga vyema wanapokelewa na kupewa huduma.

Umependekeza Suluhu ya Rushwa Uhamiaji ambayo naamini Kwa tabia ya viongozi WA Uhamiaji wengi watakataa ushauri wako ila wakiufanyia kazi Rushwa yakulazimisha itaisha.

Kama wakiruhusu Kila anayejaza application online apeleke application yake, apewe namba zakulipia na kuelekezwa mambo ya kurekebisha hakuna MTU atatoa Rushwa Kwa vishoka Tena na huu utaratibu wa kukwamisha watu autakuwepo kwa sababu system zao zitaonyesha sababu ya kukataliwa. Wao wanachofanya wanakataa kukupokea kupoteza ushahidi.

Nadhani wakubali lakini juzi nilikwenda Kenya na temporary doc ya Uhamiaji unalipa 30,000 lakini ukienda ukarudi haifanyi kazi. Nikasema ngoja TU nikatafute gamba maama 30 Kila ukirudi si mchezo.

Jambo la Mwisho niliwasilisha majina na taarifa za wateja waliopata Pasipoti kimakosa kama mlivyoshauri naamini wahusika niliowataja huko nyuma kwenye Uzi wangu wa Pasipoti zetu na wasomali watawachukulia hatua au wanaweza wakawapotezea maana nilichobaini wakubwa ndio wanaruhusu hizo Pasipoti zitoke bila vigezo.

Uhamiaji wakibadilika hata uwekezaji utapanuka
 
Back
Top Bottom