AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Wala hauko wrong,........
Bora mimi sijasema.
Matola naomba tu usema....
Wala hauko wrong,........
Bora mimi sijasema.
jamani asha dii..
Labda una huruma sana ndo maana!.
Yeye mwenyewe anatumia kisimu cha mchina kulog in JF, unadhani apendi awe na laptop yake?.......
acha kuniaibisha mbele za wa2 bac mkuu.Yeye mwenyewe anatumia kisimu cha mchina kulog in JF, unadhani apendi awe na laptop yake?......
Hajuti mtu hapa,......Hii na thread ya atm ni mapacha. Acheni kujigongesha. Mtapigwa mizinga hadi mjute kuumbwa wanaume.
Hapo umenena BB....
kam nyie wenyewe mwataka kuwa ATM me nfanyeje? nachota natumia mpaka....!
mbona me haijawai nitokea hiyo mambo yaan nilipie tu msosi kwa vile huwa unavaa chup yenye maua,kwamba nakuonea aibu or whatau wengne wanategea ule mda wa lunch afu ndo anakupgia,eti uko wapi nije 2le wote?akija mkpga nae menu 2 atakutegea we kidume ulipe.
Nashindwa kuelewa kwa nin kila mdada ninayemfahamu kutoka mkoa wa dar es salaam lazima awe ameishaga nipiga kizinga,na co mimi 2 kuna jamaa zangu ka 7 hvi nao wana case ka yangu..tatizo huwa ni maisha magumu dar au wao ndo hawajishughulish na kuweka usister duu mbele?
sa we mda wote umenuna,watakuanzia wap joh?Mi mbona sijawahi kupigwa mzinga na shori...
sa we mda wote umenuna,watakuanzia wap joh?
Nashindwa kuelewa kwa nin kila mdada ninayemfahamu kutoka mkoa wa dar es salaam lazima awe ameishaga nipiga kizinga,na co mimi 2 kuna jamaa zangu ka 7 hvi nao wana case ka yangu..tatizo huwa ni maisha magumu dar au wao ndo hawajishughulish na kuweka usister duu mbele?
Na hv inaonekana unatokea dar ww umewapigia mzinga wangapi?Hii na thread ya atm ni mapacha. Acheni kujigongesha. Mtapigwa mizinga hadi mjute kuumbwa wanaume.
njoo pande zetu utapigwa mizinga siku ya pili ya uhusianoMi mbona sijawahi kupigwa mzinga na shori...
<br />Inawafundisha kwamba msiwe tegemezi sana mpaka kero. Na kwamba wanaume siyo ATM zenu
<br />kam nyie wenyewe mwataka kuwa ATM me nfanyeje? nachota natumia mpaka....!