ya pili au cku hyo hyo?njoo pande zetu utapigwa mizinga siku ya pili ya uhusiano
mi wa mpwapwa.Na hv inaonekana unatokea dar ww umewapigia mzinga wangapi?
Hii na thread ya atm ni mapacha. Acheni kujigongesha. Mtapigwa mizinga hadi mjute kuumbwa wanaume.
<br />Wewe nadhani unachohitaji ni uhai wake,..........<br />
Mtu unamuona kabisa pochi yake imeunganishwa na mapigo ya moyo sasa akiitoa tu mfukoni kuna uhai hapo?
Be man enough and say No! Wenyewe mwajigonga na kupretend kuwa u have all the $$$ in the world! Say no mara 2 au 3 uone kama utafuatwa!
Mnakufa na tai shingoni, l tell u na Leo utapigwa na kesho pia and there is nothing u can do about!
<br />uzuri wetu sie wengine mkitupiga mizinga basi mjue mmekwisha...................<br />
mtajuta kutufahamu..................haviendi bure hivo<br />
<i>(give and take..............)</i>
<br /><br />uzuri wetu sie wengine mkitupiga mizinga basi mjue mmekwisha...................<br /><br />
mtajuta kutufahamu..................haviendi bure hivo<br /><br />
<i>(give and take..............)</i>
sasa unapigwa mzinga unalipa ada ya chuo utalipizaje????????uzuri wetu sie wengine mkitupiga mizinga basi mjue mmekwisha...................
mtajuta kutufahamu..................haviendi bure hivo
(give and take..............)
ukiongelea wanawake unanifanya niwaone kiumbe cha hajabu kuliko pweza maana demu anaishi mwao na ww kwenu lakini eti anataka hela ya matumizi, yanini tena mwingne mpka ya mchango wa shoga wake party umtoleee Kikubwa tamaa ndo maana wanamegwa sana nyambufu zao
Hiyo inaitwa grisi,........bila grisi mitambo hailainiki.tatizo ni wanaume kuanza kumwaga pesa bila hata kuombwa
hivi wakaka hamuwezi kuacha kutoa offer za kijinga munapoapproach?
kaunga kweli mkikutana na mazezeta mtayapiga sana mizinga....
lakini wengine hatujaribiwi kwa style hiyo,
ukishanipiga mzinga tu basi umekwisha...................
Na mpaka nikufuate basi ujue nimeshajiweka sawa kupokea huo mzinga,
lakini lazima fadhila yake ionekane.................
Mi mbona sijawahi kupigwa mzinga na shori...
Kweli mkuu naomba umewasilisha hii mada maan hawa wanawake wamezidi kuwa kero yaani tena ukimwiita tu aje mahaali bila hata kujua una sh.ngapi tayari ameshaanza kuagiza mavitu yake mara utasikia anaita jikoni kuna nini mara haya lete kuku na ndizi mbili.Sasa subiri ikifika saa ya kulipa utaona anakaa kimya utadhani ile bili hata siyo yeye ameagiza badala hata achangie angalao nusu hata hataki kujua nish ngapi.
Tafadhali naomba wanawake wa aina hiyo mjirekebishe tumechoka.
NN naomba laki 2 mshkaji wangu nimeona gauni pale dah .....km vip niobgeze fifty ya WANJA...
Kuna baadhi ya wasichana wengine ukiwa naye kwenye daladala yeye ana sh10,000, mwanaume ana sh2000, bado atataka mwanaume ndio alipe nauli.Sijui kosa ni kwanini umemtongoza!!, huwa sielewi.
Kuna wasichana akiwa na mwanaume anamgeuza mtaji, shida zake zote zitakwisha kwa huyo mwanaume, tena wakati mwingine kwa kulazimisha. Mizinga kwa kila kitu. ( kademu ka mizinga ).
Eeeh kama uko naye kuanzia chakula, maji, soda na kadhalika, yeye ni mtu wa kula tu, tena wengine wanaweza kukujia hadi na marafiki zake, akukomoe vizuri kwanini umekubali kumpenda. Anakuingiza gharama, wengine unakuta eti hawanywi vinywaji vya bei rahisi.
Haya ni maisha ya kipuuzi ambayo ni lazima watu waondokane nayo, maana ya mapenzi ni kusaidiana na kufanyiana mambo ambayo wewe ukifanyiwa utajihisi raha, sio kufanyiana mambo ya kukomoana. Kununuliwa kila kitu ni aibu, kuna wengine wanafanya kazi, lakini fedha zao ni zao na zile za wanaume wao nazo wanataka ziwe zao. Huu ni wizi wa waziwazi.
Kuna mwingine anajenga fikra kabisa kwamba baada ya ku do utampatia pesa! hivi huwa najiuliza kwenye kale kamchezo ka baba na mama mwanamke si ndio anasikia raha zaidi ya mwanaume? sasa unapotegemea mimi ndio nikupe pesa unaniuzia nini hapa?