Wanawake acheni tabia za kuwageuza Wanaume ATM!

tatizo ni wanaume kuanza kumwaga pesa bila hata kuombwa
hivi wakaka hamuwezi kuacha kutoa offer za kijinga munapoapproach?
 
Hii na thread ya atm ni mapacha. Acheni kujigongesha. Mtapigwa mizinga hadi mjute kuumbwa wanaume.

uzuri wetu sie wengine mkitupiga mizinga basi mjue mmekwisha...................
mtajuta kutufahamu..................haviendi bure hivo
(give and take..............)
 
Wewe nadhani unachohitaji ni uhai wake,..........<br />
Mtu unamuona kabisa pochi yake imeunganishwa na mapigo ya moyo sasa akiitoa tu mfukoni kuna uhai hapo?
<br />
<br /
umetaka kunivunja mbavu_mlalamikaj ni mchaga_si umeona lafudh yake (vizinga badala ya mizinga) ivo poch na moyo vimeunganishwa
 
Be man enough and say No! Wenyewe mwajigonga na kupretend kuwa u have all the $$$ in the world! Say no mara 2 au 3 uone kama utafuatwa!

Mnakufa na tai shingoni, l tell u na Leo utapigwa na kesho pia and there is nothing u can do about!

kaunga kweli mkikutana na mazezeta mtayapiga sana mizinga....
lakini wengine hatujaribiwi kwa style hiyo,
ukishanipiga mzinga tu basi umekwisha...................

Na mpaka nikufuate basi ujue nimeshajiweka sawa kupokea huo mzinga,
lakini lazima fadhila yake ionekane.................
 
uzuri wetu sie wengine mkitupiga mizinga basi mjue mmekwisha...................<br />
mtajuta kutufahamu..................haviendi bure hivo<br />
<i>(give and take..............)</i>
<br />
<br />
 
uzuri wetu sie wengine mkitupiga mizinga basi mjue mmekwisha...................&lt;br /&gt;<br />
mtajuta kutufahamu..................haviendi bure hivo&lt;br /&gt;<br />
&lt;i&gt;(give and take..............)&lt;/i&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mizinga mnapgwa halafu mnakimbiwa.lol
 
uzuri wetu sie wengine mkitupiga mizinga basi mjue mmekwisha...................
mtajuta kutufahamu..................haviendi bure hivo
(give and take..............)
sasa unapigwa mzinga unalipa ada ya chuo utalipizaje????????
 
ukiongelea wanawake unanifanya niwaone kiumbe cha hajabu kuliko pweza maana demu anaishi mwao na ww kwenu lakini eti anataka hela ya matumizi, yanini tena mwingne mpka ya mchango wa shoga wake party umtoleee Kikubwa tamaa ndo maana wanamegwa sana nyambufu zao

dahh ....aya bwna
achanteeeeeeeeeee!!!!!!!!!!
 
kaunga kweli mkikutana na mazezeta mtayapiga sana mizinga....
lakini wengine hatujaribiwi kwa style hiyo,
ukishanipiga mzinga tu basi umekwisha...................

Na mpaka nikufuate basi ujue nimeshajiweka sawa kupokea huo mzinga,
lakini lazima fadhila yake ionekane.................



bacha jaman..naomba vilaki vinne NKANUNUE WIGI....!!!!!!!!!
 
2316.jpg

Mi naona wanaume inatakiwa sasa tuanze kudai haki zetu!
 
Kweli mkuu naomba umewasilisha hii mada maan hawa wanawake wamezidi kuwa kero yaani tena ukimwiita tu aje mahaali bila hata kujua una sh.ngapi tayari ameshaanza kuagiza mavitu yake mara utasikia anaita jikoni kuna nini mara haya lete kuku na ndizi mbili.Sasa subiri ikifika saa ya kulipa utaona anakaa kimya utadhani ile bili hata siyo yeye ameagiza badala hata achangie angalao nusu hata hataki kujua nish ngapi.
Tafadhali naomba wanawake wa aina hiyo mjirekebishe tumechoka.
 
Kweli mkuu naomba umewasilisha hii mada maan hawa wanawake wamezidi kuwa kero yaani tena ukimwiita tu aje mahaali bila hata kujua una sh.ngapi tayari ameshaanza kuagiza mavitu yake mara utasikia anaita jikoni kuna nini mara haya lete kuku na ndizi mbili.Sasa subiri ikifika saa ya kulipa utaona anakaa kimya utadhani ile bili hata siyo yeye ameagiza badala hata achangie angalao nusu hata hataki kujua nish ngapi.
Tafadhali naomba wanawake wa aina hiyo mjirekebishe tumechoka.

Mmechoka? iambieni na hiyo mining'inio yenu ikome kutamani tamani hovyo, ukiona kipotapo watamani, ukikutana na mdada akitembea mashalah ndembendembe unatamani. Unakuta mtu ana mkewe na unamjua au ana mpenzi na unajua kabisa lakini anatoka huko ooo bidada nimekupenda. Umenipenda au umenitamani? huko kwa mkeo/mpenzio umekosa nini hadi uje kwangu? na kwa sababu najua ni tamaa tu zilizokuleta ukishapatwa umwazi waenda zako kwa nini na mimi nisikuchuneeeeeeeeeeeeeee? nishee bill na wewe ili iweje wakati ni tamaa zako zilizokuleta? we umenitamani mimi na mimi nafaidikaje kama sio kukupiga mzinga?

Eti mmechoka na kutongoza hovyo mchoke pumbaf
 
kweli wanawake wengine huwa wananishangaza sana. week end hii tulikuwa maeneo fulani ni sehemu yenye hadhi ya juu kidogo, nilikuwa nimekaa na washikaji zangu na kwa Pembeni yangu alikuwa amekaa jamaa na mademu wawili, mademu walikuwa wanakunywa Heineken wote wawili wakaagiza na menu ambayo gharama yake ni 19,000. plus Heineken 5000 kila chupa.
imeletwa menu wamekula kidogo tu wakaacha... na cha kushangaza waliagiza Heineken mbilli mbili. zote zikafunguliwa wakanywa bia moja hata nusu hazikufika wakapigiwa simu wakaondoka wakamwacha jamaa anang'aa sharubu tu...
sasa mimi na washikaji tukajiuliza inakuwaje mademu wamekunywa bia na Menu wamekula hawajamaliza.... hivi wana maisha mazuri sana? au ndio ubishoo?
ama kweli mademu wa kibongo wanajua kutia hasara hata kama mnatuchuna kuweni smart... how come leo jioni unakula menu ya 20,000 na bia za 20,000. halafu kesho asubuhi unaamka unapiga miayo????
 
Kuna mmoja ananiambia luku ya nyumbani kwao imeisha ,nimemwambia nenda wanakouza zipo nyingi tu,nimempigia namuuliza vipi umepata luku ananchunia,nami ndio nasepa,mizinga ya kishambashamba huwa naitegua tu!
 
Kuna baadhi ya wasichana wengine ukiwa naye kwenye daladala yeye ana sh10,000, mwanaume ana sh2000, bado atataka mwanaume ndio alipe nauli.Sijui kosa ni kwanini umemtongoza!!, huwa sielewi.
Kuna wasichana akiwa na mwanaume anamgeuza mtaji, shida zake zote zitakwisha kwa huyo mwanaume, tena wakati mwingine kwa kulazimisha. Mizinga kwa kila kitu. ( kademu ka mizinga ).

Eeeh kama uko naye kuanzia chakula, maji, soda na kadhalika, yeye ni mtu wa kula tu, tena wengine wanaweza kukujia hadi na marafiki zake, akukomoe vizuri kwanini umekubali kumpenda. Anakuingiza gharama, wengine unakuta eti hawanywi vinywaji vya bei rahisi.
Haya ni maisha ya kipuuzi ambayo ni lazima watu waondokane nayo, maana ya mapenzi ni kusaidiana na kufanyiana mambo ambayo wewe ukifanyiwa utajihisi raha, sio kufanyiana mambo ya kukomoana. Kununuliwa kila kitu ni aibu, kuna wengine wanafanya kazi, lakini fedha zao ni zao na zile za wanaume wao nazo wanataka ziwe zao. Huu ni wizi wa waziwazi.

Kuna mwingine anajenga fikra kabisa kwamba baada ya ku do utampatia pesa! hivi huwa najiuliza kwenye kale kamchezo ka baba na mama mwanamke si ndio anasikia raha zaidi ya mwanaume? sasa unapotegemea mimi ndio nikupe pesa unaniuzia nini hapa?


Siamini kama ni upande wa pili wa MFUMO DUME au ndo kutimiza adhabu ya Adam (Kula kwa jasho) baada ya kumuasi Mungu. Juzi kati nilikutana na dem canteen lunch time tukachat kidogo na kuexchange contacts. Chakushangaza kesho yake ananibeep, kumpigia eti nipo canteen napata lunch at your bill. yaani nilishangaa kwani hata hafahamu kwamba hiyo canteen nilipita tu siku hiyo na si common place kwangu. Hili ni janga lingine la kitaifa wana JF.
 
Back
Top Bottom