Wanawake acheni tabia za kuwageuza Wanaume ATM!

toa tu kaka kama unayo kwani pesa
kitu gani bana ukipenda hata figo mtu waweza toa
sembuse hela sijui ya vocha kama ipo u provide broda..
hivi hao wa vocha wapo wapi mie nawasaka kweli..
 
Mi sikuombi kabisa ila with time utatoa mwenyewe, na hii pia tunalaumiwa? au tusipokee? mie napenda tuelewane, nimwelewe anielewe, kama yuko mchovu inajulikana, na kama ana uwezo kwa nini asinihudumie mie mpenzi?

akiishiwa na yeye sio mbaya kusaidiana maana maisha kuna kesho na kesho kutwa, na kila siku sio jumatano
 
wanawake wapo wa makundi tofauti<br />
<br />
kundi la wachunaji lipo....<br />
<br />
mimi huwa wananifurahisha wale ambao baada tu ya kubadilishana namba za simu<br />
unapokea ujumbe,please recharge me...lol<br />

Pls recharge me!
huwa nacheka hadi basi....
<br />
<br />
 
Mi sikuombi kabisa ila with time utatoa mwenyewe, na hii pia tunalaumiwa? au tusipokee? mie napenda tuelewane, nimwelewe anielewe, kama yuko mchovu inajulikana, na kama ana uwezo kwa nini asinihudumie mie mpenzi?

akiishiwa na yeye sio mbaya kusaidiana maana maisha kuna kesho na kesho kutwa, na kila siku sio jumatano


Hapo umenena BB....
 
Ila mabinti wana njaa kali siku hizi ndio maana maendeleo yanagotagota coz wanaume wanahonga ili walimane tu!
 
wanawake wapo wa makundi tofauti

kundi la wachunaji lipo....

mimi huwa wananifurahisha wale ambao baada tu ya kubadilishana namba za simu
unapokea ujumbe,please recharge me...lol
huwa nacheka hadi basi....
The boss ukitongoza mwanafunzi unategemea nini?
lazima uombwe vocha tu
 
Mi sikuombi kabisa ila with time utatoa mwenyewe, na hii pia tunalaumiwa? au tusipokee? mie napenda tuelewane, nimwelewe anielewe, kama yuko mchovu inajulikana, na kama ana uwezo kwa nini asinihudumie mie mpenzi?

akiishiwa na yeye sio mbaya kusaidiana maana maisha kuna kesho na kesho kutwa, na kila siku sio jumatano
yah yah, hii kiutu uzima zaidi, ni swala tu la kila mtu kujua majukumu yake
 
Katika mahusiano ni vizuri saana mwanaume ukawa in Control kuliko mwanamke... Sina maana yeye ndo awe kila kitu, ila nina maana kua aweze kumdhibiti mwanamke wake physically na hata materially (thou sio lazima iwe level ya juu saaana au one sided)... Hivo... Mimi ninavoelewa ni kua mwanaume mwerevu hutongoza mwanamke wa level yake... na pia mwanamke wa aina ambayo anapenda...

Nikisema Level yake...

Nina maana kua kama unajua uwezo wako ni mdogo... usipende kupenda wanawake ambae anaonekana kabisa up keep yake ni expensive.... Alafu hapo hapo ni spender... Mwanamke ambae vijiwe vyake vyooote ni gharama.... Mwanamke ambae ana kundi lake la wadada ambao ukiwaona tu unajua kua ndio wana Run mahala hapa walipo, kwamba wao ndio centre of attention... (For hawa wadada katika hili kundi ni la wakaka wenye mpunga mrefu na wakitoa pesa zao, inakua haipunguzi kitu) Unapojitutumua wewe wa Uwezo wa chini lazima u-suffer the consequences...

Nikisema aina unayo penda....

Nina maana mienendo ya huyo mwanamke... mahala mwanamke hutoka... Jinsi anavoishi... Uwezo wake (kama ana kazi ama lah!) vyoote huchangia utegemezi... Pia huchangiwa na ile hali ya toka mahusiano yenu, jinsi gani umemzowesha... kama siku zoote you offer to pay for everything (ambayo kwa kweli ni wajibu wako in most cases) lazima atabweteka... Na mara nyingi hii ya mwanamke kulipa - inatokana tu na busara zake za kuelewa hata wewe once in a while you need a Break! asipoelewa hilo... Siku zoote utaishia kunung'nika tu rohoni kwako... Alafu siku zingine haya mambo ni vizuri kuongea na Mwenza wako... Kua Free... Kuna ubaya gani wa Kumwambi Mpenzi naomba lipa wewe for leo nimebanwa (ila tu usizoee...)

Wale ambao wata sema LOVE ndo mhimu hayo mengine sio muhimu... Well... Mwanzoni Yes... Lakini stress lazima zifuate badae....
Haya uliyoyaandika hapa na kama kweli utakuwa unapractice kwenye maisha,............Basi na amebalikiwa mume atakaekuowa au kama umeshaolewa basi namuonea wivu huyo mume wako kwa kupata mke mwema kabisa.
Wadau kumbukeni hii thread nimeileta hapa kutokana na uzoefu wangu wa maisha na sio kwamba inanihusu mimi kwa 100%
 
Nashindwa kuelewa kwa nin kila mdada ninayemfahamu kutoka mkoa wa dar es salaam lazima awe ameishaga nipiga kizinga,na co mimi 2 kuna jamaa zangu ka 7 hvi nao wana case ka yangu..tatizo huwa ni maisha magumu dar au wao ndo hawajishughulish na kuweka usister duu mbele?
 
wacha ubahili,tangia zamani mababu zetu ndio walikuwa na majukumu ya kutoa financial assistance...ni jambo la kiume zaidi..........mungu niepushie mbali na wanaume wabahili ameeen.
 
inategemea na wewe mwenyewe, na mingine sio mizinga ni mtu ana kuwa na shida ya ukweli
 
Kuna baadhi ya wasichana wengine ukiwa naye kwenye daladala yeye ana sh10,000, mwanaume ana sh2000, bado atataka mwanaume ndio alipe nauli.Sijui kosa ni kwanini umemtongoza!!, huwa sielewi.
Kuna wasichana akiwa na mwanaume anamgeuza mtaji, shida zake zote zitakwisha kwa huyo mwanaume, tena wakati mwingine kwa kulazimisha. Mizinga kwa kila kitu. ( kademu ka mizinga ).

Eeeh kama uko naye kuanzia chakula, maji, soda na kadhalika, yeye ni mtu wa kula tu, tena wengine wanaweza kukujia hadi na marafiki zake, akukomoe vizuri kwanini umekubali kumpenda. Anakuingiza gharama, wengine unakuta eti hawanywi vinywaji vya bei rahisi.
Haya ni maisha ya kipuuzi ambayo ni lazima watu waondokane nayo, maana ya mapenzi ni kusaidiana na kufanyiana mambo ambayo wewe ukifanyiwa utajihisi raha, sio kufanyiana mambo ya kukomoana. Kununuliwa kila kitu ni aibu, kuna wengine wanafanya kazi, lakini fedha zao ni zao na zile za wanaume wao nazo wanataka ziwe zao. Huu ni wizi wa waziwazi.

Kuna mwingine anajenga fikra kabisa kwamba baada ya ku do utampatia pesa! hivi huwa najiuliza kwenye kale kamchezo ka baba na mama mwanamke si ndio anasikia raha zaidi ya mwanaume? sasa unapotegemea mimi ndio nikupe pesa unaniuzia nini hapa?


Washajiwekea mawazo yakuwa tegemezi na ndo maana haki sawa haitakuwepo milele itaishia kuhubiriwa majukwaani tu.
 
Haya uliyoyaandika hapa na kama kweli utakuwa unapractice kwenye maisha,............Basi na amebalikiwa mume atakaekuowa au kama umeshaolewa basi namuonea wivu huyo mume wako kwa kupata mke mwema kabisa.
Wadau kumbukeni hii thread nimeileta hapa kutokana na uzoefu wangu wa maisha na sio kwamba inanihusu mimi kwa 100%


-Speachless-
 
Back
Top Bottom