Mnyampaa
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 244
- 58
Mmechoka? iambieni na hiyo mining'inio yenu ikome kutamani tamani hovyo, ukiona kipotapo watamani, ukikutana na mdada akitembea mashalah ndembendembe unatamani. Unakuta mtu ana mkewe na unamjua au ana mpenzi na unajua kabisa lakini anatoka huko ooo bidada nimekupenda. Umenipenda au umenitamani? huko kwa mkeo/mpenzio umekosa nini hadi uje kwangu? na kwa sababu najua ni tamaa tu zilizokuleta ukishapatwa umwazi waenda zako kwa nini na mimi nisikuchuneeeeeeeeeeeeeee? nishee bill na wewe ili iweje wakati ni tamaa zako zilizokuleta? we umenitamani mimi na mimi nafaidikaje kama sio kukupiga mzinga?
Eti mmechoka na kutongoza hovyo mchoke pumbaf
Nimekutamani wewee....Sarafina1..Naomba ya bure....