wanaume wanao ni-approach hawafanani na mimi nisaidieni jamani!

Absolutely Maryrose you have done it .Tangu nimenza kusoma comment i was wondering yani ni kama mgonjwa anaumwa sukari halafu anaenda kwa fundi umeme kuomba amuelekeze dawa.nilipofika kwako nikamaliza
 
Last edited by a moderator:
Mmmh au ww ndio huvutiii hahah kwa dunia ya leo na mlivyo wengi all places are booked tafuta alie oa akusaidie

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Amsaidie nini?amekwambia ana shida ya kt?tumia busara we si ndio kila siku unajitia uzinzi dhambi?
 
Endelela tu hivyo hivyo mkuu, mpaka utakapofikia mahali hakuna anayekuaproach ndo utatukumbuka sisi unaotushit sasa hivi. Kwani unadhani waliosema 'majuto ni mjukuu' walikuwa wajinga?
Kwa ushauri wa kukujenga ingekufaa zaidi kama ungekuwa open minded katika suala la mahusiano. Kama unadhani utapata mtu anaye-meet matarajio yako 100%, basi imekula kwako.
 
mhm...well kweli wanawake wamekuwa na power ya kuchagua sasa....mie naona dawa ni moja tuu kuwamega na kusepa hamna haja ya kukaa nao wala kuwaoa
 
ukitaka wa kukufaa ndo hao hao ambao ww unawadharau unawaona elimu yao ndogo ila ukipata ambaye mnaendana kielimu,umri na vi2 vingine uwe tayar kuishi maisha ya kuigiza kwa maisha ya cku hzi afu mwisho wa siku mnagawana njia za kutokea
 
Inavyoonekana hata ukifanikiwa kuingia kwenye maisha ya ndoa yatakusumbua sana. To have a great marriage you must learn how to compromise. You need to make concessions in your life. Kwa maandishi yako unaonekana kama vile you're working to create a perfect marriage. Ndiyo maana you're resisting the temptation to compromise on certain things.

I am not saying that if you're working towards creating a perfect marriage, then you should lower your standards to accomplish it. But if you're better off not compromising yourself to yourself, then you certainly aren't better off compromising with any prospective spouse.

Napenda spouse wangu awe rafiki yangu. Lakini kuwa rafiki haina maana kuwa "tufanane hata tuvyoona mambo na kufikiri yaani hata tuwe tunazungumza lugha moja mitazamo inaenda pamoja tusaidiane pamoja kufikia our vision". Eti kwa vile wewe unatumia Internet Explorer, basi hutaki kuolewa na mtu anayependa kutumia Firefox or Chrome.

Kwa vile wewe ni shabiki wa Simba basi unataka mume ambaye pia ni shabiki wa Simba ili msaidiane pamoja kufikia your vision ya kuchukua ubingwa kila msimu? Halafu Simba akifungwa, nani atampakata?

Inawezekana labda niko wrong. Jana FP kafikisha miaka 13 kwenye ndoa labda anaweza kukupa first hand experience kama she had to make some compromises kwenye maisha yake ya ndoa mpaka kufikia zaidi ya decade: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/335131-wedding-anniversary.html
you are very right EMT, msingi mkuu wa ndoa ya kudumu ni compromise. hii si kwa wadada/wake tu, ni kwa wote. utakuta mara nyingi tu mnakuwa na mawazo yaliyopishana kabisa lakini at the end of day mnatakiwa kufikia conclusion, mtafikiaje bila compromise?
tukiangalia hata kwenye urafiki wa kawaida, mtu kuwa rafiki yako haimaanishi mnafanana kwa kila kitu. mimi ni mfano mzuri, nina rafiki ambaye kila mtu huwa ananiuliza hivi unawezaje kuwa na urafiki na huyo dada, yaani kila mtu hamuwezi. lakini ukweli ni kwamba, mimi na yeye kuna kipindi tunaweza kubishana muda wa saa nzima, then kila mtu anatawanyika bila kufikia muafaka. baadae namfwata tunaongea, namuelewesha, tunakubaliana.
mtoa mada sijui alikuwa anataka ushauri gani, lakini ajue kuwa hakuna mtu atampata ambaye wapo compatible hata 75%. la maana tu ni kuangalia other factors mengine yatajipanga wakiwa kwenye mahusiano
 
Last edited by a moderator:
<span style="color:#ff0000;">&nbsp;bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu,<br><br><br></span>Naomba zingantia hapo kwenye red, kwanza sema The Bible says........<br><br>Shida yangu kubwa nawe ni kuwa kama kweli unaamini Bible kama ulivyojipambanua hapo juu inakuwaje unakuwa selective kwa wanaume, eti eee hawana status, education je hiyo Bible unayoamini imekwambia mwanaume awe na status gani? au elimu gani, nina mashaka nawewe juu ya kumwamini mungu &nbsp;juu ya kukupatiamchumba.
 
Manamake mengine bana (kama hili) yaan full kujikweza utafiri ana nini cha maana kivilee ambacho ni so special wakati kinachompa kiburi ni hilo ripochi lake la manyoya ambalo nahisi kabisa hata huo utamu watu walishanyonya wote na rimebaki dude fulani hivi tu kwa ajili ya haja ndogo. Mashauzi kibao, utajua tu, eti status, elimu na mambo mengi tu ya kijingajinga, una elimu gani wewe ambayo wengine hawana?, vingereza vya gumbalu kibao, yaan umeniboa kinyama, na utabaki hivyo hivyo.
 
Muumbe mwenyewe basi!!!! Wahenga wanasema ankuli ranhara waunkali tambara maana yake mchagua nazi mwisho upata koroma,we endelea kuchagua mwisho tutakuja sikia umeolewa na mchunga ng'ombe au msukuma mkokoteni,jipange wewe!!! Mapenzi hayapo hivyo unavyofikiria,Elimu,Status and the like ni kutojitambua!!!
 
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume nina
o wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo
.

Nifanye nini ili nipate kufana
na mie ?

mm nashindwa kukuelewa, mana hujaweka vigezo na sifa za Mr right wako,.alafu unakuja hapa na lawama, tukusaidiaje? Mwaga sifa zako na za unaemtaka uone yawezekana na mm ni mmjowapo wa wanaokutaka!!
 
jikagie upya na ujitathimin na pia uangalie mahitaji yako kama ni muhim sana kuliko unachokiota kukipat
 
Mapenzi ni hisia ya raha uipatayo unapokuwa na mwenza wako........Tatizo tunatofautiana kwenye kitu gani kinakupa raha unapokuwa na huyo mwenza wako........HIVYO BASI baki kwenye msimamo wako ili upate ukipendacho waache wanaopenda majambozi, sura, haiba, pesa na mali nk.......
 
Aisee !. Du, huwezi kufanikiwa maifrendi. Kwanza wewe ni mbaguzi wa elimu. Kwani darasa likiwa dogo, hawezi kujiendeleza? Elimu haina mwisho. Ni mpangilio tu. Tatizo kubwa ndo hilo. Kuhusu umri si neno. Lbda kama wewe unadhani kwa kuwa na umri mdogo, hawezi mambo. Age does not matter. What matters is love my dear. You have to open your heart and accept any man who approches you regardless of age or education. Shauri yako. Utaozea hapo ndani. Kumbuka wimbo wa zamani wa Daudi Kabaka...Msichana mzuri na mrembo kama wewe, hata ng'ambo umeenda ukarudi, lakini kutokana na maringo yako, hakuna wa kukuoa na siku zinaenda na sura yako imechujuka sasa. Wasichana wa nyuma yako wote wameolewa wakakuacha ukihangaika. Be alert my dear!. Acha maringo na kujiona uu msomi...

Hapo nilipo-bold nakupa LIKE ila naongezea anachotakiwa ni kujua kwamba huyo mtu anaweza kubadilika kwani siku zote lazima tuelewe kwamba ukiona watu wamedumu kwenye mahusiano si kwamba mmoja wao alikuwa yupo perfect bali walisomana na kujirekebisha sehemu ambazo kwa namna moja ama nyingine zilikuwa zinakuwa zinamkwaza mwenzake.
 
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo
.

Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?

Naomba utupatie level ya elimu yako na kazi yako unayofanya ambayo ndio unaitegemea katiaka kukuingizia kipato bibie.
 
Love is dynamic, it evolves, grows, matures, flourishes, fades away and so on. Yuo can't seat there and contemplate through illusions that some one of your status, education, wealth etc. will emerge and suddenly you love him and he loves you. This is absurd and a daylight dream. Develop a friendship to each one approaching u, in the course of acquainting to each other, you will be able to isolate the dislikes and engage the likes. Your age is advancing and young and beautiful ones are being born, where do u think your position will be in 2 yrs to come? Acha kunyanyapaa husbands to be u will live to regret na kusaga meno wakati hutakuwa hupati hata salam kwa mwezi. Tafakari chukua hatua sasa.
 
Back
Top Bottom