Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Kwanza pole sana dada kwa kutofuatwa na mwanaume anaekufaa, ila usife moyo nakujiona kama we mdhaifu sana, cha msingi ni kuangalia vigezo muhimu sana vya mwenza anaekufaa na kuvipuuza vigezo dhaifu, kwa mfano kigezo cha elimu kuwa ndogo than yours co strong sana maana m2 anaweza kujiendeleza MAANA ELIMU NI BAHARI. God bless you.
Kula tano..wewe una hekima na bonge la mshauri