- Thread starter
- #101
Sorry to say but you are among the ****** ambao mnafikiri kuwa na degree ni sehemu ya kigezo cha mapenzi! Kudadadeki na utaendelea kuuza sura sana! My little knowledge inaniambia kwamba education, economic status and all the likes ambazo umemention si kitu kwenye mahusiano! I have seen many people happily living with partners who are not even their level in education and fiannce!
Tatizo ni wewe! I am warning you, soon you are 30yrs Mungu wangu, Nyago itakuwa mbaya kiasi hata hao unaowatema hawatatokea tena instead watakuja kuchimba mgodi na kuondoka zao, actually utafikia mahali utakuwa unawalipa wanaokugusa ili upate na wewe raha ya unyumba if you dont change!
CHUNGU DADA LAKINI DAWA CHUKUA HIYO YAKO!
jamani am so worried!