wanaume wanao ni-approach hawafanani na mimi nisaidieni jamani!

Sorry to say but you are among the ****** ambao mnafikiri kuwa na degree ni sehemu ya kigezo cha mapenzi! Kudadadeki na utaendelea kuuza sura sana! My little knowledge inaniambia kwamba education, economic status and all the likes ambazo umemention si kitu kwenye mahusiano! I have seen many people happily living with partners who are not even their level in education and fiannce!

Tatizo ni wewe! I am warning you, soon you are 30yrs Mungu wangu, Nyago itakuwa mbaya kiasi hata hao unaowatema hawatatokea tena instead watakuja kuchimba mgodi na kuondoka zao, actually utafikia mahali utakuwa unawalipa wanaokugusa ili upate na wewe raha ya unyumba if you dont change!

CHUNGU DADA LAKINI DAWA CHUKUA HIYO YAKO!

jamani am so worried!
 
Naomba bint uelewe kwamba unawez ukawa na mtu ambae unaona mnaendana kidogo halafu
utamtengeneza unavyotaka wewe kama unajiona uko juu sana unamwinua kama ni elimu watu
wanasoma hwazaliwi na elimu.
kama vipi ni pm tuongee zaidi
 
Ina mana bado uko sealed?

Love is not living with some1 u LOVE, but some1 you cant live without.
 
thats very sad to hear,lkn kama unawaona hao unowahitaji b a woman enough kuwaambia,this is 21st century,if real you have that love u saying,lovee is never a failure......................,dont be of such pride,forget the status thing and education,elimu inatusaidia kuelewa mazingira na si zaid ya hapo ........................

Nimekuelewa lakini mfano mtu ukiwa na vission mfano baadae ufungue kampuni labda ya consultancy hivi ukipata mwenzio ambaye mtaweza kusaidiana ktk hilo ni vizuri zaidi kuliko mwenzio haelewi chochote hata ushauri kidogo hawezi kukupa sasa itabidi uende kwa watu wengine na utatumia muda mwingi kuwa karibu na hao watu hii inaweza leta problem hata ktk ndoa, inawezekana nakosea.
 
jamani am so worried!
soledad
Ukweli unaelekea kwenye umri mbaya sana kwa maisha ya sasa, visichana vya 18 years old ndio viko sokoni na utakuta unayemtaka wewe kwa umri wako kuna mawili, either ameshaoa au yuko kwenye serious relationship na Mwanamke mwingine.

Ni vigumu sana kwa Mwanaume mwenye miaka 35 awe yupo yupo tu si kweli na unajidangana mwenyewe, maana wewe unatakiwa uolewe na Mwanaume wa umri huo, so watch out.
 
Last edited by a moderator:
Ina mana bado uko sealed?

Love is not living with some1 u LOVE, but some1 you cant live without.

i know that luv is not living with some one u love but some one u can't live without and to add ni kwamba yule ninayempenda natakiwa nifikirie nitamfanyia nini na sio kutegemea na kutaka yeye anifanyie nini ila to me i think
WATU HAWAWI PAMOJA KWAAJILI YA LILE TENDO PEKEE KUNA VINGINE ZAIDI YA HILO ukiwa na mtu kwaajili ya mapenzi ya chumbani tu mkishamaliza ya chumbani mnafanya nini? unashangaa mnatofautiana kila kitu isipokuwa on bed!
 
Brother quimby_joey nakuona hapa we huyo dada unamuelewa? kama una vigezo jirushe mkuu ila uissahau kumuambia unapenda ujasusi.
 
they mighty be very decent and caring fathers thats why!
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo
.

Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?
 
Kula tano..wewe una hekima na bonge la mshauri

Naomba bint uelewe kwamba unawez ukawa na mtu ambae unaona mnaendana kidogo halafu
utamtengeneza unavyotaka wewe kama unajiona uko juu sana unamwinua kama ni elimu watu
wanasoma hwazaliwi na elimu.
kama vipi ni pm tuongee zaidi
yaani umenigusa kuna mtu ame ni propose tangu 2009 hadi leo hakunivutia cuz nikikaa naye am smarter than him almost in everything!
 
utachukua muda mwingi sana kusubiri wa kufanana nae....chukua hatua ukimwona unaefanana nae wewe mtongoze halafu uone.
 
kwani we una status gani? au unamaanisha nini hapo kwenye status? jiangalia mama unaweza kufuka 50yrs ukakuta hakuna hata wa kukupa salamu...endelea tu na chaguachagua yako uone kimbembe chake..kuna wenzako wanalia hata salamu hawapati...utaishia yaleyale kuvaa serengeti boys at 50yrs....at ur age ulitakiwa kuwa na stable relationship au hata km huna basi unakuwa uko flexible na sio mambo yako ya status..endelea kungoja wa status yako mama kila la kheri Inshaallah!
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo
.

Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?
 
Naona mnapata tabu na mishipa inawatoka kumpa mtu ushauri wakati hamjui kuna kina Dada wakishapata kazi na wakamudu kukopa au kununuwa kwa Cash Vitz yake na akiwa na ile miwani yao wewe The Boss hata uwe na busara vipi kama huna gari wewe siyo status yake. mimi nimemuelewa vyema, ila asubiri afikishe miaka 40 atapata jibu lake.
you are very wrong gari ni nini? i mean busara na hekima thank you kwa maoni yako i get something
 
Nimekuelewa lakini mfano mtu ukiwa na vission mfano baadae ufungue kampuni labda ya consultancy hivi ukipata mwenzio ambaye mtaweza kusaidiana ktk hilo ni vizuri zaidi kuliko mwenzio haelewi chochote hata ushauri kidogo hawezi kukupa sasa itabidi uende kwa watu wengine na utatumia muda mwingi kuwa karibu na hao watu hii inaweza leta problem hata ktk ndoa, inawezekana nakosea.

thats true your lover is not your business partnet ni zaidi ya hapo.....................nahisi unahofu sana na ndoa,unaweza kuweka vigezo vya mtu unayempneda lakini sidhani kama tofauti ktk proffesionalisim sio tatzo,soleda i kno your history but may be psychologically kuna vitu viko kwenye akili yako na ndo vinakufanya pengine ufikirie hivyo,ndoa/mapenzi yanajengwa na watu wawili wenye upendo juu yao,....believe in love and everything will work just ok,take this from me,infact ndo ni baina ya watu wawili walioutaambua udhaifu na upungufu wao kibinadamu na wamuamua kuishi pamoja kusupplement each other,wewe unajua bcs yeye hajui lakini anajua kingine na maisha yanaenda tu........attitue yako ni tofauti kuhusu ndoa you need to work on it.......all ze best....
 
The Boss kujitambua kwa namna gani? mie naona najitambua ndo maana siwezi kuwa na mtu yeyote ingawa this is the perfect time tena naona nimechelewa. Mimi nafikiri hivi my men anatakiwa awe rafiki yangu tufanane hata tuvyoona mambo na kufikiri yaani hata tuwe tunazungumza lugha moja mitazamo inaenda pamoja tusaidiane pamoja kufikia our vission. sasa kinachoni embarasse ni kufuatwa na watoto ! mtu yuko 3rd year and am working for more than a year ,nikifikiria sielewi au naonekanaje sijui.
Nafikiri umewaona ambao mnaweza kuongea lugha moja,usisite kumwambia anaweza akakukubali au na yeye akasema ww si wa status yake.Sasa ni zama za uwazi na ukweli na wala si dhambi kumwambia m2 nakupenda usubiri majibu
 
Back
Top Bottom